Uchaguzi 2020 CHADEMA mna mpango wa kumsimamisha nani kama mgombea urais?

Uongo uliopitiliza ,yaani kama ni kuforce basi ni balaa.

Sijasema ili ukubali maana hata ukikubali utakuwa unainyima nafsi raha. Hivyo nilivyosema sina shaka navyo
Mnakuwa na ubishi mwingi tu, hasa pale unaposhikwa penyewe unabaki kujidefence, jioni njema mkuu.

Sina chochote cha kujilinda kwako. Ni kipi hasa cha kunifanya nijidefence? Hapa tunaweka tu majibu ukutani.
 
Wanasibiri wa kukatwa...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…