CHADEMA mfukuzeni Lissu mapema au mdhibitini la sivyo yaliyowakuta CUF yatawakumba na ninyi

CHADEMA mfukuzeni Lissu mapema au mdhibitini la sivyo yaliyowakuta CUF yatawakumba na ninyi

Tundu A. Lissu, homeboy ni mwanasheria mzuri na mwanasiasa machachari sana, hapa ninakiri kumkubali.

Kiongozi huyu anaewapeleka chadema kwa kasi ya 4g pasina kueleweka anako wapeleka. Kimsingi hatabiriki kesho atakuja na stori gani na dhihaka gani kwa viongozi walio hai na wasio hai japo yeye anaita ukosoaji.

Misingi ya maridhiano kupelekea Katiba mpya ni dhahiri shahiri haitambui na anapingana nayo vikali, haishii hapo anatofautiana hata na Mwenyekiti wake.

Hii ina maana kwamba angependelea Mh. Freeman A.Mbowe aendelee kusota na kuteseka magereza na mikutano ya vyama vya Siasa kuendelea kupigwa pini. I can predict hali hii ikiendelea Mwenyekiti na Makamu wake will not see eye to eye siku za usoni. Mark my words.

Wengi especially elite class na visionary politicians ndani ya Chadema wameanza kujiengua kimya kimya mapema kwasabb ya aina ya siasa za kibinafsi na zinazoshambulia zaidi utu binafsi wa watu anayoifanya Lissu.

Siasa zilizojaa dhihaka, dharau, udini, ubaguzi kijinsia, ukanda na kwakweli siasa za majigambo kwamba no one is powerful than him within chadema wether you like or not. And you can't do anything up on me.

Kutofautiana kwake na Mwenyekiti ni ishara tosha kua hadi tunafika October 2025, chadema itabaki na washangiliaji tu, wapiga kura watakua wameshachukua mirengo mingine.

Jambo muhimu kudhibiti mapambano na mgawanyiko wa mtazamo ktk mambo mbalimbali baina ya Mwenyekiti na Makamu wake nikwamba, ni vema kabla hawajaanza mikutano yao waketi chini pamoja na wakubaliene mambo ya kuzungumza kuliko hali ilivyo sasa.

Ni vigumu sana kwa elite class, religious class, political parties na civil groups kuvumilia ktk hali hii hali ya kua na wao wana malengo na matarajio yao kupitia Chadema. Therefore kujiasemble behind Tundu Lisu huyu alie kosa staha kabisa na asie tambua hata chembe ya mafanikio ya huyu Rais alioko Madarakani hali yakua viongozi wenzie wanayaona na kupongeza ni dhahiri hayuko pamoja na viongozi wenzake, he is one army and ideology.

Mapendekezo:
Opposition Political parties, Religious Groups, Civil groups, Elite class, Citizens and everyone with good will for prosperity of Tanzanians Political, Social, Technological, Cultural and Economic development, let's us assemble behind this Patriotic and Statesman Freeman A. Mbowe, hakuna atakae juta baadae, whether atashinda au atashindwa. Taifa litapiga hatua kiasi kuliko vinginevyo.

That's my take.....
hope to learn from ur opinions....
Sisi ndo tunamtaka huyo sasa
 
Acha nikupe upeo kidogo Tundu Lisu hawezi kushinda uchaguzi 2025, but chadema itakua weak na taabani sana na isiyoaminika baada ya uchaguzi.

Freeman A Mbowe hawezi kushinda uchaguzi 2025 but chadema itakua moja strong na ya kuaminika.

In conclusion, hakuna mpinzani atakaefua dafu uchaguzi 2025.
Chama Kilichopo Madarakani kinaenjoy sana mparaganyiko, uhasama, ubinafsi, Tamaa na kukosekana dira na uelekeo miongoni mwa wapinzani. Na for sure mambo haya yatakiwezesha kusalia mamlakani kwa kipindi kirefu mno kijacho.

