CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

CHADEMA mnaendelea kupotosha kuhusu suala la Ngorongoro, ila mtafeli kama mlivyofeli la bandari

hivi kati ya Wamasai na waislamu wepi wanaongoza kwa kuzaliana hovyo hapa tanzagiza? kama ni kupunguzwa na kufukuzwa wafukuzwe waislamu kwanza, Wamasai ni native wa hapa hapa Afrika na uislamu siyo, Wamasai wame co exist na nature miaka yote kabla hata ya ufirauni na uhanithi haujangia tanzagiza na hawajawahi kuharibu nature hata siku moja bali wam coexist nayo, fvk u …
hebu punguza hasira halafu uzungumze maneno ya maana. Hivi hao waislamu (au wakristo) walioko tanzania wana asili ya wapi? Ati wamasai ni native lakini waislamu siyo... sijawahi kusikia ujinga kama huu!

Usichanganye waislamu na waarabu hivyo ni vitu viwili tafauti.
 
Kwahiyo wale wanaoandamana kule ni Chadema??
 
Najua nyie timu Abdul hampendi hayo mambo yapingwe.
Kama unapinga,basi uje upinge kwa hoja..

Siyo unakuja na propaganda za ajabu ajabu kisha utegemee serikali iache kufanya mambo ya msingi isikilize upuuzi,hiyo haiwezekani.
 
Poyoyo kama poyoyo katika ubora wa upoyoyo wako!

Wamasai sio mahanithi waache kuzaliana. Fahamu kwamba kuzaliana ni haki ya kiasili na ya msingi pia.

CCM imeshindwa kuongoza nchi imeamua kuuza rasilimali zetu kwa waarabu. Tunasema na kuwaambia basi IMETOSHA.

Uhanithi wenu endeleeni na waarabu wenu huko msituchafulie na kunajisi ardhi na rasilimali zetu.

Kuhusu bandari DP world mnajidanganya, tuna wazoom tu! Endelea na upumbavu wenu na CCM wenzako

Tunasubiri muda mzuri wa kuichinja na kuizika CCM futi mia moja chini, safari hii sio kwa sanduku la kura, subiri muone hamtaamini macho yenu kwa kinachokwenda kutokea.
Hasira ulizonazo hapa JF wakitangaza maandamano ajabu hutokei bararani,kama mwanume kweli ingia ROAD uone cha mtema kuni.
 
nyumbu,swala, pesa za madafu za mwarabu, na wamasai nani bora kwako mkoloni mweusi wewe.
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
wewe ni mwehu
 
Kama unapinga,basi uje upinge kwa hoja..

Siyo unakuja na propaganda za ajabu ajabu kisha utegemee serikali iache kufanya mambo ya msingi isikilize upuuzi,hiyo haiwezekani.
Huwezi kuwapndoa kabila nzima walipokuwa wakiishi tangu kuumbwa dunia kwa kigezo cha uwekezaji hata uwe uwekezaji mkubwa kiasi gani. Afadhali basi wangeamishwa kwa kufuata misingi ya kisheria na utu. Kunakuwa na majadiliano mapana na wahusika na kila mmoja analipwa fidia kikamilifu na wanapewa muda wa kutosha kuhama. Hawa ni binadamu sio ng’ombe hata ng’ombe wana haki zao ukitaka kuwahamisha eti sembuse binadamu! Nyie wazanzibari vp? I
 
Nimekuelewa sana broo hata Dar es salaam zamani ilikuwa mbuga ya wanyama lakini Kwa Sasa hata ngedere hakuna Kwa sababu ya ongezeko la watu
 
Friends and Our Enemies,

Jana nimemsikiliza Godbless Lema,Kada na Mbunge za zamani wa jimbo la Arusha akiendelea na siasa zake za upotoshaji na kuganga njaa kuhusu suala la wamasai na kinachoendelea ngorongoro.

Lema anasema kwamba,Serikali inakosa mantiki katika kuwaondoa wamasai huku ikiendelea na kutoa vibali vya ujenzi wa hoteli mbali mbali za kitalii ambazo hizo ndizo zitakuwa kinara wa kuharibu ecologia na kuleta pollution kwenye hifadhi na kuathiri wanyama pori.

Well,Ifikie wakati hawa wanasiasa uchwara waache kujitoa ufahamu na kudhihirisha ujinga na upumbavu wao wazi wazi namna hii.

Suala la Ujenzi wa hoteli za kitalii ndani ya mbuga halifanyiki kiholela tuh bila mpangilio maalum,ni suala la kitaalam na siyo mbuga za Tanzania tuh eti ndiyo pekee zinajihusisha na suala la kujenga hoteli na kudesign utalii wa aina hiyo,yeye Lema na CHADEMA wanajua fika kuwa suala hilo linafanyika kote duniani na kila aina ya tahadhari inachukuliwa,na siyo kila mtu tuh atapewa ruhusa ya kujenga kwa kuwa tuh ana mtaji wa kufanya hivyo,kuna study kadhaa zimeshafanyika na kuangalia sustainability ya jambo hilo kwa kuzingatia uhifadhi na maendeleo yake kwa ujumla.

Wamasai ni Jamii ambayo imeendelea kuongezeka na kuzaliana miaka na miaka,na itaendelea kuzaliana hifadhini wao pamoja na mifugo yao.

Ni Jambo ambalo liko wazi tuh kuwa kutokana na kuendelea kwao kuzaliana wao na wanyama obviously population yao itazidi kuongezeka na kupelekea kuathiri maisha na uhai wa hifadhi na wanyama wale kwa maslahi ya kizazi cha sasa na cha baadae.

