CHADEMA mnalalamika nini? Tuliwaonya msihalalishe ufisadi hamkusikia wala kuelewa!

CHADEMA mnalalamika nini? Tuliwaonya msihalalishe ufisadi hamkusikia wala kuelewa!

meningitis

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2010
Posts
8,425
Reaction score
4,768
Hivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.

Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.

Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.

Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !

Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.

Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??

Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.

Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.

Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.

Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
 
Acha ujinga...yaani jpm anafanya upuuzi kwa kwa kujificha nyuma ya chadema...kwani sisi watz tuliwachagua chadema...!!!? Au kila anayehoji ni mwanachadema......!!?? Serikali haiwezi kufanya makosa nyuma ya vyama vya upinzani...ni upuuzi mtupu... Mnapo kosea mkubali kukosolewa hata na wasio na vyama au wana ccm wenzeni pia na watz kwa ujumla...!! Tabia hii ni kishamba na kukosa kujiamini kama rais na serikali yake
 
Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??
Msimamo wa CHADEMA wakati ule hata sasa ni ule ule. Mtu akituhumiwa na rushwa apelekwe mahakamani, mbona Lowassa hamumpeleki mahakamani?

Kama Mnyeti anatuhumiwa ni kwa nini haitolewi fursa ya kupelekwa mahakamani? Tatizo wengine tuliposikia kwamba kile walichopeleka kina Nassari ni "Taarifa" tu wala si ushahidi tukaelewa kuwa CCM tayari wametoa maelekezo!
 
Acha ujinga...yaani jpm anafanya upuuzi kwa kwa kujificha nyuma ya chadema...kwani sisi watz tuliwachagua chadema...!!!? Au kila anayehoji ni mwanachadema......!!?? Serikali haiwezi kufanya makosa nyuma ya vyama vya upinzani...ni upuuzi mtupu... Mnapo kosea mkubali kukosolewa hata na wasio na vyama au wana ccm wenzeni pia na watz kwa ujumla...!! Tabia hii ni kishamba na kukosa kujiamini kama rais na serikali yake
Wewe ni mwananchi uliyepinga fisadi kisafishwa na chadema??Au unajivika huo uananchi katika mada hii tu?
 
Msimamo wa CHADEMA wakati ule hata sasa ni ule ule. Mtu akituhumiwa na rushwa apelekwe mahakamani, mbona Lowassa hampeleki mahakamani?

Kama Mnyeti anatuhumiwa ni kwa nini haitolewi fursa ya kupelekwa mahakamani? Tatizo wengine tuliposikia kwamba kile walichopeleka kina Nassari ni "Taarifa" tu wala si ushahidi tukaelewa kuwa CCM tayari wametoa maelekezo!
Kwani kuna sheria inawakataza Kumpeleka DC mahakamani?
Mbona Hai imewezekana?Hebu mkiwa mnachangua mjipange na msiweweseke bana
 
Wewe ni mwananchi uliyepinga fisadi kisafishwa na chadema??Au unajivika huo uananchi katika mada hii tu?
Hata ningepinga au kinyume chake haiwezi kuondoa uhalali wangu wa kuikosoa na kuiwajibisha serikali inayonitumikia mimi...!!
 
Mkuu unawaonea bure Chadema kuhusu ufisadi wa Lowassa.... maana ni dhahiri na imethibitika sasa kuwa kumbe Lowassa hakuwa fisadi after all bali alikuwa ni mtumishi ndani ya taasisi ya kifisadi inayoitwa CCM.

imethibitikaje....ni kwa sababu chini ya awamu ya JPM hatujaona jina la Lowassa likitajwa au kuchukuliwa hatua na chombo chochote cha dola kwa ufisadi. badala yake tumeshuhudia makada hai wa CCM ndiyo waliofunguliwa mashitaka, nk, nk.

na kada wa CCM mwingine juzi tu hapa katangaza ana ela ya kutosha kuhonga hata wabunge wa upinzani... afu kapandishwa cheo, sasa labda aliyempandisha cheo ndiye kampa na ela za kufisadia!

sasa Chadema wamefisadi nini hapo?
 
Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi,Hata JPM kaweka kagia kadogo cha anga kwa mnyeti kwa hiyo ngoma
Hauko sawa sawa,kwa hiyo Mtanzania akikemea RUSHWA anaonyeshwa Lowassa ndivyo ilivyo??Hivi kama tukiendelea kutokemea matendo ya RUSHWA yanayofanywa na watawala Tanzania itakuw wapi??Hivi kama Lowassa alipokea Rushwa waliobaki Chadema wanachama na viongozi hawaruhusiwi kukemea kisa Lowassa??

Basi hakuna haja ya kuwa na takukuru.......maana wateuliwa wa AWAMU ya tano wako juu ya sheria na wanauwezo wa kupokea na kutoa rushwa kwa sababu Lowassa??

Hivi watanzania tuko that Low??Kwa sababu ya Lowassa then Awamu ya 5 wanayohaki ya kuhalalisha Rushwa.

Sawa tumewaelewa
 
Hata ningepinga au kinyume chake haiwezi kuondoa uhalali wangu wa kuikosoa na kuiwajibisha serikali inayonitumikia mimi...!!
Tunatakiwa kuwawajibisha wote wawapo serikalini na wawapo upinzani.
Hoja yetu ni vita dhidi yao mafisadi popote walipo na nyakati zote.
 
mkuu unawaonea bure Chadema kuhusu ufisadi wa Lowassa.... maana ni dhahiri na imethibitika sasa kuwa kumbe Lowassa hakuwa fisadi bali alikuwa ni mtumishi taasisi ya kifisadi inayoitwa CCM.
imethibitikaje....ni kwa sababu chini ya awamu ya JPM hatujaona jina la Lowassa likitajwa au kuchukuliwa hatua na chombo chochote cha dola kwa ufisadi. tumeshuhudia makada hai wa CCM ndiyo waliofunguliwa mashitaka, nk, nk.
na mwingine juzi tu hapa katangaza ana ela ya kutosha kuhonga hata wabunge wa upinzani... afu kapandishwa cheo, sasa labda aliyempandisha cheo ndiye kampa na ela za kufisadia!

sasa Chadema wamefisadi nini hapo?
Mkuu ni kama chadema imeanza tuhuma mpya za ufisadi kwa Mnyeti ...let say Mnyeti akahamia chadema ...nina hakika watamsafisha na kutuambia zile ni tuhuma tu hakuna uthibitisho na blah blah nyingine.

Ndio maana tulipinga sana Chadema kujinajisi na ufisadi.

@Willbrodslaa
 
Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi,Hata JPM kaweka kagia kadogo cha anga kwa mnyeti kwa hiyo ngoma
Hauko sawa sawa,kwa hiyo Mtanzania akikemea RUSHWA anaonyeshwa Lowassa ndivyo ilivyo??Hivi kama tukiendelea kutokemea matendo ya RUSHWA yanayofanywa na watawala Tanzania itakuw wapi??Hivi kama Lowassa alipokea Rushwa waliobaki Chadema wanachama na viongozi hawaruhusiwi kukemea kisa Lowassa??

Basi hakuna haja ya kuwa na takukuru.......maana wateuliwa wa AWAMU ya tano wako juu ya sheria na wanauwezo wa kupokea na kutoa rushwa kwa sababu Lowassa??

Hivi watanzania tuko that Low??Kwa sababu ya Lowassa then Awamu ya 5 wanayohaki ya kuhalalisha Rushwa.

Sawa tumewaelewa
Hoja ni kwamba ...anayefaa kuikemea rushwa sio chadema tena..!Kazi hiyo ni bora wakaachiwa kina Slaa na lipumba.
 
Hoja ni kwamba ...anayefaa kuikemea rushwa sio chadema tena..!Kazi hiyo ni bora wakaachiwa kina Slaa na lipumba.

Hiyo HOJA ahipo,Kila Mtanzania anayohaki ya kukemea RUSHWA.Rushwa ni adui wa HAKI.Hakuna mahali panapohalalisha RUSHWA ati sababu Lowassa alituhumiwa?Kama anatuhuma kwanini serikali isimfungulie mashtaka??Mbona akina Manji wamefunguliwa??

Tusiposema sasa [HASHTAG]#RUSHWA[/HASHTAG] HAPANA basi tusikemee tena RUSHWA
 
Hivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.

Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.

Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.

Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !

Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.

Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??

Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.

Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.

Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.
Kiongozi wewe zuzu kweli umezuzuka akili? Iv aliyeuza nyumba za serikali kwa vimada na ndugu zake sio fisad? Iv aliyenunua kivuko kibovu na kukipeleka jeshini co fisadi kweli! Hata akahonga wabunge wa chama chake huyo sio fisadi? Ufisadi ni nini hasa? Kama wewe unamini kuwa magufuli sio fisadi mwambie atangaze hadharani yale maghorofa anayomiliki hapa nchini ili tuone kama yanalingana na mshahara wa mtumishi wa umma/ wazir mbona hatangazi tumpime na tujue?
Ivi nyie hamjastuka tu kuwa anazuga kwenye rushwa huyu ? Ref. Mnyeti
 
Acha ujinga...yaani jpm anafanya upuuzi kwa kwa kujificha nyuma ya chadema...kwani sisi watz tuliwachagua chadema...!!!? Au kila anayehoji ni mwanachadema......!!?? Serikali haiwezi kufanya makosa nyuma ya vyama vya upinzani...ni upuuzi mtupu... Mnapo kosea mkubali kukosolewa hata na wasio na vyama au wana ccm wenzeni pia na watz kwa ujumla...!! Tabia hii ni kishamba na kukosa kujiamini kama rais na serikali yake
Wewe chama chako kimeshajulikana, unazuga huna chama
 
Hiyo HOJA ahipo,Kila Mtanzania anayohaki ya kukemea RUSHWA.Rushwa ni adui wa HAKI.Hakuna mahali panapohalalisha RUSHWA ati sababu Lowassa alituhumiwa?Kama anatuhuma kwanini serikali isimfungulie mashtaka??Mbona akina Manji wamefunguliwa??

Tusiposema sasa [HASHTAG]#RUSHWA[/HASHTAG] HAPANA basi tusikemee tena RUSHWA
Rushwa sasa basi ilitakiwa kuonekana 2015 pale ambapo chadema ingemgomea fisadi.
Hatupambani na Rushwa nusunusu.
Iko fursa kwa chadema kumtema mtuhumiwa na kuomba radhi.
 
Kiongozi wewe zuzu kweli umezuzuka akili? Iv aliyeuza nyumba za serikali kwa vimada na ndugu zake sio fisad? Iv aliyenunua kivuko kibovu na kukipeleka jeshini co fisadi kweli! Hata akahonga wabunge wa chama chake huyo sio fisadi? Ufisadi ni nini hasa? Kama wewe unamini kuwa magufuli sio fisadi mwambie atangaze hadharani yale maghorofa anayomiliki hapa nchini ili tuone kama yanalingana na mshahara wa mtumishi wa umma/ wazir mbona hatangazi tumpime na tujue?
Ivi nyie hamjastuka tu kuwa anazuga kwenye rushwa huyu ? Ref. Mnyeti
Haijalishi na haiondoi fact kuwa mafisadi husafishwa na chadema
 
Mkuu ni kama chadema imeanza tuhuma mpya za ufisadi kwa Mnyeti ...let say Mnyeti akahamia chadema ...nina hakika watamsafisha na kutuambia zile ni tuhuma tu hakuna uthibitisho na blah blah nyingine.

Ndio maana tulipinga sana Chadema kujinajisi na ufisadi.

@Willbrodslaa
sasa mkuu, si unaona mwenyewe kabisa kuwa huyu Mnyeti ni katumwa na wakuu wake na ndiyo maana kazawadiwa hata cheo kwa kazi yake nzuri?

si unakumbuka pia kuwa Richmond lilikuwa ni zigo za bosi wa Lowassa? si unakumbuka Mwakyembe alilithibitisha hili kwa kinywa chake mwenyewe - kwamba taarifa yake aliyoitoa ilidhamiria kuiokoa serekali (JK)?

Lowassa kuondoka CCM ilikuwa ni sawa na mtu kuamua kubadili imani (ya zamani na kuingia mpya).
Mnyeti naye akiamua kusilimu/kuokoka ruksa...kikubwa ni azingatie masharti ya imani yake mpya!
 
Back
Top Bottom