Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 3,340
- 4,659
Tunafahamu kuwa miaka 3 nyuma vyama vya upinzani havikupewa jukwaa stahiki la kuendeleza biashara/kazi na majukumu yao ili kuongeza tija na hamasa ya kupendwa zaidi,na kuvutia wanachama ilikuwa ni inactive political parties,havikuweza kuwa na uwakilishi wa kutosha katika bunge na hata katika ngazi ya halmashauri.
There were dead for a while,walikuwa sawa na joka la mdimu au mbwa koko kwa madhila wayoyapitia,kuanzia mwaka wa juzi baada ya mwendazake kuacha hatamu tumeanza kushuhudia kipindi cha mpito ambacho kumekuwepo na mambo mengi ambayo yamechukuwa muda mchache kujadiliwa,kwa bahati mbaya watanzania hawatoa airtime katika hoja za vyama pinzani japokuwa ipo maana ndani yake.
Kosa kubwa kutendeka ni kuanzisha mambo kwa mfululizo wa matukio pasipo kuacha time space,hoja inakuwa haina mvuto then that they swipe to the next one, labda sijajua kwamba kumekosekana masikilizano ndani ya chama mpaka kutokuwa na mipango mkakati kwenye uanzishwaji wa mada au hakuna watu sahihi wa kuendesha jukwaa la mitandao?
Kuna namna mulitakiwa kuzipa kipaumbe mada,mikutano ya ndani yachama,matukio na namna nzuri ya kukijenga chama (ndani ya chama) hasa baada ya ukimya mwingi kuliko kulipuka na maandamano yasiyo msingi wa ukuwaji na huwenda maandamano yamedhoofisha chama badala ya kukijenga chama.
There were dead for a while,walikuwa sawa na joka la mdimu au mbwa koko kwa madhila wayoyapitia,kuanzia mwaka wa juzi baada ya mwendazake kuacha hatamu tumeanza kushuhudia kipindi cha mpito ambacho kumekuwepo na mambo mengi ambayo yamechukuwa muda mchache kujadiliwa,kwa bahati mbaya watanzania hawatoa airtime katika hoja za vyama pinzani japokuwa ipo maana ndani yake.
Kosa kubwa kutendeka ni kuanzisha mambo kwa mfululizo wa matukio pasipo kuacha time space,hoja inakuwa haina mvuto then that they swipe to the next one, labda sijajua kwamba kumekosekana masikilizano ndani ya chama mpaka kutokuwa na mipango mkakati kwenye uanzishwaji wa mada au hakuna watu sahihi wa kuendesha jukwaa la mitandao?
Kuna namna mulitakiwa kuzipa kipaumbe mada,mikutano ya ndani yachama,matukio na namna nzuri ya kukijenga chama (ndani ya chama) hasa baada ya ukimya mwingi kuliko kulipuka na maandamano yasiyo msingi wa ukuwaji na huwenda maandamano yamedhoofisha chama badala ya kukijenga chama.