Ulimsikia Lisu wakati anaomba wadhamini!
Alisema mwaka huu madiwani na wabunge wajitahidi kusoma kwa makini wajazapo form za uchaguzi ili isiwe kama kwenye selikali za mitaa!
Kwa kauli hiyo unapata picha gani?
AhahahahaaHuyu kweli ni pepo wa upumbavu
Kuna mtu alifuata form akaambiwa hazipo?
Kamanda kama kuna wakati ambao CHADEMA kina mgombea aliefiti nafasi ya Urais basi ni mwaka huu 2020.Anaeleweka vema sana kama humwelewi ni wewe
Angeteuliwa Nyarandu mngekuja na swaga nyingine ohh katokea ccm kwa hivyo itakuwa kama kwa Lowasa this time wakishindwa washindwe ila kihalali chaguo lilikuwa sahihi tena zaidi kwa sasa.
Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.
Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi, Tundu Lissu ni mwepesi sana katika Siasa za majukwaani kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.
Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa
Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA. Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda?
Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!
Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!
Lisu ni mshamba fulani na limbukeni. Ndio maana amebwaga moyo kusujudia wazungu na ubeberu. Ni mtu mbinafsi na mlaku. Bila shaka mumeona picha anavyofakalia vi ywaji na mlo huko ubeljiji. Mgonjwa amerudi na kitambi 😂😂🤣🤣🤸🤸Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.
Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi, Tundu Lissu ni mwepesi sana katika Siasa za majukwaani kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.
Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa
Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA. Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda?
Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!
Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!
Hata Mzee wa Mihogo naona amepwaya sana kwa Lissu! Yaani Mungu huyu mwacheni aitwe Mungu. Mboga mboga mwaka huu mpaka ajambe cheche!!Kamanda kama kuna wakati ambao CHADEMA kina mgombea aliefiti nafasi ya Urais basi ni mwaka huu 2020.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hata Mzee wa Mihogo naona amepwaya sana kwa Lissu! Yaani Mungu huyu mwacheni aitwe Mungu. Mboga mboga mwaka huu mpaka ajambe cheche!!
Sasa huyo wa huko ndiyo ana hoja ?!.Ni makosa ambayo wanayafanya Kwa mara ya Pili ndani ya vipindi muhimu vya Uchaguzi, Uchaguzi wa mwaka 2015 walikosea na hii tena wamekosea.
Moja ya advantage kubwa ya Chama cha Mapinduzi wakiacha pressure na mihemuko Kwa kipindi hiki ni kama hawana Mpinzani katika nafasi ya Uraisi, Tundu Lissu ni mwepesi sana katika Siasa za majukwaani kwanza Hana Hoja za msingi zinazofanya wananchi walio wengi kumkubali.
Kuna wachache watamshabikia lakini ukweli ni kwamba atashindwa vibaya tena Kampeni zikianza atakimbia Nchi Kwa Hoja atakazoshindiliwa
Ningekuwa Mimi ndiye mmoja wa kamati kuu ningeshauri ateuliwe Lazaro Nyalandu kwani anaonekana kuwa na Hoja ambazo hata kama asingeshinda zingeisaidia Serikali katika kujenga lakini Tundu Lissu anaongelea personal Issues na ugomvi wake na Serikali kuliko Hoja za Maendeleo,sina uhakika kama wananchi tunataka kusikia alivyoumia,alivyotibiwa na anavyojisikia Kwa SASA. Tunahitaji Sera zake za kimaendeleo kwamba atalifanyia Nini Taifa hili endapo atashinda?
Bahati mbaya zaidi Kwa Tundu Lissu ni mtu ambaye anajiona anajua kila kitu hataki Ushauri wala hataki kubadilika ni Yule Yule wa mwaka 2015,2016,2017,2018 kiufupi ni Msomi asiyejielewa Kwa Maendeleo aliyofanya Magufuli ilipaswa kuletwa Mpinzani mwenye agenda za kutosha!
Ni heri Membe kuliko huyu kituko wenu!
Vipi mkuu?MaCCM mtatema tu ndoano.. CCM ya Magufuli wajipange kukabizi nchi kwa nguvu ya Umma. Pushapu na kujamba majukwaani havitamsaidia kitu.
#LISSURAIS2020
Nashukuru msimamo wangu ulitimiaLisu ni mwanaharakati!
Anawasisimuua zaidi vijana na watu wenye mizuka kama wale wanaoendaga kwenye matamasha ya Diamond!
Lakini hana hoja za kumbembeleza mpiga kura mwenye akili anaejua kuchanganua mambo akamwelewa.
Lisu akipata 20% ya kura nahama nchi. Naenda zangu Zimbabwe!