Shida ni hiyo tu.
Ndio maana ukikosoa au kushauri upinzani leo, ni anasa. Utaambulia Matusi na kuambiwa wew ni chama flani na flani but hiyo haisaidii chochote.
Ona ulivyo nanga wewe, kuna sehemu hapa umeona nikiongelea habari za 2025?
Kama mnahisi waoinzani wana watukaneni mkiwakosoa basi mnastahili, maana ninyi huwa hamjibu hoja zao bali mnawatumia Polisi, mnawafukuzisha kazi, mnawaharibia shyghuli zao, mnawaoa kesi za kutunga na kuwafunga. Kinachowashangaza hapo ni kipi wakati ubaya mliuanza wenyewe?
 
Ona ulivyo nanga wewe, kuna sehemu hapa umeona nikiongelea habari za 2025?
Kama mnahisi waoinzani wana watukaneni mkiwakosoa basi mnastahili, maana ninyi huwa hamjibu hoja zao bali mnawatumia Polisi, mnawafukuzisha kazi, mnawaharibia shyghuli zao, mnawaoa kesi za kutunga na kuwafunga. Kinachowashangaza hapo ni kipi wakati ubaya mliuanza wenyewe?
Ok
 
Sasa unanijibu "Ok" ndiyo nini? Ungenijibujibu angalau kwa kasentensi karefu kidogo, maana mimi nimejiandaa kwa ugomvi, sasa unataka haya Makombora nikampige nayo nani?
🤓🤓🤓🤣dah
 
Acha nikupe upeo kidogo Tundu Lisu hawezi kushinda uchaguzi 2025, but chadema itakua weak na taabani sana na isiyoaminika baada ya uchaguzi.

Freeman A Mbowe hawezi kushinda uchaguzi 2025 but chadema itakua moja strong na ya kuaminika.

In conclusion, hakuna mpinzani atakaefua dafu uchaguzi 2025.
Chama Kilichopo Madarakani kinaenjoy sana mparaganyiko, uhasama, ubinafsi, Tamaa na kukosekana dira na uelekeo miongoni mwa wapinzani. Na for sure mambo haya yatakiwezesha kusalia mamlakani kwa kipindi kirefu mno kijacho.

Shida ni hiyo tu.
Ndio maana ukikosoa au kushauri upinzani leo, ni anasa. Utaambulia Matusi na kuambiwa wew ni chama flani na flani but hiyo haisaidii chochote.
Una upeo mdogo sana !
 
with your brother and actually my homeboy LISU najaribu kubaini kasoro au tofauti zenu but kwa zaidi ya 90% mnafanana style ya response, body language, tone, rythim, words etc. ni watu ambao ni wabishi pasipokua na chakubishana but kutibua mambo ili kuatract dollar iwachukulie hatua for sympathy gain from the public but also have already prepare feature destination abroad. Sasa elite gani atamuamini na kumfuata kiongozi wa aina hii etc
Wewe tulishabishana na wewe kwenye mada nyingi zingine. Hata hii tutabishana sana..

Tatizo lako ni moja unafikiri unajua na wengine hatujui. Na mara zote huwa hujibu hoja na huwa unakimbilia kujitetea kwenye yasiyokuwepo na kuziacha hoja za kujibu..

Mfano kwenye hili, nimekuuliza maswali lukuki kutoka kwenye hoja kipofu nyingi ulizoziandika wa mkono wako mwenyewe, badala ya kujikita kutetea hoja zako Lakini unaleta mambo ya "sympathy" hapa..!

Nani kakuambia kuwa serikali nyingi za ki - Afrika na za kidikteta zisizozingatia sheria na katiba huwatia watu ndani kwa sababu ni kweli wamevunja sheria fulani?

Hufanya hivyo Kwa watu wa aina ya Tundu Lissu just because wanasema mambo ambayo wasingependa watu (wananchi) wayasikie Kwa sababu wataamka na kujua ujinga na upumbavu wa viongozi wao na hivyo nafasi zao za utawala kuwa hatarini kupotea..!

