Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

Hivi mishahara ya wabunge ikipunguzwa na matumizi ya anasa misafara, magari ya kifahari ya kauzwa, wakuu wa Mikoa na Wilaya wakafutwa na serikali ikawa ndogo mawazi si zaidi ya 15, bado tu fedha hazitatosha?
 
kweli mkuu,kuna wengine waliahidi milioni 50 kila kijiji na ahadi nyingine kemkem alafu baada ya kupata kura wamejikausha kama si wao..wamerudi tena safari hii kutulaghai na uongo mwingine..wanafkiri tumesahau
Sijakataa mkuu. Ndio maana nimesema sera zinatolewa ili watu wapate kura tu.
 
Basi itakuwa kodi ya kichwa, sainunu LAIZER ana wake 32 watoto 76 house girl 48 walinzi 4 kwenye boma lake, akilipia bima ya laki kwa kila mtu kafirisika tayari
Sasa tukizaana kwakua matiti ya kunyonyeshea watoto tunayo na shule ni bure Bima ya afya tutalipaje?
 
Hivi mishahara ya wabunge ikipunguzwa na matumizi ya anasa misafara, magari ya kifahari ya kauzwa, wakuu wa Mikoa na Wilaya wakafutwa na serikali ikawa ndogo mawazi si zaidi ya 15, bado tu fedha hazitatosha?
Duuh we jamaa aisee!!!
 
Ndo hivyo hata Kama akitoa bima za gharama nafuu, ubora wa huduma za afya utadorora sana. Itakuwa more than worse
Sasa mkuu akitoa bima za gharama nafuu ubora utadorola vipi kwa sasa hali ipoje ambapo wanaotozwa bima nighari, navipi walalahoi wasio nabima wanatibiwaje?.
 
Nimeona CHADEMA ikijinadi kuwa ndani ya siku mia moja watahakikisha huduma za afya inatolewa bure kwa kushirikiana na taasisi binafsi. Kwangu hili itakuwa jambo jema kwa watu zaidi ya watu millioni 60 watapewa huduma bure kabisa bila kuchangia chochote.

Lakini nina mashaka na ahadi hii
1. Kwanza CHADEMA na wapinzani mmekataa kuwa Tanzania siyo nchi yenye uchumi wa kati. Kwa mantiki hiyo Tanzania bado ni nchi maskini hivyo huduma bure za afya ni ahadi ya uongo.

2. Ni mbinu gani mtatumia ndani ya siku mia moja kuifanya nchi iwe tajiri kiasi cha kufanya huduma za afya iwe bure ?

3. Nchi kama Marekani, England, na nchi tajiri duniani hakunaga huduma bure za afya. Na kama itakuwepo lazima kuwa na udhibiti wa rapid population growth maana unawezaje kutoa huduma bure za afya kwa kinamama wanaojifungua kila mwaka?

4. Hivi unaposema utatoa huduma bure za afya uanaelewa kweli ulisemalo? Hivi unaelewa kuwa gharama za huduma ya afya ni kubwa kuanzia mwanafunzi anapoanza masomo ya huduma za afya, vifaa Tiba na madawa?

5.Unaposema utatoa huduma bure za afya hebu tuambie Tanzania kuna, viwanda vingapi vya madawa na vifaa tiba? India, China etc kuna viwanda vingi vya madawa na vifaa tiba, je kwao huduma za afya ni bure?

7. Mpaka sasa watoa huduma za afya wanapata shida kwa upande wa NHIF maana gharama zao ni ndogo, makato makubwa, kiasi cha kuathiri uendeshaji Bora wa huduma za afya huko private hospitals. Sasa ukisema utashorikiana na private sector kutoa huduma za afya si ndiyo itakuwa hovyo kabisa?

8.Ziko huduma unaweza kutoa bure lakini siyo huduma za afya. Huduma bure mashuleni is possible because you need black board, chaki na mishahara ya wafanyakazi. Daftari, vitabu, penseli, pen mzazi ananunua mwenyewe.

9. Wapinzani mnalalamikia wafanyakazi na wafanyabiasha kulipa kodi sasa mtatumia mbinu gani kukuza uchumi?

10. Mnapinga miradi mikubwa iliyoanzishwa na awamu ya tano na mkiingia Ikulu nihakika mtaifuta. Mradi mkubwa wa ujenzi wa bwawa la umeme, mradi wa train wa mwendo kasi, mradi wa ndege etc. Ni miradi inayotupeleka uchumi wa kati na baadae kutuwezesha kutoa bure Baadhi ya huduma. Sasa miradi hiyo yote mnaiponda, kwenu haina tija mtaipiga chini. Sasa kwanini Mnatoa ahadi za uongo kuwa utatoa huduma bure za afya?

11. Makinikia mnasema siyo ya kwetu, mnalalamikia ukuta wa Mererani, mnasema serikali isifanye biashara sasa mimi nashindwa kuelewa hiyo huduma ya afya itakayotolewa bure itakuwa na kubera gani.

Karibuni kwa majibu ya hoja zangu na siyo kwa matusi na mihemko!
Hii ni hatari unaambiwa wafanyakazi wataboreshewa masirahi yao, hali ya kuwa hawajui vyanzo vya mapato.
 
Suala la elimu bure linawezekana japo ubora pia umepungua, kwa sababu gharama za kulipia shuleni ni fixed kila mwaka zinajulikana, hivyo serikali inapata urahisi wa kupangia bajeti ambayo iko fixed pia.

