CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

kilakitu kipo wazi wananchi wanaona kwa macho mambo gani JPM kafanya nchi nzima wala ahitaji tochi.
Kweli kabisa mkuu
Watanzania waliona jinsi magufuli alivyo poteza watu kisa tu Wana mawazo kinzani na yeye,aliwafunga jela watu wasio na hatia,alichafua uchsguzi 2019 na 2020. Kweli mambo sliyofanya hayahitaji tochi Ili kuyaons
 
Sijawahi acha Wala sitokuja kuacha kumsema Mwendazake humu mitandaoni na mtaani vijiweni popote Huwa namsema Kwa ubaya wake bila kujalisha wengine Wana maoni gani.

Waoga ndio wataogopa kumsema Mwendazake.
Duh! Hutokuja kuacha kumsema!

Kwamba maisha yako yote utakuwa unamsema Rais wa Tano Magufuli?
 
Kweli kabisa mkuu
Watanzania waliona jinsi magufuli alivyo poteza watu kisa tu Wana mawazo kinzani na yeye,aliwafunga jela watu wasio na hatia,alichafua uchsguzi 2019 na 2020. Kweli mambo sliyofanya hayahitaji tochi Ili kuyaona
nimedokezwa JNHPP linajaa maji kwa kasi sana,kwa kufupi miradi aliyoasisi JPM inaenda kwa kasi sana😎
 
Kwani Kikwete ambaye alikuwa mwanademokrasia yeye hakuiba kura kupitia hiyo ccm?

Na kama Chadema ndio inapendwa mbona ilikuwa inachukua watu kutoka ccm? 2015 imemchukua mwana ccm kwa kigezo cha ushawishi na bado kulikuwa na nguvu ya kuungana kwa vyama. Sasa hayo yote ya nini kama mnaamini Cdm ndio chama ambacho wanakipenda na siku zote ndio hukipigia kura nyingi ili kiingie Ikulu?

Unadhani CDM kumchukua Lowassa kila mfuasi wa CDM aliafikiana na uhuni ule. Kikwete aliiba kura, lakini Magufuli alipora mchakato. Je huo wizi wa kura wa Kikwete uliona ukisifiwa?

Kuungana ni kutokana na msukumo wa jamii, lakini kwangu nilijua sio sahihi kutokana na ubinafsi wa vyama vyote vilivyoungana, na kweli ushirikiano ule haukudumu maana haukuwa wa kisheria, bali utashi wa viongozi zaidi.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Mkuu uko sahihi kabisa,mi nadhani probably watu tulipoo humu jf sio watanzania,ukibahatika kutembea kutana na watu mitaani Bado watu wengi wanamkumbuka magu kama mmoja wa viongozi Bora waliotawala nchi hii,kumsema vibaya jpm nadhani haiwajengi cdm wabadilike kabisa.
 
Unadhani CDM kumchukua Lowassa kila mfuasi wa CDM aliafikiana na uhuni ule. Kikwete aliiba kura, lakini Magufuli alipora mchakato. Je huo wizi wa kura wa Kikwete uliona ukisifiwa?

Kuungana ni kutokana na msukumo wa jamii, lakini kwangu nilijua sio sahihi kutokana na ubinafsi wa vyama vyote vilivyoungana, na kweli ushirikiano ule haukudumu maana haukuwa wa kisheria, bali utashi wa viongozi zaidi.
Issue sio kwa sababu ni Lowassa bali ni mtu mwenye mvuto na kutoka ccm, kama CDM ndio inakubalika na wananchi kuna haja gani kufikiria kuchukua watu waliyotoka ccm?

Kikwete kama alikuwa ni mwanademokrasia sio dikteta sasa alikuwa na haja gani nae ya kuiba kura?

Ule muungano ni jitihada za kumshinda ccm kwenye sanduku la kura, na ndio mnajisifu kwa kupata kura nyingi baada ya kuunganisha hiyo nguvu.
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.

Tufike wakati kila mtu awe huru kusema lolote analotaka ilimradi liko ndani ya sheria. Kuna faida gani kudanganya ? Yaani mnataka tuendelee na utamaduni wa unafikiri!
 
Issue sio kwa sababu ni Lowassa bali ni mtu mwenye mvuto na kutoka ccm, kama CDM ndio inakubalika na wananchi kuna haja gani kufikiria kuchukua watu waliyotoka ccm?

Kikwete kama alikuwa ni mwanademokrasia sio dikteta sasa alikuwa na haja gani nae ya kuiba kura?

Ule muungano ni jitihada za kumshinda ccm kwenye sanduku la kura, na ndio mnajisifu kwa kupata kura nyingi baada ya kuunganisha hiyo nguvu.