Kama hujui hata hili,basi wewe ni mjinga tu...!!
Narudia tena by 2025 Mbowe and LISU will not see each other eye to eye na Lisu kuondolewa chadema now au asipothibitiwa aina ya siasa anazofanya Chadema itaishia ilipoishia CUF.
And I also say again and again to remind you, that;

1. The late John P. Magufuli took the same oath as that☝️☝️☝️ one immediately after he came into power in 2015, that he would had made sure that CHADEMA is out of picture by 2020...

What happened instead? He himself went out of the picture and CHADEMA specific Tundu Lissu & Freeman Mbowe are more better than before.!!

2. Your wish is just a vanity wish. Majority of the people in the country are fasting and praying so that CCM can die and disappear forever. Yet, you are proscastinating nonsenses here?...... You are a vanity yourself..

Goodbye and good night.
 
Wewe tulishabishana na wewe kwenye mada nyingi zingine. Hata hii tutabishana sana..

Tatizo lako ni moja unafikiri unajua na wengine hatujui. Na mara zote huwa hujibu hoja na huwa unakimbilia kujitetea kwenye yasiyokuwepo na kuziacha hoja za kujibu..

Mfano kwenye hili, nimekuuliza maswali lukuki kutoka kwenye hoja kipofu nyingi ulizoziandika wa mkono wako mwenyewe, badala ya kujikita kutetea hoja zako Lakini unaleta mambo ya "sympathy" hapa..!

Nani kakuambia kuwa serikali nyingi za ki - Afrika na za kidikteta zisizozingatia sheria na katiba huwatia watu ndani kwa sababu ni kweli wamevunja sheria fulani?

Hufanya hivyo Kwa watu wa aina ya Tundu Lissu just because wanasema mambo ambayo wasingependa watu (wananchi) wayasikie Kwa sababu wataamka na kujua ujinga na upumbavu wa viongozi wao na hivyo nafasi zao za utawala kuwa hatarini kupotea..!

Kama hujui hata hili,basi wewe ni mjinga tu...!!

And I also say again and again to remind you, that;

1. The late John P. Magufuli took the same oath as that☝️☝️☝️ one immediately after he came into power in 2015, that he would had made sure that CHADEMA is out of picture by 2020...

What happened instead? He himself went out of the picture and CHADEMA specific Tundu Lissu & Freeman Mbowe are more better than before.!!

2. Your wish is just a vanity wish. Majority of the people in the country are fasting and praying so that CCM can die and disappear forever. Yet, you are proscastinating nonsenses here?...... You are a vanity yourself..

Goodbye and good night.
Ok
 
"Hii ina maana kwamba angependelea Mh. Freeman A.Mbowe aendelee kusota na kuteseka magereza na mikutano ya vyama vya Siasa kuendelea kupigwa pini. I can predict hali hii ikiendelea Mwenyekiti na Makamu wake will not see eye to eye siku za usoni. Mark my words."


MARIDHIANO NDO YALIFUTA KESI YA UGAIDI YA MBOWE?

MIKUTANO KUPIGWA PINI UNAONA NI HAKI YA MTAWALA?

UZI WA KISHENZI UMEANDIKWA NA MSHENZI.
 
Sababu Mbowe ananyanyaswa na kupokwa haki zake kisha anasamehe.

Lakini mtawala akipigwa spana kidogo kende zinawauma.

Umeandika kinyesi kitupu
 
Tundu A. Lissu, homeboy ni mwanasheria mzuri na mwanasiasa machachari sana, hapa ninakiri kumkubali.

Kiongozi huyu anaewapeleka chadema kwa kasi ya 4g pasina kueleweka anako wapeleka. Kimsingi hatabiriki kesho atakuja na stori gani na dhihaka gani kwa viongozi walio hai na wasio hai japo yeye anaita ukosoaji.

