Sema amani ya çcm italindwa na siyo wananchi.Ni vizuri ukaelewa vyema hapo.,
suala la umoja, amani, na utulivu wa wananchi litalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile gentleman,
na wala kwenye hilo hakuna mbambamba yoyote aise dah 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sema amani ya çcm italindwa na siyo wananchi.Ni vizuri ukaelewa vyema hapo.,
suala la umoja, amani, na utulivu wa wananchi litalindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile gentleman,
na wala kwenye hilo hakuna mbambamba yoyote aise dah 🐒
ikiwa chadema imefanikiwa au haikufaniki sijui kufanya nini basi hayo ni mambo ya Chadema huko huko ndani,Polisi wamefanikisha maandamano ya chadema Kwa 100%!
Chadema wamefanikiwa sana!!!
Ni rasmi imeshajulikana kwamba TZ no nchi ya aina gani sasa hivi!!
Lengo lilikua kuonyesha kwamba "kumbe serikali imebariki mauaji yanauoendelea na haitaki yasitishwe Wala kukemea"
Siasa ni sayansi na sisi wanaccm tulipaswa kuiandaa UVCCM iandamane kumshinikiza Rais achukue hatua na kweli angebadili kidogo kwenye Baraza la mawaziri na wakuu wa kipolisi Kanda mbali mbali na kungepoa kama maji mtungini na chadema wangenyuti kama nini!!
Hao polisi mnaoringia.usidhani wataishi mileleRelax tu gentleman acha mihemko,
ilipaswa uje na hiyo katiba kwenye maandamano ili polisi wakuelekeze vizuri kwa virungu 🐒
ccm na polisi wa sa100 ndo wamefeli pakuwa walikuwa tayari kumwaga damu ya watanzania kwaajili ya kafara ya uchaguzi lakini intelijensia ya chadema iliwazidi,chadema bravo,polisi kwakuona haya wamebakia tu kuokoteza wapitanjia aibu kubwaKujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa?
Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na uelekeo wenu kisiasa? Taasisi kubwa kama chadema? No, hamuwezi kutoboa kabisa, never ever.
My friends,
Ni kujipanga tu. Hii ya kutegemea hisia, mihemko au huruma za wanainchi na ushabiki wa kutoka kwenye mitandao ya kijamii, haiwezi kuleta matokeo chanya kwa hapa Tz, lakini pia hali ya ground huku waliko wananchi ni tofauti mno na ilivyo kwenye social medias, ambazo chadema mmepumbazwa nazo mara zote, mkajisahau huko na hamjifunzi tu
Kuna utofauti na upotofu mkubwa sana baina ya ground na kwenye social medias. Go back to your drawing tables. Mkajipange vizuri, vinginevyo, hiki kilichofeli pakubwa leo kitajiridia tu tena.
Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Dunia na ulimwengu mzima umeshuhudia na kutambua kwamba, Tanzania kuhusu issue ya umoja, amani na utulivu wa wananchi wake, ina totally zero tolerence.
Tanzania iko tayari kutumia nguvu na gharama yoyote ile, tena bila kumuonea huruma, aibu wala haya mtu au nchi yoyote itakayojaribu kuhatarisha usalama wa waTanzania kwa ujumla 🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
mbowe akili kubwa weh huoni polissem wameandamana kutoka kila mkoa kuja dar halafu wanalala kwenye vipande vya godoro na mabox aibu kwaoMbowe amekwenda kuandamana amekuta hakuna mtu hata mmoja.Hadi KIkEKE akamuuliza sasa utaandamana na nani wakati watu hawapo? Eti mbowe akasema ataandamana na waandishi wa habari.Nikamshangaa sana anaposema ataandamana na waandishi wa habari utafikiri walimuambia kuwa wanataka kuandamana. Wanachama wake wamemgomea kuandamana halafu anataka waandishi wa habari ndio waandamane.
sawa.walikuwepo akina mahita,tibaigana zombe n.k..relax basi,
suala la kuishi milele au sio milele ni Neema na Baraka za Mungu gentleman na sio mihemko wala ushirikina 🐒
Nimevunjika moyo na hawa watu. Debe tupu haliwachi kutika.Kujipiga kifua kote kule, press conference kila siku, kila mara, mmefikia wapi mpaka sasa, na matokeo ya hayo yote ni nini na kiko wapi sasa?