Lakini suala la afya mkuu huwezi panga kwamba leo nitaumwa ama siumwi hivyo gharama zake sio fixed. Hata serikali ya Mh. Lissu ikijakupanga bajeti kuhusu hii ishu watasumbuka kwa sababu, bajeti itakuwa inabadilika kila mara .
Kwenye Budget yeyote huwa kunakitu kinaitwa unforeseen, kama unahitaji utekeleze Budget yako kwa 100% lazima uongeze pesa yatahadhari kama ulivyokadilia na inakua na ongezeko la( 2%-5% )ya budget nzima. Hio ndio itafidia yale ambayo hukuyatarajia.

Je tujiulize kwa sasa budget ya afya inatekelezwa japo kwa asilimia 50?.
 
Sijaiona ndiyo maana nimekuuliza?
Basi sawa kama hujaona mana kila mtu ana uwezo wake tofauti wa utambuzi sasa wako umeishia hapo basi nadhani hakuna haja ya kutaka kujua zaidi mkuu.
 
Sera za Lissu na chadema yake ni uongo mtupu, huwezi na katu asilani taifa hili haliwezi kuwapa watu bima ya afya kwa 100%, kwa uchumi gani tulionaó?

Amesema atapunguza kodi, atakusanya nini ili apate pesa za kuendesha nchi.

Nakubaliana nae kwenye marejesho ya mikopo ya wanachuo, 15% ni kubwa sana kumkamua kijana aliyemaliza chuo.
 
Nimeona CHADEMA ikijinadi kuwa ndani ya siku mia moja watahakikisha huduma za afya inatolewa bure kwa kushirikiana na taasisi binafsi. Kwangu hili itakuwa jambo jema kwa watu zaidi ya watu millioni 60 watapewa huduma bure kabisa bila kuchangia chochote.

Lakini nina mashaka na ahadi hii
1. Kwanza CHADEMA na wapinzani mmekataa kuwa Tanzania siyo nchi yenye uchumi wa kati. Kwa mantiki hiyo Tanzania bado ni nchi maskini hivyo huduma bure za afya ni ahadi ya uongo.

2. Ni mbinu gani mtatumia ndani ya siku mia moja kuifanya nchi iwe tajiri kiasi cha kufanya huduma za afya iwe bure ?

3. Nchi kama Marekani, England, na nchi tajiri duniani hakunaga huduma bure za afya. Na kama itakuwepo lazima kuwa na udhibiti wa rapid population growth maana unawezaje kutoa huduma bure za afya kwa kinamama wanaojifungua kila mwaka?

4. Hivi unaposema utatoa huduma bure za afya uanaelewa kweli ulisemalo? Hivi unaelewa kuwa gharama za huduma ya afya ni kubwa kuanzia mwanafunzi anapoanza masomo ya huduma za afya, vifaa Tiba na madawa?

5.Unaposema utatoa huduma bure za afya hebu tuambie Tanzania kuna, viwanda vingapi vya madawa na vifaa tiba? India, China etc kuna viwanda vingi vya madawa na vifaa tiba, je kwao huduma za afya ni bure?

7. Mpaka sasa watoa huduma za afya wanapata shida kwa upande wa NHIF maana gharama zao ni ndogo, makato makubwa, kiasi cha kuathiri uendeshaji Bora wa huduma za afya huko private hospitals. Sasa ukisema utashorikiana na private sector kutoa huduma za afya si ndiyo itakuwa hovyo kabisa?

8.Ziko huduma unaweza kutoa bure lakini siyo huduma za afya. Huduma bure mashuleni is possible because you need black board, chaki na mishahara ya wafanyakazi. Daftari, vitabu, penseli, pen mzazi ananunua mwenyewe.

9. Wapinzani mnalalamikia wafanyakazi na wafanyabiasha kulipa kodi sasa mtatumia mbinu gani kukuza uchumi?

10. Mnapinga miradi mikubwa iliyoanzishwa na awamu ya tano na mkiingia Ikulu nihakika mtaifuta. Mradi mkubwa wa ujenzi wa bwawa la umeme, mradi wa train wa mwendo kasi, mradi wa ndege etc. Ni miradi inayotupeleka uchumi wa kati na baadae kutuwezesha kutoa bure Baadhi ya huduma. Sasa miradi hiyo yote mnaiponda, kwenu haina tija mtaipiga chini. Sasa kwanini Mnatoa ahadi za uongo kuwa utatoa huduma bure za afya?

11. Makinikia mnasema siyo ya kwetu, mnalalamikia ukuta wa Mererani, mnasema serikali isifanye biashara sasa mimi nashindwa kuelewa hiyo huduma ya afya itakayotolewa bure itakuwa na kubera gani.

Karibuni kwa majibu ya hoja zangu na siyo kwa matusi na mihemko!
Watakwambia jikite kwenye hoja?
Wao kila kitu ni bure hawasemi pesa watatoa wapi, kodi yenyewe wanataka watu wasilipe kodi, labda watapewa pesa na Amsterdam
 
Wengine hayo maisha ya elimu bure isipokuwa sare za shule mzazi ndio ananunua na matibabu bure kabisa tumeyapitia.
 
Nimeona CHADEMA ikijinadi kuwa ndani ya siku mia moja watahakikisha huduma za afya inatolewa bure kwa kushirikiana na taasisi binafsi. Kwangu hili itakuwa jambo jema kwa watu zaidi ya watu millioni 60 watapewa huduma bure kabisa bila kuchangia chochote...
Hajasema huduma bure. Amesema Bima ya afya iliyo Bora itakayohakikisha watu wote wanapata matibabu ya uhaka. Bila kuambiwa hapa Bima yako halipia au dawa hii hailipwi na Bima. Bima inatakiwa ilipie kila kitu kwa kila mtu. Siyo Bima za kibaguzi. Hiki ndicho anasema Lissu na huo ndio msimamo was CHADEMA.

Hivyo acheni kupotosha watu.
 
Back
Top Bottom