CHADEMA mnakosa uzalendo kwa ushabiki usiofaa

CHADEMA mnakosa uzalendo kwa ushabiki usiofaa

Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabuki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Kumbe chadema ndio waliofoji kadi ya uanachama wa huyu jambazi ili ionekane ya chama chao? UVCCM huwa hamjielewi mara ingine, mlikimbilia kufoji kadi ya chadema sasamamboyamewekwa hadharani mnawalaumu chadema.
 
Baada ya ukweli kuanza kukaa vizuri ndio mnasema hilo tukio lisihusishwe na siasa? Hatuna muda wa kupenda serikali ya majizi ya kura. Na hatuko tayari kunyanyaswa kwenye nchi yetu na majizi ya kura.
Mbataka mpate kula zaidi ya wanachama mliowaandaa?
 
Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabuki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.

Haki huinua taifa
 
Chadema iliyokuwa na uwezo wa kuona hayo ilishakufa zamani, hii ya sasa hivi ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi.

IMG_0760.jpg

ujumbe ukufikie green guard
 
Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabuki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
ushabuki > ushabiki, meza kwanza ilo fundo la bia acha haraka mwana ccm
 
Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabuki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.

2C8A0C02-03FA-470C-80AE-38551681A7CD.jpeg


A0B54829-5D1D-4849-BF71-DB7025731F5F.jpeg
 
Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabuki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Angalia hapo ndugu mzalendo
FB_IMG_16299558404064073.jpeg
FB_IMG_16299555683941192.jpeg
New%20Doc%202021-08-26%2008.34.19_1.jpeg
 
Shida nyingine ya nchi hii ni mchezo wa kurushiana lawama, tena lawama zenyewe zinaelekezwa kusiko husika. CC. "wapinzani walituchelewesha sana".

Mmeshawageuza CDM ni jalala lenu la kutupa taka za lawama. Na hii tabia ya kudeflect blames ni inafanywa na watu wenye tabia za kuwa irresponsible, childish and stupid wasiofaa kupewa madaraka wala uongozi.

Tujifunze kuwa responsible and accountable labda tutaenda mbele kidogo yaani hakuna kiongozi hata mmoja wakusema "it's my faulty, sijatimiza jukumu langu, napisha uchunguzi, naomba kuwajibika etc.
 
Shida nyingine ya nchi hii ni mchezo wa kurushiana lawama, tena lawama zenyewe zinaelekezwa kusiko husika. CC. "wapinzani walituchelewesha sana".

Mmeshawageuza CDM ni jalala lenu la kutupa taka za lawama. Na hii tabia ya kudeflect blames ni inafanywa na watu wenye tabia za kuwa irresponsible, childish and stupid wasiofaa kupewa madaraka wala uongozi.

Tujifunze kuwa responsible and accountable labda tutaenda mbele kidogo yaani hakuna kiongozi hata mmoja wakusema "it's my faulty, sijatimiza jukumu langu, napisha uchunguzi, naomba kuwajibika etc.
Hiyo paragraph ya mwisho nataka warudie kuisoma mara kumi, na wakitembea barabarani waiimbe kama wimbo wa taifa.
 
You must be stupid, stupid indeed. Waambie CCM na serikali watende haki. Uzalendo kwenye dhuluma. Uzalendo si ulofa . Ona sasa huyu mmemdhulumu madini yake akaleta maafa. Stupid, what is uzalendo, mavi! Tendeni haki. Dhuluma kila mahali, tozo, miamala, Luku, Mbowe, Azory, Ben saanane etc etc
Hilo la kudhulumiwa madini na Polisi umeliandika kama ulikuwepo kwenye tukio!!
 
Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
cjakuelewa
 
Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.

Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.

Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.

Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Uvccm wanafundishwa ugaidi?

Uvccm ndio wasiojulikana?

Je polisi na uvccm kunauhusiano?

Bado maswali nimengi

Huyu bwana anaonekana ni ccm Kwenye picha.

Ccm wanafundisha ugaidi kwa wanachama wao?

Huyu Jamaa alipata wapi na nani alimfundisha matumizi sahihi ya dhana tofautitofauti za kivita?
 
Baada ya ukweli kuanza kukaa vizuri ndio mnasema hilo tukio lisihusishwe na siasa? Hatuna muda wa kupenda serikali ya majizi ya kura. Na hatuko tayari kunyanyaswa kwenye nchi yetu na majizi ya kura.
Unanyanyaswa?

Kwani dhalimu si amekufa sasa unanyanyaswaje?
 
Jamaa alijiunga na chama juzi kati, na kupewa maelekezo na mwenyekigoda. Laki 6 imemponza kijana.
 
Back
Top Bottom