CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.

Kuna ukweli kiasi,
Lakini nadhani Mbowe atakuwa kashukuru na kusifia kuwa bimaza kafata sheria na katiba inavyotaka
 
..Jk aliiba.

..Jpm alipora.

..kuna tofauti kati ya mwizi na jambazi.
Wote wamekuibia iwe kwa njia ya wizi au kupora, sema mlishazoea tu kuibiwa kura sasa tatizo limekuwa badala ya kutafuta njia ya kuondoa tatizo nyie mnalalamika kukuwa kwa tatizo.
 
Wote wamekuibia iwe kwa njia ya wizi au kupora, sema mlishazoea tu kuibiwa kura sasa tatizo limekuwa badala ya kutafuta njia ya kuondoa tatizo nyie mnalalamika kukuwa kwa tatizo.

..Jpm alikuwa katili na muuaji.

..na kibaya alifanya waziwazi na kuweka machawa wa kushabikia ukatili wake.

..Jk yeye alijiweka mbali na mambo ya kinyama. Pale alipohusika alifanya kwa kificho.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.
Magufuli na uharibifu aliofanya kwa taifa hili ni mada muhimu katika mikutano ya CDM. Ngoja Tundu Lissu aje mtaona na kusikia ufedhuli wote bila kumumunya kitu!
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.
Na magufuli hakua kipenzi cha wananchi bure tu. Aliyabeba matakwa yao moyoni.
Nyie mnaompima magufuli kwa kupotea ben saanane, kupotea yule mwandishi jasusi aliyekua anaenda kule rufiji kupeleleza jinsi polisi wanawafyeka wale magaidi, kupigwa risasi tundu lissu mtu aliyemtukana jpm eti ndio rais wa ovyo haijawahi kutokea, mkidhani ndio mambo yatawafanya watanzania kumchukia magufuli hakika mnapoteza muda na mumepotea dira.
Magufuli alikua anaongoza vita vya kiuchumi kulikomboa taifa kutoka unyonyaji wa mabeberu na vikaragosi wake nchini. Hili wananchi walielewa sana. Nyie vikaragosi wa mabeberu mnajua kazi aliyofanya magufuli kuwazibia rizki kwa kuwaibia na kuwanyonya raia. Hamlitaji hili la uchumi ila mnaleta mambo ya kipuuzi tu hayana maana kwa maslahi ya umma. Eti magufuli alikua dikteta, ooh ben saa nane kapotea. Ujinga mtupu.
Wafuasi wa umagufuli wanajipanga kupata mrithi atakayeendeleza ndoto na maono ya magufuli. Wasipompata ccm watamtafuta kwingine.
 
..Jpm alikuwa katili na muuaji.

..na kibaya alifanya waziwazi na kuweka machawa wa kushabikia ukatili wake.

..Jk yeye alijiweka mbali na mambo ya kinyama. Pale alipohusika alifanya kwa kificho.
Ulimboka alimfanyia unyama kwa kificho? Halafu watu hayo mambo hayawashughulishi kabisa watu ndio kwanza wanaona Samia hawamuelewi bora Magufuli tofauti na Mbowe na Zitto wenye kumsifia Samia.
 
Utachopanda ndicho utachovuna! Chuki naamin haiji kwa bahati mbaya bali ilipandwa mbegu ya chuki!! Ndo maan utawala wa sasa umeamua kuondoa taratibu hiyo mbegu ya uadui, chuki, na uhasama!!
Na Chadema mnaambulia fedheha toka kwa Wananchi.
 
Ulimboka alimfanyia unyama kwa kificho? Halafu watu hayo mambo hayawashughulishi kabisa watu ndio kwanza wanaona Samia hawamuelewi bora Magufuli tofauti na Mbowe na Zitto wenye kumsifia Samia.

..jpm alimzidi Jk kwa kupiga na kuumiza wapinzani, hilo halina ubishi.

..na baada ya kuumiza wapinzani jpm akasambaza watu wake wa propaganda kuzidi kuwachafua wahanga walioumizwa.

..kwa mfano sikuwahi kumsikia mzee kinana km Ccm wakati wa Jk akimchafua dr.ulimboka.

..wakati wa jpm km dr.bashiru na mwenezi polepole, waziri wa mambo ya ndani, msemaji wa serikali, igp, walikuwa mstari wa mbele kupayuka matusi dhidi ya majeruhi wa utawala wa jpm.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.
Hatuachi tutamchapa kwa kila aina ya silaha firauni yule
 
wanasiasa wazuri huwa wanaongea kile wananchi wanachotaka kusikia ila CHADEMa viongozi wao wanaongea kile kinachowanufaisha wao binafsi wakiendelea hivi watabaki na wimbo wa kuibiwa kura
 
..jpm alimzidi Jk kwa kupiga na kuumiza wapinzani, hilo halina ubishi.

..na baada ya kuumiza wapinzani jpm akasambaza watu wake wa propaganda kuzidi kuwachafua wahanga walioumizwa.

..kwa mfano sikuwahi kumsikia mzee kinana km Ccm wakati wa Jk akimchafua dr.ulimboka.

..wakati wa jpm km dr.bashiru na mwenezi polepole, waziri wa mambo ya ndani, msemaji wa serikali, igp, walikuwa mstari wa mbele kupayuka matusi dhidi ya majeruhi wa utawala wa jpm.
Kule rufiji likitajwa jina LA Magufuli watu wanalipuka kwa shangwe huko
Anakochukiwa ni wap
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.
Magufuri yupi unayemsema weye Samia anastahili pongezi sana yani Mbowe anapomsema Samia vizuri baadhi ya wanaccm hawapendi kusikia hivvyo nawewe ni miong'oni mwao
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forums zinazomuhusu aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano, pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande wa JPM.

Sasa rahi yangu kwa CHADEMA ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba wananchi wa kawaida wao shida yao haikuwa demokrasia ila ni unafuu wa maisha, hivyo unaposimama jukwaani kumponda Magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha ni kujichimbia kaburi.

Nimefuatilia hotuba ya Mbowe ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi wa wananchi tena na mbaya zaidi alipomsema vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.

Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la Rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti wa chama anamsifia Rais kuwa anamshukuru kwa kuruhusu, haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.

Nawasisitiza Magufuli mkimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka Ikulu kwa sababu yeye alikuwa kipenzi cha wananchi.
"Sasa Rahi" Nosense
 
Kwa taarifa yako pitia post zangu zote kuhusu huo ujio wa Lowassa, toka mwanzo nilisema ni upuuzi kuokoteza mtu toka CCM tena mwenye sifa mbaya. Na nilimlaani Mbowe Sana kwa upuuzi ule. Mwanzo Wafuasi wa CDM hawakunielewa, lakini baada ya Lowassa kurudi CCM kila mmoja alinielewa.

Kikwete alikuwa ana afadhali kidemokrasia kulinganisha na Magufuli. Ila suala la kuiba kura halikukwepeka kwani ndio CCM ilipofikia, kuwa bila wizi wa kura hawatoboi. Magufuli yeye hakuiba kura, bali alinajisi mchakato mzima wa uchaguzi. Hiyo ni tofauti kubwa.

Ule muungano ulikuja kutokana na shinikizo la wafuasi wa upinzani. Kuna mambo hayakwepeki kutokana na nyakati. Mfano mrahisi wa msukumo wa dunia kuhusu mfumo wa vyama vingi. 80% ya maoni hayakutaka mfumo wa vyama vingi, lakini ilibidi huo mfumo ukubaliwe maana mazingira yalikuwa hayo. Kipi huelewi hapo?
Lakini ulimpa kura yako?
 
Back
Top Bottom