Misingi ya maridhiano kupelekea Katiba mpya ni dhahiri shahiri haitambui na anapingana nayo vikali, haishii hapo anatofautiana hata na Mwenyekiti wake.

Hii ina maana kwamba angependelea Mh. Freeman A.Mbowe aendelee kusota na kuteseka magereza na mikutano ya vyama vya Siasa kuendelea kupigwa pini. I can predict hali hii ikiendelea Mwenyekiti na Makamu wake will not see eye to eye siku za usoni. Mark my words.

Wengi especially elite class na visionary politicians ndani ya Chadema wameanza kujiengua kimya kimya mapema kwasabb ya aina ya siasa za kibinafsi na zinazoshambulia zaidi utu binafsi wa watu anayoifanya Lissu.

Siasa zilizojaa dhihaka, dharau, udini, ubaguzi kijinsia, ukanda na kwakweli siasa za majigambo kwamba no one is powerful than him within chadema wether you like or not. And you can't do anything up on me.

Kutofautiana kwake na Mwenyekiti ni ishara tosha kua hadi tunafika October 2025, chadema itabaki na washangiliaji tu, wapiga kura watakua wameshachukua mirengo mingine.

Jambo muhimu kudhibiti mapambano na mgawanyiko wa mtazamo ktk mambo mbalimbali baina ya Mwenyekiti na Makamu wake nikwamba, ni vema kabla hawajaanza mikutano yao waketi chini pamoja na wakubaliene mambo ya kuzungumza kuliko hali ilivyo sasa.

Ni vigumu sana kwa elite class, religious class, political parties na civil groups kuvumilia ktk hali hii hali ya kua na wao wana malengo na matarajio yao kupitia Chadema. Therefore kujiasemble behind Tundu Lisu huyu alie kosa staha kabisa na asie tambua hata chembe ya mafanikio ya huyu Rais alioko Madarakani hali yakua viongozi wenzie wanayaona na kupongeza ni dhahiri hayuko pamoja na viongozi wenzake, he is one army and ideology.

Mapendekezo:
Opposition Political parties, Religious Groups, Civil groups, Elite class, Citizens and everyone with good will for prosperity of Tanzanians Political, Social, Technological, Cultural and Economic development, let's us assemble behind this Patriotic and Statesman Freeman A. Mbowe, hakuna atakae juta baadae, whether atashinda au atashindwa. Taifa litapiga hatua kiasi kuliko vinginevyo.

That's my take.....
hope to learn from ur opinions....
Huu ushauri wako, hauna maana, cuf ilikufa baada ya viongozi kununuliwa na ccm,
Chadema, iliitwa, chama cha wachaga, ikapita, kikaitwa chama cha kaskazini, ikapita, viongozi wake wakashambuliwa kwa risasi, wakafungwa jera, lakini bado tu,
Kuna wakati huwa najiuliza kibao kikigeuka, ccm ikawa upimzani, ikafanyiwa hizi figisu,itadumu kwa muda gani?
Viongozi wataishia kujamba mishuzi tu,
 
Kiukweli home boy yupo vizuri na ni mzuri kujenga hoja na ni mwanasheria mzuri hata mkurugenzi wa jf bwana melo aliwahi kukubaliana na hilo

Shida iliyonifanya nianze kumkataa hana maneno ya staha kwa wengine, kibaya zaidi alipoulizwa msimamo wake kuhusu mashoga(upinde) akasema ni watu na wao wana haki inabidi waheshimiwe pale ndipo aliponishtua na kumuondoa kuwa kiongozi mkuu wa nchi. Kuruhusu hili niliona ni tatizo hatuwezi kukubaliana na hili katika jamii yetu tulipige vita
USHOGA ni miongoni mwa vitu VIBAYA SANA vinavyomchukiza Mungu kwa ukubwa.

Si vema kuvichekea hata kidogo.
 
Back
Top Bottom