Kwa taarifa yako pitia post zangu zote kuhusu huo ujio wa Lowassa, toka mwanzo nilisema ni upuuzi kuokoteza mtu toka CCM tena mwenye sifa mbaya. Na nilimlaani Mbowe Sana kwa upuuzi ule. Mwanzo Wafuasi wa CDM hawakunielewa, lakini baada ya Lowassa kurudi CCM kila mmoja alinielewa.

Kikwete alikuwa ana afadhali kidemokrasia kulinganisha na Magufuli. Ila suala la kuiba kura halikukwepeka kwani ndio CCM ilipofikia, kuwa bila wizi wa kura hawatoboi. Magufuli yeye hakuiba kura, bali alinajisi mchakato mzima wa uchaguzi. Hiyo ni tofauti kubwa.

Ule muungano ulikuja kutokana na shinikizo la wafuasi wa upinzani. Kuna mambo hayakwepeki kutokana na nyakati. Mfano mrahisi wa msukumo wa dunia kuhusu mfumo wa vyama vingi. 80% ya maoni hayakutaka mfumo wa vyama vingi, lakini ilibidi huo mfumo ukubaliwe maana mazingira yalikuwa hayo. Kipi huelewi hapo?
 
Nimekuwa nikifuatilia posti nyingi hapa jamii forum zinazomuhusu aliyekuwa rais WA Awamu ya Tano,pia hata mitaani na kwenye vyanzo vingi vya habari ikitokea magufuli ametajwa na kiongozi yeyote Kwa lengo la kumfedhehesha basi 90% ya watoa maoni watakuwa upande WA JPM.
Sasa rahi yangu Kwa CHADEMA Ni kwamba wanapaswa waelewe kwamba WANANCHI WA kawaida wao Shida Yao haikuwa demokrasia Ila Ni unafuu WA Maisha,hivyo unaposimama jukwaani kumponda magufuli na kumsifia Samia ukidhani unawafuraisha Ni kujichimbia kaburi.
Nimefuatilia hotuba ya mbowe Ni wazi watu hawana imani nae tena si mtetezi WA WANANCHI tena na mbaya Zaidi alipomsema Vibaya JPM na kumsifia Samia wengi waliguna na kuonyesha wazi kuwa kalamba asali ya ikulu.
Tulishakubaliana mikutano ya siasa sio takwa la rais lipo kikatiba inakuwaje tena mwenyekiti WA chama anamsifia rais kuwa anamshukuru Kwa kuruhusu ,haki inadaiwa na haiombwi sasa wamekuwaje tena.
Nawasisitiza magufuli mukimtumia vizuri kwenye sera zenu ndiye anaweza kuwapeleka ikulu kwa Sababu yeye alikuwa kipenzi cha WANANCHI.
Wanaomkejeli Magufuli 90% ni CCM!
 
nimedokezwa JNHPP linajaa maji kwa kasi sana,kwa kufupi miradi aliyoasisi JPM inaenda kwa kasi sana[emoji41]
Makaburu weupe kule Africa kusini walifanya mambo makubwa ya kimaendeleo kuliko yaliyofanyaka hapa na Bado walipigwa kwa sababu tu ya udhalimu wao. Wewe na Mimi ni AKINA NANI Hadi tushindwe kumpinga kaburu mweusi? Atapingwa tu hata kama ni mweusi
 
Kwani Kikwete ambaye alikuwa mwanademokrasia yeye hakuiba kura kupitia hiyo ccm?

Na kama Chadema ndio inapendwa mbona ilikuwa inachukua watu kutoka ccm? 2015 imemchukua mwana ccm kwa kigezo cha ushawishi na bado kulikuwa na nguvu ya kuungana kwa vyama. Sasa hayo yote ya nini kama mnaamini Cdm ndio chama ambacho wanakipenda na siku zote ndio hukipigia kura nyingi ili kiingie Ikulu?

..Jk aliiba.

..Jpm alipora.

..kuna tofauti kati ya mwizi na jambazi.
 
Makaburu weupe kule Africa kusini walifanya mambo makubwa ya kimaendeleo kuliko yaliyofanyaka hapa na Bado walipigwa kwa sababu tu ya udhalimu wao. Wewe na Mimi ni AKINA NANI Hadi tushindwe kumpinga kaburu mweusi? Atapingwa tu hata kama ni mweusi
Atulazimishani kilakitu kipo wazi pumba zipi na mchele ni upi.
 
Na ndio rais anayependwa na wananchi wake,ukibisha nenda kasome andiko la jamii forum Instagram kuhusu mbowe kumsema Vibaya JPM alafu usome moment za WANANCHI utajua nini ninachokimaanisha.
Sukuma Gang ni asilimia ngapi ya watanzania wote?
 
Back
Top Bottom