SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Tunalishukuru saaana jeshi la Polisi kwa kujitolea kuandamana badala yetu. Ujumbe umefika duniani kote kuwa Tanzania kuna tatizo la ukiukwaji wa haki za binadamu. Asanteni sana kwa ushirikiano wenu .