CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana

Upumbavu ni mzigo. Mtu pumbavu hajui kwamba aliyekuwa akiwabambikia CHADEMA kesi za uongo NI magufuli.

Mtu mpumbavu hajui kwamba aliyekuwa akikandamiza ukuaji was demonrasia nchini ni magufuli, jina lake naliandika kwa kuanza na herufi ndogo intentionally.

Mtu aliyekandamiza Uhuru wa habari NI magufuli.
Leo hayupo Nani Yuko nyuma ya yanayoendelea yote kwa upinzani,ikiwemo mikutano yenu kuzingirwa na mapolisi,ofisi zenu kuchomwa moto,kiongozi wenu kurundikwa ndani miez takribani 4 na kesi nzito na mengine mengi ama kweli watu wamesoma LAKINI hawajaelimika.Lakini mbona waliosoma zamani enzi za mkoloni na mwishoni mwa miaka ya 70 walikua na uelewa mkubwa kuliko Hawa wa Sasa wakati elimu ni ile ile ya mkoloni,tatizo ni nini
 
Hakika wewe umenitangulia kupost thread mi mwenyewe nilkua na mawazo Kama yako.Kuchange gia angani sio kosa Kama walivyofanya 2015 basi wanaweza wakatumia njia hiyo hiyo Sasa kuelekea 2025 kwa chini chini bila kuexpose Sera zao kwa CCM kwakua ataziiba na kuzitafsri kua zake,wakienda na ule mwelekeo aliokua nao magufuli wakarekebisha mapungufu madogo wanayoona alikua wrong basi nchi wanachukua.Tatizo lao wanaamini mawazo yao mfu ndio yako sahihi mawazo ambayo hata wake zao hawayaamini.
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Kwani amefufuka? Au Chadema wamfuate huko jehanam aliko?
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.


"watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata"

they will deny this in their heart, they always do, na hawafiki mbali
 
Habari za leo ndugu zangu wa chama cha CHADEMA. Leo nataka niwaibie siri ila siwalazimishi kuifuata ni juu yenu.

Ni hivi,

"CHADEMA mkimwomba msamaha Magufuli na kuamua kufuata sera na maono yake, 2025 mnachukua nchi kilaini sana".

Nimeyasema haya kwasababu alitaka mjenge naye uchumi lakini mlianza usumbufu. Mkaanza kumsumbua, aliteua hadi watu kutoka chama chenu lakini bado mliendelea kuwa wasumbufu.

Hamkupenda kushirikiana naye ni kwasababu hamkumkubali. Sasa wakati wa kumkubali ndio huu, kuomba msamaha na kufuata sera na nyayo zake. Na sababu za kutomkubali na usumbufu wote mlioanza kumletea chanzo chake ilikua ni sanduku la kula. Hamkuamini ushindi wake 2015.

Basi hamna budi kujitakasa na kumkubali sasa, 2025 ndipo mtaweza kushinda. Nimesema haya kwasababu watanzania kuna kitu wanakiamini. Hicho ndicho mwatakiwa kukifuata.

Mkifanya hivyo hamtahitaji hata kupiga kampeni wala kuitisha mikutano na wananchi au waandishi wa habari. Mtajikuta mnakubalika tu.

Kama hamniamini jaribuni hata saivi mtume tu kavideo Facebook au Instagram, alafu mje kusimulia hapa jamii forum.
Unataka CHADEMA waanze kuua wanaowapinga?
 
Adui mkubwa wa Mtanzania ni CCM, katiba ya mwaka 1977 na Mwenge unaomaliza mabilioni bila sababu yoyote.
Leo hayupo Nani Yuko nyuma ya yanayoendelea yote kwa upinzani,ikiwemo mikutano yenu kuzingirwa na mapolisi,ofisi zenu kuchomwa moto,kiongozi wenu kurundikwa ndani miez takribani 4 na kesi nzito na mengine mengi ama kweli watu wamesoma LAKINI hawajaelimika.Lakini mbona waliosoma zamani enzi za mkoloni na mwishoni mwa miaka ya 70 walikua na uelewa mkubwa kuliko Hawa wa Sasa wakati elimu ni ile ile ya mkoloni,tatizo ni nini
 
Adui mkubwa wa Mtanzania ni CCM, katiba ya mwaka 1977 na Mwenge unaomaliza mabilioni bila sababu yoyote.
Njia ya kuishinda CCM sio kuuchukia mwenge,Wala sherehe za uhuru Bali nyie fanyeni Kama mnaunga mkono juhudi za kukimbiza mwenge na sherehe nyingine zote,mkishapata hiyo dola mtakua huru kuvifuta vyote na kufanya yenu.
 
Njia ya kuishinda CCM sio kuuchukia mwenge,Wala sherehe za uhuru Bali nyie fanyeni Kama mnaunga mkono juhudi za kukimbiza mwenge na sherehe nyingine zote,mkishapata hiyo dola mtakua huru kuvifuta vyote na kufanya yenu.
Yaani ni utaahira wa hali ya juu kufuata mbinu za kumshinda adui yako ambazo yeye ndiye anakuambia uzifuate ili umshinde
 
Back
Top Bottom