Sasa,kuna kosa gani kwa serikali inapochukua hatua za makusudi katika kunusuru hali hiyo??wao CHADEMA na wanaharakati uchwara wanataka Serikali ikae kusubiri hadi lini kunusuru hali hiyo kwa mbuga zetu??

Wanakuja na siasa za kishamba eti ooh wamasai wanaondolewa ili mbuga wauziwe waarabu,ujinga ule ule waliokaja nao kwa kusema Bandari imeuzwa kwa waarabu ili mradi tuh kujenga taharuki na kukwamisha mambo ya msingi kuendelea.

Even kipindi cha Magufuli walikuwa mstari wa mbele kupinga ujenzi wa bwawa la Mwalimu Nyerere kule Rufiji eti kwa kigezo cha kuharibu mazingira ila hivi sasa wao wenyewe wamekaa kimya na kuishiwa maneno.

CHADEMA na wanaharakati uchwara yanapokuja mambo ya msingi ya kitaifa kama mnapinga basi mje na hoja za maana na zinazoeleweka na siyo mnakuwa kama watu ambao hamna akili timamu.

Hoja zenu kuhusu suala hili za ngorongoro zitafeli kama zilivyofeli kwenye sakata la Bandari.
Sawa mwarabu wa Tz, endeles kutetea Ndugu zako. Hizi dini za kuletewa zinatutoa sana akili.
 
Waleykum Salaam...

Hawana ishu hawa,ni watu wa hovyo tuh...

Thats why mwendazake aliwapiga PINI kwa sababu ya upuuzi wao kama hivi.
Wewe Chura Kiziwi punguza kelele. Hao wajomba wako kawakabidhi nchi yenu ya Zanzibar.
 
Wewe Chura Kiziwi punguza kelele. Hao wajomba wako kawakabidhi nchi yenu ya Zanzibar.
Nenda basi kaungane na wamasai muandaname,mbona umebakia kupiga kelele tuh nyuma ya keyboard??unajitia ujanja kumbe nguchiro tuh
 
Huwezi kuwapndoa kabila nzima walipokuwa wakiishi tangu kuumbwa dunia kwa kigezo cha uwekezaji hata uwe uwekezaji mkubwa kiasi gani. Afadhali basi wangeamishwa kwa kufuata misingi ya kisheria na utu. Kunakuwa na majadiliano mapana na wahusika na kila mmoja analipwa fidia kikamilifu na wanapewa muda wa kutosha kuhama. Hawa ni binadamu sio ng’ombe hata ng’ombe wana haki zao ukitaka kuwahamisha eti sembuse binadamu! Nyie wazanzibari vp? I
Wewe unadhani baina ya wanyama na wale wamasai nani kamfuata mwenzake ngoro ngoro??ile hifadhi ipo tokea zama za ukoloni,na wale wamasai wamekuja na kuikuta ile mbuga pale tambua.
 
wamasai hawajawahi kuharibu nature wame coexist na nature siku zote kabla hata ufirauni haujaletwa tanzagiza, na population ya umasaini siku zote ilikiwa stable acheni dhuluma, mbona hamuhamishia waislamu waliojazana archipelago zanzibar kulinda nature?
Unaongea kama chiriku bila kujitambua,huko ngoro ngoro kwenyewe hujafika na hata hujui athari zikoje,umekalia kushupalia kauli za hawa maboya wenzako wa chadema,bora hata wenzako wanapotosha kwa maslahi na hela wanapata,sasa wewe umekaa kushangilia kitu usichokijua mwisho wake utanunuliwa SHANGA UPEWE UVAE...
 
Ngorongoro wangekuwa wanafurushwa bila kulipwa fidia na stahiki zinginezo ningeelewa kinyume na hapo ni siasa za kiki za Machadema
Hili jambo watu wameingiza siasa na kuchochea chuki dhidi ya serikali pasipo kuzingatia maslahi mapana ya nchi. Kiukweli kwa hili jambo nipo na serikali bega kwa bega. Ni uamuzi mzuri na wa busara
 
Wewe unadhani baina ya wanyama na wale wamasai nani kamfuata mwenzake ngoro ngoro??ile hifadhi ipo tokea zama za ukoloni,na wale wamasai wamekuja na kuikuta ile mbuga pale tambua.
Hata kule nyumbani kwa asili kwa babu zako zamani yote hiyo ilikuwa mbuga kama Ngorongoro ila mlichofanya nyie na mababu zenu ni kuharibu misitu na kufukuza wanyama, lakini wamasai wameitunza mbuga tangu enzi na enzi halafu leo mtu kutoka nchi nyingine anakuja kuwafukuza, kweli?!
 
Ngorongoro wangekuwa wanafurushwa bila kulipwa fidia na stahiki zinginezo ningeelewa kinyume na hapo ni siasa za kiki za Machadema
Wangelikuwa wamelipwa fidia wasingelalamika, na pia lazima pangekuwa na muda (countdown) ya kutosha ya kuwaondoa polepole na kwa staha. Mtu unafurusha kabila nzima lilimekaa pale tangu uumbaji halafu bado wamekuacha hai na unaendelea kuzuia wasipige kura na hata wasipelekewe chakula na huduma za afya. Ingekuwa ni watu wengine wangekuwa wameshamchinja huyo amiri jeshi na kumla nyama siku nyingi. Mjifunze kuheshimu watu nyie ccm.
 
Back
Top Bottom