Labda Mbowe asiingie kwenye hicho kikao, ama arudishe kwanza hela alizopewa na ccm.Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".
Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
Na huo udhaifu wa chadema kulaghaiwa kwa peremende za maridhiano ndiyo unaoua nguvu ya wananchi kuyapigania mabadiliko.Kwahili nadnani CDM wapo weak sana
Baada ya wiki mbil utawaona wanakumbatiana na kusema siasa si uadui 🤣🤣🙌,
Nilimshangaa sana siku ile kwenye mazishi ya mzee Ali Kibao ,watu walitaka kumpopoa mawe Masauni halafu yeye akawa mkali. Shieee! (Mshangao wa kimasai)Labda Mbowe asiingie kwenye hicho kikao, ama arudishe kwanza hela alizopewa na ccm.
Wanadanganywa ATI uchaguzi huu utakuwa wa huru na haki. Wanakubali. Shieee! (Mshangao wa kimasai)Waache kudanganywa kama watoto wadogo.
Hongera sana chawa. Lkn uzuri ni kwamba bei za bidhaa na shida nyingine zote hazinaga uchawaWe kwl nyumbu
Shieee !Nilimshangaa sana siku ile kwenye mazishi ya mzee Ali Kibao ,watu walitaka kumpopoa mawe Masauni halafu yeye akawa mkali. Shieee! (Mshangao wa kimasai)
Ingeweza tatizo CCM inatumia Polisi yenye bunduki ila wangeacha vipambane vyama vyenyewe nakuhakikishia kuna maeneo hawa wasimamizi wangechinjwa hadharani.Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".
Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
Jukumu hilo ni la wananchi wote, wasiachiwe chadema peke yao.Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".
Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
Usiwe na haraka ya namna hiyo.Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.
Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".
Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
Sija kusoma muda mrefu kidogo, kiasi nilianza kuwa na wasiwasi.Ingeweza tatizo CCM inatumia Polisi yenye bunduki ila wangeacha vipambane vyama vyenyewe nakuhakikishia kuna maeneo hawa wasimamizi wangechinjwa hadharani.
Ila kwenye rafu CHADEMA kweli haijatumia kama wao wanatumia wanafunzi na sisi tungenunua wanafunzi. Ikiwezekana hata itengwe mabilioni tuhonge wasimamizi uchaguzi ujao, mawakala wa CCM pia tuwahonge na wengine tuteke hata watoto wao ili watangaze upinzani.
Demokrasia haifanyi kazi Tanzania ni wakati tubadilike tutumie dark arts.
Bahati mbaya tu ni kwamba, hao hao CCM wanayo nafasi ya kuitumia mitutu ya bunduki za waTanzania dhidi ya viongozi wa CHADEMA na baadhi ya wafuasi wao na pasiwepo wa kuwahoji., siyo wananchi wala nani! Hili inaNa huo udhaifu wa chadema kulaghaiwa kwa peremende za maridhiano ndiyo unaoua nguvu ya wananchi kuyapigania mabadiliko.
Hawa ccm wanataka nadharia ya jino kwa jino ifanye kazi ndipo watakuwa na adabu
Mbowe ni kansa ya chadema wapumbavu wengi hawaelewiLabda Mbowe asiingie kwenye hicho kikao, ama arudishe kwanza hela alizopewa na ccm.
Kwel mkuu hapa umenena chadema wanastahili kubadilika ile jino kwa jino au ukiweka mguu naweka nondo hakika wangetoboa ila sasa mikakat yao na mipango yao bodo ni ya kizaman na ya kutegemea huruma sijui ata ya nani agh!!!!!!!!!!!Ingeweza tatizo CCM inatumia Polisi yenye bunduki ila wangeacha vipambane vyama vyenyewe nakuhakikishia kuna maeneo hawa wasimamizi wangechinjwa hadharani.
Ila kwenye rafu CHADEMA kweli haijatumia kama wao wanatumia wanafunzi na sisi tungenunua wanafunzi. Ikiwezekana hata itengwe mabilioni tuhonge wasimamizi uchaguzi ujao, mawakala wa CCM pia tuwahonge na wengine tuteke hata watoto wao ili watangaze upinzani.
Demokrasia haifanyi kazi Tanzania ni wakati tubadilike tutumie dark arts.