CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

MWANAHARAKATI MWEMA

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2022
Posts
216
Reaction score
313
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Utachopanda ndicho utachovuna! Chuki naamin haiji kwa bahati mbaya bali ilipandwa mbegu ya chuki!! Ndo maan utawala wa sasa umeamua kuondoa taratibu hiyo mbegu ya uadui, chuki, na uhasama!!
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
MAGUFULI ATASEMWA KWA MABAYA YAKE YOTE NA HISTORIA ITAANDIKWA NA ITASOMWA NA VIZAZI kuwa kuliwahi kutokea Rais KATILI Mwaka 2015 lakini MUNGU hakumchelewesha
 
MAGUFULI ATASEMWA KWA MABAYA YAKE YOTE NA HISTORIA ITAANDIKWA NA ITASOMWA NA VIZAZI kuwa kuliwahi kutokea Rais KATILI Mwaka 2015 lakini MUNGU hakumchelewesha
Na ndio rais anayependwa na wananchi wake,ukibisha nenda kasome andiko la jamii forum Instagram kuhusu mbowe kumsema Vibaya JPM alafu usome moment za WANANCHI utajua nini ninachokimaanisha.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Alisababisha madhila makubwa kwa binadamu wengi na bado vidonda ndani ya mioyo yao havijapona, acha watu wateme nyongo kwani ni namna mojawapo ya kuviponya hivyo vidonda.
Wewe fanya yako na endelea kuamini unachokiamini.
 
Hivi kuna watu bado wanamjadili mtu aliyekufa!?
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.

Bora CDM wasipate kura hata moja kuliko kumsifia Magufuli. Alichokifanya Magufuli dhidi ya CDM ni mtu mjinga tu ataweza kusifia tabia ile. CDM haihitaji kura hata moja ya anayedhani Magufuli alikuwa mtu sahihi, na alichofanya dhidi ya CDM ni sahihi. Kama Magufuli mwenyewe angekuwa na ushawishi huo asingepora uchaguzi.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Hata kiswahili hujui!
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Tatizo chadema vichwa vyao vigumu hawawezi kukuelewa. Hawajui kabisa kucheza na alama za nyakati. Huwezi ukamponda Magu kanda ya ziwa that's stupid.
 
Bora CDM wasipate kura hata moja kuliko kumsifia Magufuli. Alichokifanya Magufuli dhidi ya CDM ni mtu mjinga tu ataweza kusifia tabia ile. CDM haihitaji kura hata moja ya anayedhani Magufuli alikuwa mtu sahihi, na alichofanya dhidi ya CDM ni sahihi. Kama Magufuli mwenyewe angekuwa na ushawishi huo asingepora uchaguzi.
Kwani Kikwete ambaye alikuwa mwanademokrasia yeye hakuiba kura kupitia hiyo ccm?

Na kama Chadema ndio inapendwa mbona ilikuwa inachukua watu kutoka ccm? 2015 imemchukua mwana ccm kwa kigezo cha ushawishi na bado kulikuwa na nguvu ya kuungana kwa vyama. Sasa hayo yote ya nini kama mnaamini Cdm ndio chama ambacho wanakipenda na siku zote ndio hukipigia kura nyingi ili kiingie Ikulu?
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
JPM alikuwa mfalme wa chuki,ukanda,ukabila na zaidi ya yote kupoteza watu.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Na huo ndio ukweli mchungu !!
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Labda alikuwa kipenzi chako ww
 
JPM alikuwa mfalme wa chuki,ukanda,ukabila na zaidi ya yote kupoteza watu.
Mkuu hata Bondia Mandonga alikuwa anapigwa na ndio akawa anazidi kupendwa kwa huko kupigwa, na Magufuli pamoja na hayo yote ila ukweli ni kwamba huku mtaani kwao bora Magufuli kuliko Samia ambaye anasifiwa na Mbowe.
 
Back
Top Bottom