Crimea
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 25,874
- 36,030
Kesi ya kitoto?Katoe ushahidi wa hiyo kesi ya kitoto. Lakini dhalimu alikuwa ni kiongozi muovu na muuaji fullstop.
Mama anaupiga mwingi, siyo dhalimu, siyo muovu, unasemaje tena kesi ya kitoto?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesi ya kitoto?Katoe ushahidi wa hiyo kesi ya kitoto. Lakini dhalimu alikuwa ni kiongozi muovu na muuaji fullstop.
Ukimaliza kulia kamwone Sirro kwa kamshiko kidogo. Siku njema.Chadema iliyokuwa na uwezo wa kuona hayo ilishakufa zamani, hii ya sasa hivi ni kagenge ka wahuni fulani tu wenye interest zao binafsi.
Mbataka mpate kula zaidi ya wanachama mliowaandaa?
Hiyo paragraph ya mwisho nataka warudie kuisoma mara kumi, na wakitembea barabarani waiimbe kama wimbo wa taifa.
Wema autoe wapi, sio dhalimu kama lile dubwasha lako.
Magaidi wanatoka ccm sio CDM, Mbowe aachiwe!Kuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.
Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.
Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.
Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Je Uzalendo ni nn kwangu uzalendo kwako sihusiki je hiyo ndio uzalendo TAFAKARIKuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.
Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.
Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.
Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Kila mtu ana Uhuru wa kutoa maoni yakeKuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.
Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.
Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.
Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Ungekuwa mzalendo unaeyaishi maneno yako ungekuwa ushahoji zile risasi 38 alizopigwa yule bwana eneo la viongozi hadi leo hakuna RB Polisi, halafu unaisema bila woga eti uzalendo, subirini, saa inakuja, Tena imekaribiaKuweni wazalendo kwa taifa lenu, iwe ni kwenye shida au raha.
Pendeni kuwa wapenda amani na muache ushabiki wa kitoto.
Tukio la Kinondoni ni tukio baya kwa Taifa letu. Halipaswi kuhusishwa na siasa kisha kuonyesha furaha zisizo na maana.
Mnajiabisha mbele ya Taifa lenu.
Mbona risasi za Lisu mnashangilia hadi leo?! Tulieni, kunachemka. Malipo hapahapaPamoja na uchadema wako... Angeuwawa nduguyo ungeshangilia??
Kesi ya kitoto?
Mama anaupiga mwingi, siyo dhalimu, siyo muovu, unasemaje tena kesi ya kitoto?