Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Ndugu, kiswahili hujui kingereza hujui kama vile ambavyo JIWE hajui na prof wa "i will put you inside antili yu finishi zisi nanii".Unafikiri hili janga halitawagusa wana Cdm? Au umesahau kuwa mtoto wa mwenyekiti wenu lilimkumba? Tumia busara ndugu.
Hapo umeandika nini?Ndugu, kiswahili hujui kingereza hujui kama vile ambavyo JIWE hajui na prof wa "i will put you inside antili yu finishi zisi nanii".
Hata kama kahamia CHADEMA na huko alipotoka damu za watu zipo mikononi mwake, lazma atubu, CORONA NI UBATIZO WA MTO, MUNGU ameachili kwa maksudi
Huyu jamaa aliyeko mafichoni Chato tukiwa na tume huru kabisa tunaweka yeyote na ngoma inaisha asubuhi mapema mno.Nia gani? Na mtaweka mgombea gani ambae atapambana na JPM.
Mbona tunaendelea na huu mchezo mchafu wewe? Ulitengwa kwenu kule katereloWatu si watasagana hadi ikulu?
Sent from my iPhone using Tapatalk
Typing error mkuu nafikiri ujumbe umeupata.Wafuasi wa chama wenyewe hawajui nani watamsimamisha.
Ila hapa umechemka
πππππππ
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Mwamba atatuvushaWahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais.
Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM
Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM amekiri atamuunga mkono John Pombe Magufuli hii ni kwa sababu amefanya kazi kubwa ya kudhibiti rushwa na ubadhirifu,kujenga miundo mbinu,kujenga miradi kama Sgr,JNHHP n.k na kwa mantiki hii ameamua kumuunga mkono.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Sasa wamebaki kuwa watu wa vurugu na matusi mitandaoni na wameonyesha kukata tamaa ya kisiasa. Na swali linakuja watamsimamisha nani ili apambane na JPM? Ni Mh Mbowe? Au Mnyika? au Halima Mdee? Au Esther Matiko?
Ngoja tusubiri maana siku hazigandi.
Au ndio hawataweka mgombea kabisa? Maana naona kama hamna wa kupambana na JPM!
Unataka iwe huru mara mbili?Ni Tume huru kwanza....hayo mengine yatafuata..!!
Usanii wa CCM wananchi wameshauchoka..Unataka iwe huru mara mbili?
Au neno CCM kukamata dola limekuchanganya? Subiri Chadema washinde uchaguzi October ili kiwe chama chenye dola.Wafuasi wa chama wenyewe hawajui nani watamsimamisha.
Ila hapa umechemka
πππππππ
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawna uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekata dola.
CCM au tume inafanya kazi kwa mujibu wa katiba na sheria?Usanii wa CCM wananchi wameshauchoka..
wewe umeona nini?Hapo umeandika nini?
Mimi hata kadi ya CCM sina ni msema ukweli tu.wewe umeona nini?
Tatizo UVCCM mkivaa hivyo vi beji vyenye nembo ya Taifa mnajiona ni raia namba moja, wngine wahamiaji tu
Acha kuhisi kwa hisia. Wananchi wana imaani na Chama tawala namna kinavyotekeleza ilani yake.
Kwahiyo kati ya hao βwengiβ kuna wasio na akili timamu.?
CHADEMA- SI IMEKUFA, itakuwaje na mgombea?Wahenga wanasema siku hazigandi na kama ilivyokawaida October 2020 inakaribia. Na kila chama kitaweka mgombea kuanzia ngazi ya udiwani,ubunge na urais.
Kwa walioshika dola tayari inajulikama nani atapeperusha bendera ya Chama chake yaani CCM
Mwenyekiti wa Tlp yeye pamoja na kuwa sio mwana CCM amekiri atamuunga mkono John Pombe Magufuli hii ni kwa sababu amefanya kazi kubwa ya kudhibiti rushwa na ubadhirifu,kujenga miundo mbinu,kujenga miradi kama Sgr,JNHHP n.k na kwa mantiki hii ameamua kumuunga mkono.
Nakuja kwa hichi chama ambacho kuanzia wafuasi wake na viongozi wake hawana uzalendo. Maana wao kila siku ni kuitakia mabaya nchi yao ati kisa tu CCM ndio imekamata dola.
Sasa wamebaki kuwa watu wa vurugu na matusi mitandaoni na wameonyesha kukata tamaa ya kisiasa. Na swali linakuja watamsimamisha nani ili apambane na JPM? Ni Mh Mbowe? Au Mnyika? au Halima Mdee? Au Esther Matiko?
Ngoja tusubiri maana siku hazigandi.
Au ndio hawataweka mgombea kabisa? Maana naona kama hamna wa kupambana na JPM!
Nafikiri ungefuatilia ile hukumu ya Mahakama ya rufaa juu hili suala la tume huru wala usingerudia mara kwa mara kulizunguzia. Sababu kile ndio chombo cha juu na cha mwisho kutafasiri sheria. Hukumun ilishatoka na iliwekwa wazi kuwa tume ya uchaguzi inafanya kazi kwa uhuru kama chombo huru, ambacho kinafanya kazi kwa mujibu wa katiba na sheria.Ni kweli kuna wananchi wana imani na chama tawala, ila hilo haliondoi ukweli kuwa pia wako wengi hawana imani wala hawakitaki chama tawala. Ndio maana tunataka tume huru ya uchaguzi, ili yule anayekubalika na wengi atangazwe kihalali.