Uchaguzi 2020 CHADEMA mmekosea sana kumpitisha Tundu Lissu kuwa Mgombea Urais

Uchaguzi 2020 CHADEMA mmekosea sana kumpitisha Tundu Lissu kuwa Mgombea Urais

Masinki

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
709
Reaction score
478
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi, Tundu Lissu ni mwepesi sana katika Siasa za majukwaani kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA. Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda?

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!
 
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!

Pumbaaaf....😎😎!!
 
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!
CCM mnaumia kuliko CDM doh
 
Nini maoni yako kuhusu Membe, Rungwe, Muttamwenga, Lipumba na wagombea wengine? Kwa nini TL tu? Inaonekana amewanyima usingizi kabisa. Na sisi wajanja huyo mnayemwandama ndiye tutampa kura. Kwa maneno mengine mnampigia kampeni.
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!
 
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!
Ulitaka wamuweke nani?
 
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!
TL anataka kujenga taasisi imara kwa maana nyingine ugatuzi wa madaraka, haiwezekani nchi yenye watu zaidi ya milioni 55 iongozwe na mawazo ya mtu mmoja hicho kitu hakipo labda angekuwa Mungu.
 
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!
Unapata wapi legitimacy ya kumsema Lissu wakati wewe mwenyewe huwezi kujenga hoja? Unakosoa kitu ambacho wewe mwenyewe unakitenda! Kwanini unamuattack Lissu personally? Unakosa credibility ya hii mada yako.

Acha kukurupuka ndugu.
 
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.

Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi,Tundu Lissu ni mwepesi Sana katika Siasa za majukwaani Kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.

Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa

Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA!!! Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda???

Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!!!

Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!!!


Sasa akishindwa si ndiyo furaha yako jombaaa??? Mbona unalia lia tenaaa???
 
TL anataka kujenga taasisi imara kwa maana nyingine ugatuzi wa madaraka, haiwezekani nchi yenye watu zaidi ya milioni 55 iongozwe na mawazo ya mtu mmoja hicho kitu hakipo labda angekuwa Mungu.

Tundu Lissu kwa Hakika na siyo Siri anawanyima CCM Usingizi kwa 80%....!!!
Sifa za TAL-2020 zinapiku za Jiwe kwa mbali sana. Huwezi kuilinganisha MWANASHERIA MSOMI na MKEMIA aliyeghushi Udaktari Chuo Kikuu.
TAL-2020 ataondoa MAKONDOKANDO mengi Sana ya SHERIA MBOVU ZA NJI HII tangu enzi za Mchonga.....!!!
Hatuwexi kutawaliwa na Chama kimoja kwa zaidi ya nusu Karne....we need a big change now..!! Wakti ni Sasa.
 
Back
Top Bottom