Unaona wimbi kubwa la wana Chadema njaa kukimbia kwenda CCM. Si kwamba wanaipenda CCM, la hasha. Wanasoma trend kuwa wabunge wote walionunuliwa wame-retain nafasi zao bungeni.
Na wanajua kuwa hata uchaguzi wa October mbinu hiyo itatumiwa na serikali/CCM kupora ushindi wa Chadema. Au mbinu ya kihuni iliyotumika kuengua wagombea kama ilivyotumika serikali za mitaa itawabeba/itawalinda.
Hata Ndugai anaweza akasema hutaingia bungeni mimi sikutaki! Akijua hakuna la kumfanya! Courage hiyo wanayo sana utawala huu!.
Kama jana Mkuu wa wilaya amemuweka Wakili (ambaye yuko mahakamani kutetea wateja wake) kwa vile anamtetea mtu wa CDM, lolote watalifanya!
Wanaamua ku-pretend kuunga juhudi, wakijua watapata favour kama wenzao waliotangulia.
Mnajipangaje kukabili hujuma hizo? short of that, kama alivyosema Ndugai hata wabunge watatu hamtawapata, maana wataengua kila mmoja kwa njia hiyo.
Achana na malumbano na Ndugai, (yeye anajua fika atarudi), capitalise on that!
Na wanajua kuwa hata uchaguzi wa October mbinu hiyo itatumiwa na serikali/CCM kupora ushindi wa Chadema. Au mbinu ya kihuni iliyotumika kuengua wagombea kama ilivyotumika serikali za mitaa itawabeba/itawalinda.
Hata Ndugai anaweza akasema hutaingia bungeni mimi sikutaki! Akijua hakuna la kumfanya! Courage hiyo wanayo sana utawala huu!.
Kama jana Mkuu wa wilaya amemuweka Wakili (ambaye yuko mahakamani kutetea wateja wake) kwa vile anamtetea mtu wa CDM, lolote watalifanya!
Wanaamua ku-pretend kuunga juhudi, wakijua watapata favour kama wenzao waliotangulia.
Mnajipangaje kukabili hujuma hizo? short of that, kama alivyosema Ndugai hata wabunge watatu hamtawapata, maana wataengua kila mmoja kwa njia hiyo.
Achana na malumbano na Ndugai, (yeye anajua fika atarudi), capitalise on that!