Uchaguzi 2020 CHADEMA mna mpango wa kumsimamisha nani kama mgombea urais?

Uchaguzi 2020 CHADEMA mna mpango wa kumsimamisha nani kama mgombea urais?

Kamanda uchwara umeulizwa mtamsimamisha nani? Hahaaha


Sent from my iPhone using Tapatalk

Urais sio kazi professional kama udaktari, uhasibu nk useme lazima umpate mtu wa professional hiyo. Hiyo kazi inataka mtu yoyote mwenye akili timamu. Ndio maana wala sio nafasi ya kujisumbua kwani haina course ambayo unapaswa kupitia. Ingekuwa ni kazi ya kusome, leo hii cdm ingekuwa imepeleka watu course.
 
Pale yanga inapowaambia Azama sports wasishiriki ligi eti kisa wameshaongea na refarii ili awabebe, hivyo hawatabeba kombe!? Ujinga huwa haujifichi.
Acha kuhisi kwa hisia. Wananchi wana imaani na Chama tawala namna kinavyotekeleza ilani yake.
 
Mimi nimekuelewa kama ulikuwa unatoa tu hotuba humu na wala sio mjadala kwa sababu kuanzia introduction, body mpaka conclusion nia yako tumeilewa.
Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais.

Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM

Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM amekiri atamuunga mkono John Pombe Magufuli hii ni kwa sababu amefanya kazi kubwa ya kudhibiti rushwa na ubadhirifu,kujenga miundo mbinu,kujenga miradi kama Sgr,JNHHP n.k na kwa mantiki hii ameamua kumuunga mkono.

Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.

Sasa wamebaki kuwa watu wa vurugu na matusi mitandaoni na wameonyesha kukata tamaa ya kisiasa. Na swali linakuja watamsimamisha nani ili apambane na JPM? Ni Mh Mbowe? Au Mnyika? au Halima Mdee? Au Esther Matiko?
Ngoja tusubiri maana siku hazigandi.

Au ndio hawataweka mgombea kabisa? Maana naona kama hamna wa kupambana na JPM!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom