CHADEMA mkikutana Kamati Kuu, jadilini njia mbadala ya kupambana na CCM. Dhulma ifike mwisho

CHADEMA mkikutana Kamati Kuu, jadilini njia mbadala ya kupambana na CCM. Dhulma ifike mwisho

Kazi number moja kubwa ya chama cha siasa ni kuelimisha raia kuhusu haki zao kwenye nchi.

Wakishapata hiyo elimu ikawaingia kichwani, mengine ni yote hayashindikani.

CDM aina wanasiasa bado.
Chadema watatuelimisha nini wakati sisi wananchi tuna uelewa mkubwa zaidi kuliko wao? Hivi nyumbu wanaweza kuelewesha watu kweli? Chadema yenye uwezo wa kufanya hivyo iliishia 2015. Hii ya sasa hivi ni magalasa matupu.
 
Kimsingi binafs mimi kata yangu imepita chadema lakin huwez amini matokeo yametolewa saa Tisa usiku tena kwa mbinde na uharibifu mkubwa na baada ya vijana kugoma mpaka polis mabom na pilka pulika kibao je haya mambo yataisha lini
 
Chadema wataruelimisha nini wakati sisi wananchi tunauelewa mkubwa zaidi kuliko wao? Hivi nyumbu wanaweza kuelewesha watu kweli? Chadema yenye uwezo wa kufanya hivyo iliishia 2015. Hii ya sasa hivi ni magalasa matupu.
Wenyewe hawataki kuukubali huo ukweli.

Wanadhani kutoka ni personality zao tu (umaarufu wa mtu mmoja-mmoja), tosha kuitisha watu waingie kitaa.
 
Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".

Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
watakutana kunywa mipombe tu hao 🐒
 
Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".

Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
Na nyie wananchi hasa vijana muwe tayari - hili tatizo si la Mbowe, Lissu, Lema ama Boni yai.
 
Nilimshangaa sana siku ile kwenye mazishi ya mzee Ali Kibao ,watu walitaka kumpopoa mawe Masauni halafu yeye akawa mkali. Shieee! (Mshangao wa kimasai)
Shida inapokuja ni kuwa wapo wenye nia ya mabadiliko hasa hao CHADEMA ila mipango inapangwa vizuri wakiwa na mwenyekiti ila akipeleka ajenda CCM analambishwa asali anajikuta anageuza msimamo. The one and only chance ya CHADEMA kushika dola ilikuwa ni 2015 ila waliharibu wenyewe😄.

CCM ilikuwa on its weakest form ever i could call it the dead end na bila kumpitisha Magufuli they was no way out. Sahizi wameshajiimarisha baada ya kukivuruga vuruga chama cha CHADEMA na washajua kwa kutanguliza polisi tu lolote linawezekana.
 
Ingeweza tatizo CCM inatumia Polisi yenye bunduki ila wangeacha vipambane vyama vyenyewe nakuhakikishia kuna maeneo hawa wasimamizi wangechinjwa hadharani.

Ila kwenye rafu CHADEMA kweli haijatumia kama wao wanatumia wanafunzi na sisi tungenunua wanafunzi. Ikiwezekana hata itengwe mabilioni tuhonge wasimamizi uchaguzi ujao, mawakala wa CCM pia tuwahonge na wengine tuteke hata watoto wao ili watangaze upinzani.

Demokrasia haifanyi kazi Tanzania ni wakati tubadilike tutumie dark arts.
Na hio ndio inafanya raia wajifiche nyuma ya keyboards. Unafikiri Kenya zingekuwa zinapigwa njugu watu wangeingia barabarani kirahisi😂😂😂
 
Na hio ndio inafanya raia wajifiche nyuma ya keyboards. Unafikiri Kenya zingekuwa zinapigwa njugu watu wangeingia barabarani kirahisi😂😂😂
Kenya mbona risasi zilikua zinapigwa ila kule watu sio waoga, maandamano ya Gen Z walikufa wengi sana ila kama sio Odinga kuwapooza Ruto angeshatolewa.
 
Sija kusoma muda mrefu kidogo, kiasi nilianza kuwa na wasiwasi.

Mliopo huko ndani ya chama; hasa nyinyi mnao pitia sehemu mbalimbali mitandaoni, na hasa humu JF; kisaidieni chama na viongozi wenu kukusanya mengi yanayo elezwa sehemu hizi na kuyawasilisha kwa viongozi wenu ili wayachuje na yanayo faa chama kiyafanyie kazi.

Kwa mfano: Mikutano wanayo fanya viongozi sehemu mbalimbali inaonyesha kila mahali "nyomi" za kutisha yeyote; hata huyo CCM. Jiulizeni, hizi nyomi kwa nini zinaishia kwenye mikutano hiyo?
Kuna kitu gani kinahitajika kufanyika hizi nyomi ziwatishe kweli kweli CCM wakati zinapo hitajika kufanya hivyo.
Natumaini utanielewa ninapo lenga; na huo ni mfano mmoja tu wa ushauri tunao tamani chama na viongozi wake waufanyie kazi haraka kabla ya 2025.
Tuliopata D mbili tumekuelewa vizuri kabisa.
 
Ingeweza tatizo CCM inatumia Polisi yenye bunduki ila wangeacha vipambane vyama vyenyewe nakuhakikishia kuna maeneo hawa wasimamizi wangechinjwa hadharani.

Ila kwenye rafu CHADEMA kweli haijatumia kama wao wanatumia wanafunzi na sisi tungenunua wanafunzi. Ikiwezekana hata itengwe mabilioni tuhonge wasimamizi uchaguzi ujao, mawakala wa CCM pia tuwahonge na wengine tuteke hata watoto wao ili watangaze upinzani.

Demokrasia haifanyi kazi Tanzania ni wakati tubadilike tutumie dark arts.
Hili la kuteka watoto wao ni zuri sna wataacha uninga
 
Hapo sawa.

Japo kiukweli , 2015 ccm ndiyo ilikuwa imeparaganyika mno. Lkn kwa sasa imejipanga, siyo kwa sera na mikakati, bali ni kwa matumizi ya mabavu.
Ndio kujiimarisha kwenyewe
 
Kwa kuwa ccm wao wanaua, wanateka na kudhulmu haki za uchaguzi, basi chadema iangalie namna ya kukabiliana kivitendo na mauaji, utekaji na dhulma ya haki ya kuchagua na kuchaguliwa.

Dawa ya moto ni moto, na dawa ya figisu ni figisu. Wenyewe husema "ubaya hujibiwa kwa ubaya".

Ili majogoo yaheshimiane ni lazima yachapane kwanza.
Njia ya mbadala ni moja tu

1.Adui yetu namba Moja ni polisi wote wa Tanzania.
Tuingie msituni nchi jirani kabla ya uchaguzi mkuu Polisi 1000 wawe walemavu
Wana CCM 2000 wawe walemavu
 
Njia ya mbadala ni moja tu

1.Adui yetu namba Moja ni polisi wote wa Tanzania.
Tuingie msituni nchi jirani kabla ya uchaguzi mkuu Polisi 1000 wawe walemavu
Wana CCM 2000 wawe walemavu
Wazo bora kabisa
 
Back
Top Bottom