CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA.
Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2015 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndio mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.
Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Mtu yupo kuzimu unamuombaje msamaha?

Ungejuwa halipo ungemuombea misa nyingi na dua nyingi za kumuombea msamaha kwa Mungu wa kweli kwa kosa la kujifanya mungu mtu alipopewa pumzi ya bure na Mungu wa kweli.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA.
Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2015 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndio mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.
Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Upumbavu ni mzigo. Mtu pumbavu hajui kwamba aliyekuwa akiwabambikia CHADEMA kesi za uongo NI magufuli.

Mtu mpumbavu hajui kwamba aliyekuwa akikandamiza ukuaji was demonrasia nchini ni magufuli, jina lake naliandika kwa kuanza na herufi ndogo intentionally.

Mtu aliyekandamiza Uhuru wa habari NI magufuli.
 
Rais wa hovyo zaidi kuwahi kutokea TZ! Sera na maono gani? Kujiita Rais wa wanyonge as if unyonge ni sifa? Kujifanya mpinga rushwa na ufisadi wakati yeye na timu yake ndiyo walikuwa wezi namba moja nchi hii? Kudhulumu wakulima hela zao na kuzibwa midomo wasiongee? Kupiga stop vyombo vya habari visiripoti mabaya yeyote ya utawala wake?

Kuwapa kesi za uhujumu uchumi wale wote ambao alikuwa hawapendi kwa sababu zake binafsi? Kutesa upinzani na kuwageuza kuwa adui namba 1 wa taifa? Kujisifu na elimu bure wakati alikuwa hapeleki hela mashuleni? Kuzifubaza halmashauri zetu kwa kutozipelekea hela za miradi? Kutoajiri, kupandisha watu vyeo na kuongeza mishahara kisa eti anajenga SGR na Bwawa la umeme (Samia anafanya vyote kwa pamoja)? Wewe na huyo jamaa yako ni vilaza wakubwa..
 
Rais wa hovyo zaidi kuwahi kutokea TZ! Sera na maono gani? Kujiita Rais wa wanyonge as if unyonge ni sifa? Kujifanya mpinga rushwa na ufisadi wakati yeye na timu yake ndiyo walikuwa wezi namba moja nchi hii? Kudhulumu wakulima hela zao na kuzibwa midomo wasiongee? Kupiga stop vyombo vya habari visiripoti mabaya yeyote ya utawala wake? Kuwapa kesi za uhujumu uchumi wale wote ambao alikuwa hawapendi kwa sababu zake binafsi? Kutesa upinzani na kuwageuza kuwa adui namba 1 wa taifa? Kujisifu na elimu bure wakati alikuwa hapeleki hela mashuleni? Kuzifubaza halmashauri zetu kwa kutozipelekea hela za miradi? Kutoajiri, kupandisha watu vyeo na kuongeza mishahara kisa eti anajenga SGR na Bwawa la umeme (Samia anafanya vyote kwa pamoja)? Wewe na huyo jamaa yako ni vilaza wakubwa..
😃😃😃😃😄😄😄😄mnamtaka nani.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA.
Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2015 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndio mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.
Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Pumbaf
 
Upumbavu ni mzigo. Mtu pumbavu hajui kwamba aliyekuwa akiwabambikia CHADEMA kesi za uongo NI magufuli.

Mtu mpumbavu hajui kwamba aliyekuwa akikandamiza ukuaji was demonrasia nchini ni magufuli, jina lake naliandika kwa kuanza na herufi ndogo intentionally.

Mtu aliyekandamiza Uhuru wa habari NI magufuli.
😃😃😃😃😃😃😃😃CHADEMA mnajidaigi mnaakili huku mmeshindwa kuchukua nchi. Mnazidiwa kete alafi mnajinadi mnaakili.
 
😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄haha, sasa mtawezaje kupita 2025 bila sera nilizowaelekeza.
 
Back
Top Bottom