Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

Uchaguzi 2020 CHADEMA mkisema mtatoa Huduma za Afya bure, naomba mjibu hoja zifuatazo

Bi
Sasa mkuu akitoa bima za gharama nafuu ubora utadorola vipi kwa sasa hali ipoje ambapo wanaotozwa bima nighari, navipi walalahoi wasio nabima wanatibiwaje?.
Bima nafuu Athali zake ni kwa watoa huduma maana gharama wanazolipia ni ndogo sana kwa mfano NHIF gharama zao ni ndogo sana.anayeumia ni mtoa huduma anayefadhika ni mgonjwa maana anatakiwa atibiwe bila kubaguliwa ilhali nalipiwa kiduchu.
 
K
Kwa uelewa wako mdogo uanona miradi hiyo haina tija kwa taifa?nenda india na mataifa mengine walianza ku invest Kwenye miradi kama hiyo.sustainable investments.ikiwa ubinafisaji ulitushinda reli tukaua,shirika la ndege tukaua ebu tuambie nikipi tunaweza?
Nani kaua kama sio serikali zenu za ccm ?
 
Ha
Hivi mishahara ya wabunge ikipunguzwa na matumizi ya anasa misafara, magari ya kifahari ya kauzwa, wakuu wa Mikoa na Wilaya wakafutwa na serikali ikawa ndogo mawazi si zaidi ya 15, bado tu fedha hazitatosha?
Hapo changamoto ni kuwa utakuwa umepunguza ajira na pia huduma kwa wananchi zitadorora.waweza kumtoa mkuu wa wilaya lakini ukakuta unalazimika kumweka anayefanana na mkuu wa wilaya ili kuhudumia wananchi kwa ukaribu zaidi
 
Ha
Hapo changamoto ni kuwa utakuwa umepunguza ajira na pia huduma kwa wananchi zitadorora.waweza kumtoa mkuu wa wilaya lakini ukakuta unalazimika kumweka anayefanana na mkuu wa wilaya ili kuhudumia wananchi kwa ukaribu zaidi
DED, DAS na Mwenyekiti wa council wana kazi gani?
 
Ha
Hapo changamoto ni kuwa utakuwa umepunguza ajira na pia huduma kwa wananchi zitadorora.waweza kumtoa mkuu wa wilaya lakini ukakuta unalazimika kumweka anayefanana na mkuu wa wilaya ili kuhudumia wananchi kwa ukaribu zaidi
Kweli haya nimawazo ya ccm.
 
Bi
Bima nafuu Athali zake ni kwa watoa huduma maana gharama wanazolipia ni ndogo sana kwa mfano NHIF gharama zao ni ndogo sana.anayeumia ni mtoa huduma anayefadhika ni mgonjwa maana anatakiwa atibiwe bila kubaguliwa ilhali nalipiwa kiduchu.
Watoa huduma siwanapata ruzuku kutoka serikalini?.
 
Kwenye Budget yeyote huwa kunakitu kinaitwa unforeseen, kama unahitaji utekeleze Budget yako kwa 100% lazima uongeze pesa yatahadhari kama ulivyokadilia na inakua na ongezeko la( 2%-5% )ya budget nzima. Hio ndio itafidia yale ambayo hukuyatarajia.

Je tujiulize kwa sasa budget ya afya inatekelezwa japo kwa asilimia 50?.
Nimekuelewa vizuri Sana mkuu.
 
hiyo hata obama marekani alishindwa nchi tajiri itakuwa kwa huyu kibaraka wa mabeberu wameshamdanganya wamemtosa hata kampeni hawamsaidii

..Universal Health Care anayoizungumzia Tundu Lissu iko ktk nchi kama Canada na Ujerumani.

..Obama Care imefeli kwasababu ya uchoyo na ufisadi wa makampuni binafsi ya bima ya kimarekani.

..Makampuni hayo yame-lobby kwa Donald Trump na wabunge wa chama cha Republican ili waihujumu sheria iliyoanzisha Obama Care.

..Rwanda wameanzisha utaratibu wa Universal Health Care, na wameanza kuona matunda yake. Kama Rwanda ambao tumewazidi kiuchumi wameweza, kwanini Tanzania tushindwe?
 
Maswali muulize Jiwe aliyekuwa ya Kodi za watanzania kwa miaka mitano ,halafu akadhindwa kuajiri , kupandisha mishahara , madaraja , huyo nfio muulize resources anazo kwa miaka mitano lakini empty head tabulalasa.
 
Maswali muulize Jiwe aliyekuwa ya Kodi za watanzania kwa miaka mitano ,halafu akadhindwa kuajiri , kupandisha mishahara , madaraja , huyo nfio muulize resources anazo kwa miaka mitano lakini empty head tabulalasa.
we akili hauna yaani unaweza kusema hajafanya lolote wakati mama yako na baba yako uliowatelekeza kule kijijini wanapita kwenye lami kwenda kuuza kahawa yao na ndizi?
 
Naomba nijibu baadhi hata kama mimi sio miongoni mwa wanachadema ila mfuasi wa sea mbadala.

1.Kuhusu sera ya afya ni rahisi sana,kipaombele kitapewa makundi maalumu hapa ni watoto chini ya miaka 18 na wanafunzi wa vyuo kwa muda watakaokuwepo shule,wazee miaka 55 na kuendelea,walemavu wote na wamama wanyonyeshao/wazazi ndani ya miaka 3.

