Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
ha ha ha mkuu unaruka ruka tu, hujatoa jibu sahihi.
Kama umekuja na marking scheme humu ndani, basi subiri majibu unayoyataka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ha ha ha mkuu unaruka ruka tu, hujatoa jibu sahihi.
Mnakuwa na ubishi mwingi tu, hasa pale unaposhikwa penyewe unabaki kujidefence, jioni njema mkuu.Kama umekuja na marking scheme humu ndani, basi subiri majibu unayoyataka.
Uongo uliopitiliza ,yaani kama ni kuforce basi ni balaa.
Mnakuwa na ubishi mwingi tu, hasa pale unaposhikwa penyewe unabaki kujidefence, jioni njema mkuu.
Wanasibiri wa kukatwa...Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais.
Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM
Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM amekiri atamuunga mkono John Pombe Magufuli hii ni kwa sababu amefanya kazi kubwa ya kudhibiti rushwa na ubadhirifu,kujenga miundo mbinu,kujenga miradi kama Sgr,JNHHP n.k na kwa mantiki hii ameamua kumuunga mkono.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawana uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekamata dola.
Sasa wamebaki kuwa watu wa vurugu na matusi mitandaoni na wameonyesha kukata tamaa ya kisiasa. Na swali linakuja watamsimamisha nani ili apambane na JPM? Ni Mh Mbowe? Au Mnyika? au Halima Mdee? Au Esther Matiko?
Ngoja tusubiri maana siku hazigandi.
Au ndio hawataweka mgombea kabisa? Maana naona kama hamna wa kupambana na JPM!