MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
yako wapi sasa Comredi Kumbe hata mama yako hupendi awe mgombea wetu?Tunajua mmebakiza matusi tu.Hamna hoja za msingi.
Jibu swali mtamsimamisha nani?Matusi y
yako wapi sasa Comredi Kumbe hata mama yako hupendi awe mgombea wetu?
Mama yako mzazi tumelipendekeza jina lake na kamati kuu imekwisha lizia.Jibu swali mtamsimamisha nani?
Msipoteze muda ma pesa zenu.
Kamanda uchwara umeulizwa mtamsimamisha nani? Hahaaha
Sent from my iPhone using Tapatalk
Msipoteze muda ma pesa zenu.
Acha kuhisi kwa hisia. Wananchi wana imaani na Chama tawala namna kinavyotekeleza ilani yake.Pale yanga inapowaambia Azama sports wasishiriki ligi eti kisa wameshaongea na refarii ili awabebe, hivyo hawatabeba kombe!? Ujinga huwa haujifichi.
Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais.
Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM
Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM amekiri atamuunga mkono John Pombe Magufuli hii ni kwa sababu amefanya kazi kubwa ya kudhibiti rushwa na ubadhirifu,kujenga miundo mbinu,kujenga miradi kama Sgr,JNHHP n.k na kwa mantiki hii ameamua kumuunga mkono.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Sasa wamebaki kuwa watu wa vurugu na matusi mitandaoni na wameonyesha kukata tamaa ya kisiasa. Na swali linakuja watamsimamisha nani ili apambane na JPM? Ni Mh Mbowe? Au Mnyika? au Halima Mdee? Au Esther Matiko?
Ngoja tusubiri maana siku hazigandi.
Au ndio hawataweka mgombea kabisa? Maana naona kama hamna wa kupambana na JPM!
Nia gani? Na mtaweka mgombea gani ambae atapambana na JPM.Mimi nimekuelewa kama ulikuwa unatoa tu hotuba humu na wala sio mjadala kwa sababu kuanzia introduction, body mpaka conclusion nia yako tumeilewa.
Sent using Jamii Forums mobile app
UVCCM imejaa watoto masikini wa akili sana haya subiria kupewa u DCYule mtetezi wa mashoga anaweza maana wakimwokota Membe wanakuwa kama walivyofanyiwa na Lowasa na Sumaye
subiria ukuu wa mkoaWatu si watasagana hadi ikulu?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Police case waache washughulike nayo. We jibu swali husika mtaweka mgombea gani? Ila wewe lazima umpendekeze Halima.
Yoyote mwenye akili timamu kati ya hao wengi.
CHADEMA wanangoja kusudi la MUNGU liti,ie, ukimuasi Mungu kwa kumwaga damu za watu , hata ukimbilie kwenye HANDAKI CORONA /TAUNI ITAKUFUATA HUKO
Police wameshatoa majibu nani alimlisha sumu?