-Pesa kwa kipindi cha mpito itapatikana kwa kupunguza bajeti ya miradi mikubwa isiyo na tija kwa sasa inayofanywa na ccm ikiwa ni pamoja na kununua ndege,sgr na stiglaz na mingine ya dizaini hiyo.Pili ku cut down admnistrative expenditures,ukiangalia bajeti ya utawala ya Magu ni kubwa kuliko marais wote waliowahi kuwa ofisini licha ya kujigamba kutoenda ulaya nk lakini impacts ya kutosafiri haijaonekana bali hasara zaidi,huu ni kati ya mfano mja tu wa maeneo yatakayotoa pesa kwa kipindi cha mpito.

2.Kuna pesa nyingi sana zinaibiwa au kufujwa na ccm kwa namna mbali mbali ikiwa ni pamoja na baadhi ya taasisi na miradi ambayo inafanyiwa matumizi nje ya bajeti na mingine haikaguliwi na CAG,kisa cha Prof.Assad na 1.5T nadhani kila mtu anakikumbuka,hapo hatujazungumzia maeneo mengine ikiwamo viwanja vya michezo ambavyo ccm wamejimilikisha.

3. Mwisho kabisa katiba ya Warioba itakuwa ni kichocheo kikubwa sana cha ufanisi na utawala usiotegemea mtu mmja kama uko jeshini ndio maana kila siku utasikiawatu wanamlalamikia rais mara hakuna vyoo stendi mara vyumba vya madarasa nk nk
Mwisho atayeichagua ccm ni dhahiri hajielewi anachofanya maana shida kuu ya watu wa ccm ni kutojua watekeleze jambo gani na kwa wakati gani,hawna akili za kutambua mambo ya mda mfupi,mda wa kati na mda mrefu watakachokurupuka nacho ndio hicho hicho.
Wewe kama zinakutosha unaanzaje kujenga reli ya matrion ya shilingi sehemu ambayo hakuna uzalishaji wa maana si ndani ya nchi wala nchi za jirani,si bora ingeenda DRC,mwisho wa siku hii reli itakuwa liability kama zilivyo zingine ikiwamo Tazara.
Wewe kama zinakutosha unaanzaje kununua mandege ya matilioni ambayo hayana ruti zinazoeleweka na hata watu wako uwezo wa kuyapanda ni olmost haupo,hadi sasa kila mwaka serikali inatoa pesa ya walipakodi kama ruzuku ya kuendeshea mashirika yasiyo na faida kama hili la ndege.
Wewe kama zinakutosha unaanzaje kuwekeza kwenye umeme kwa matilioni ya dola bila kubainisha huu umeme wote unahitajika kwa sasa au hata kwa miaka 30 ijayo? imagine nchi ina miaka 60 lakini tunatumia mgwt 1560 huku tukiwa na ziada ya zaidi ya mgwt 200 sasa hizo mgwt 2015 si zitabaki kuwa mzigo tu wa maintanance? Hii ni baadhi ya mifano mingi michache ambayo ni tembo mweupe na mzigo kwa wananchi.Ningekuwa mimi ndio kiongozi wa ccm ningeunganisha mikoa yote kwa barabara kuu,ningeunganisha nchi yetu na nchi jirani na ningejenga barabara nyinginezo amabazo zinatija kwa wananchi ili wafanye biashara,barabara zina matokeo ya haraka kwenye uchumi wa mtu mja mja na taifa kuliko reli na ndege.
Ningekuwa mimi ni ccm wala nisingehangaika na stiglaz goji badala yake ningewekeza bwawa angalau la mgwt 400 ambazo zina uwezo wa kuishi ndani ya miaka 20 ili pesa inayookolewa nikafanye mengine.

Ningekuwa mimi ni ccm kama sitaki katiba mpya ili niwapumbaze watu,hata nisingehangaika na ndege maana bajeti ya ndege 2 inatosha kupata zaidi ya bln 500 ambazo ningeziweka kwenye benki ya kilimo na uwekezaji na benki ya vijana ili zitumike kama dhamana kwa mikopo ya wawekezaji waanzishe viwanda nk,pili ningewakopesha vijana hasa kwa kuwapa mikopo ya vifaa au vitendea kazi ili wajiajiri na soko kuu ningekuwa serikali,,mfano mradi wa kuhamia Dodoma ulifaa wenye viwanda vya matofali serikali ingekuwa inanunua wanapata kipato sasa badala yake serikali inafyatulisha yenyewe matofali nk nk. Kwa hali na sera za hovyo kama hizo naanzaje kuchagua ccm kwa mfano
 
Nimeona watu wengi humu na wenye uwelewa wanazungumzia tuchangie ili tupate elimu na huduma za afya bora. Mimi nauliza. "Where do our f*cking taxes go?" Kwani kodi si ndio mchango wenyewe huo. Wajibu wa mwananchi ni kulipia kodi, allocations ya kodi wapi itatumika ni kazi ya serikali sio ya kwetu. Kodi ndio mchango wenyewe huo unaweza ukajumuisha kuwa ni katika sehemu ya bima pia. Wengine wanauliza hela itatoka wapi? For argument sake, suppose Magu is right anatumia hela ya ndani. Hizo hela kazitoa wapi.hata iwe Rais mwengine asiweze kuzikusanya. Kuna nchi nyingi tu kuna free education and health care. Yetu itakuwa free japo sio kwa standard ya UK au Japan lakini itakidhi haja. Stop being f*cking negative. Hela aliyotumia Ndugai tu ingeweza kutibu wagonjwa wa moyo 1000. Think about that! Tuna Ndugai au nusu ya Ndugai wangapi hapa kwetu kwa mwaka? Nothing is impossible. When Magu says we are in the money, we are really in the money! I trust him on this.
 
Back
Top Bottom