42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,833
- 8,853
Wakati Raisi anazungumzia Kesi 147 za kubambikiwa ulikuwa hujazaliwa?Uonevu upi? Unaweza kufafanua?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakati Raisi anazungumzia Kesi 147 za kubambikiwa ulikuwa hujazaliwa?Uonevu upi? Unaweza kufafanua?
Mtuue mara ngapi?Pamoja na uchadema wako... Angeuwawa nduguyo ungeshangilia??
Nasikia Hamza alilipwa 600,000 na MboweKuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.
Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.
Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.
Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Mbataka mpate kula zaidi ya wanachama mliowaandaa?
Unanyanyaswa?
Kwani dhalimu si amekufa sasa unanyanyaswaje?
Ningekuona wa maana kauli yako ungeanza kuielekeza kwa kijani come walioghushi kadi ya Hamza kuwa alikuwa mwanachadema.Nawaapia msipobadilika many okay tu.Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.
Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.
Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.
Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Kwani mama si ni mwema sana kwanini asiiondoe?Sumu aliyoiacha dhalimu bado ipo.
Kagenge ka Aina ya sabaya makonda na siro kanakotokea ccm hukaoni?Chadema iliyokuwa na uwezo wa kuona hayo ilishakufa zamani, hii ya sasa hivi ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi.
Kwani mama si ni mwema sana kwanini asiiondoe?
Kwani mama si ni mwema sana kwanini asiiondoe?
Siyo dhalimu kama lile dhalimu lako! Sasa kwanini unalialia kuonewa?Wema autoe wapi, sio dhalimu kama lile dubwasha lako.
Siyo dhalimu kama lile dubwasha lako ndio!Wema autoe wapi, wala hatuhitaji wema toka kwake bali afuate sheria. Lakini yeye sio dhalimu kama lile dubwasha lako.
Siyo dhalimu kama lile dubwasha lako ndio!
Sasa mimi nashangaa bado mnalia kwamba mnaonewa!
Mama anaupiga mwingi sana!
Kwahyo unawaambie wakavune hawataki mkuu! 🤣🤣🤣Kwanini lisihusishwe na siasa kama jamaa amevaa shati la rangi yenu, lenye nembo yenu, tena wakati huu mnapomuhusisha Mbowe na ugaidi?
Tatizo lenu huwa mnapanda chuki, halafu wakati wa mavuno ukifika mnaogopa kwenda shambani kuvuna.
Kwahyo unawaambie wakavune hawataki mkuu! 🤣🤣🤣Kwanini lisihusishwe na siasa kama jamaa amevaa shati la rangi yenu, lenye nembo yenu, tena wakati huu mnapomuhusisha Mbowe na ugaidi?
Tatizo lenu huwa mnapanda chuki, halafu wakati wa mavuno ukifika mnaogopa kwenda shambani kuvuna.
Kabisa mkuu! Siyo wa kiwango cha lile dubwasha lako!Ni kweli uonevu upo, ila sio kwa kiwango cha lile dubwasha lenu.
Kabisa mkuu! Siyo wa kiwango cha lile dubwasha lako!
We fikiria hadi magaidi yamekamatwa yako rumande!
Kumbe lile dubwasha lako lilikuwa linalea magaidi bhana!