Mnapuuza ushauri wa kitaalamu na mipango mikakati ya wabobezi katika siasa, mnaendekeza hisia, mihemko na kutegemea huruma za wanainchi kama dira na uelekeo wenu kisiasa? Taasisi kubwa kama chadema? No, hamuwezi kutoboa kabisa, never ever.
My friends,
Ni kujipanga tu. Hii ya kutegemea hisia, mihemko au huruma za wanainchi na ushabiki wa kutoka kwenye mitandao ya kijamii, haiwezi kuleta matokeo chanya kwa hapa Tz, lakini pia hali ya ground huku waliko wananchi ni tofauti mno na ilivyo kwenye social medias, ambazo chadema mmepumbazwa nazo mara zote, mkajisahau huko na hamjifunzi tu
Kuna utofauti na upotofu mkubwa sana baina ya ground na kwenye social medias. Go back to your drawing tables. Mkajipange vizuri, vinginevyo, hiki kilichofeli pakubwa leo kitajiridia tu tena.
Soma Pia: Yanayojiri kwenye Maandamano ya CHADEMA 23/9/2024
Dunia na ulimwengu mzima umeshuhudia na kutambua kwamba, Tanzania kuhusu issue ya umoja, amani na utulivu wa wananchi wake, ina totally zero tolerence.
Tanzania iko tayari kutumia nguvu na gharama yoyote ile, tena bila kumuonea huruma, aibu wala haya mtu au nchi yoyote itakayojaribu kuhatarisha usalama wa waTanzania kwa ujumla 🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Rubbish tupu.suala la umoja amani na utulivu wa waTanzani si suala la chama fulani, hili ni jambo la jumla kitaifa.
Amani ya Tanzania italindwa kwa nguvu zote na kwa gharama yoyote ile 🐒
kwanini inakuwa furaha kwako kuona polisi mtanzania anamwaga damu ya mtanzania mwenzakeKulikua na kauli za kishujaa jana,nikajua leo tz itatawala media za kimataifa kwa damu itayomwagika,kumbe waoga tu!!..kazi ya kuandamana nchi hii wanaweza waislam tu
Lunatic mind,Mbowe amekwenda kuandamana amekuta hakuna mtu hata mmoja.Hadi KIkEKE akamuuliza sasa utaandamana na nani wakati watu hawapo? Eti mbowe akasema ataandamana na waandishi wa habari.Nikamshangaa sana anaposema ataandamana na waandishi wa habari utafikiri walimuambia kuwa wanataka kuandamana. Wanachama wake wamemgomea kuandamana halafu anataka waandishi wa habari ndio waandamane.
Huyo mlete mada ni miongoni mwa wale wasiokuwa na uwezo mkubwa wa akili.Trust me! Sijui mengi kuhusu siasa lakini kama sio government kuparade askari wengi kupitiliza leo watu wangetokea kiasi chake
Sema government imeamua yenyewe kufanya demonstration kwa kutumia askari kitu ambacho ni sahihi lakini CHADEMA kufanya hivyo ni kosa
Moto wa Kuni unaanza kuwaka taratibuKulikua na kauli za kishujaa jana,nikajua leo tz itatawala media za kimataifa kwa damu itayomwagika,kumbe waoga tu!!..kazi ya kuandamana nchi hii wanaweza waislam tu
Kuna pahala nimeandika nafurahia?kwanini inakuwa furaha kwako kuona polisi mtanzania anamwaga damu ya mtanzania mwenzake
uliposema kumbe waoga ulitegemea nini wangejitokezaKuna pahala nimeandika nafurahia?
Unaambiwa maandamano ya AmaniPolisi nchini hawatatoa mguu hata sentimita moja, eti kutoa uhuru kwa wahalifu na makaidi kuhatarisha au kuvuruga umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania. Hilo kamwee halitatikea nchini Tanzania 🐒
Labda mkajaribu kufanya hivyo nchi zinazo intertain wahalifu but not Tz.
Kwamba eti waondoe Polisi ili waone moto? 🤣🤣
hu si ushirikina sasa 🤣
hakuna anaetishiwa, wala kukenuliwa kwenye suala la kulinda umoja, amani na utulivu wa wananchi Tanzania.
Ni zoezi endelevu lisilo na ukomoMaa