sina hakika mpaka sasa.
watakua wameingiwa baridi kidogo.
unadhani nao wanapenda kujikosesha kazi kwa fedheha?
Ni aibu kwa mwanadiplomasia kama balozi kurejesha nyumbani kwa kukiuka ustaarabu na sheria za kimataifa š
Bila shaka Unajua kumeshanyooshwa vidole kwa wana izaya.
Si beberu huwa hakopeshi?