CHADEMA mnalalamika nini? Tuliwaonya msihalalishe ufisadi hamkusikia wala kuelewa!

CHADEMA mnalalamika nini? Tuliwaonya msihalalishe ufisadi hamkusikia wala kuelewa!

ushahidi ilikuwa ni ile taarifa ya Mwakyembe. baadaye alipohitajika kutoa maelezo akiwa ndani na baadaye nje ya CCM, Lowassa akamtaja mhusika (wahusika). ushahidi wa kuwa yeye hakuwa ndiye mhusika ni pale vyombo vya dola viliponyamza bila kumchukulia hatua....upo hapo?

bado unahitaji lecture yangu?

maswali!!
Mmiliki wa Richmond ni kikwete
 
Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.

Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !

CDM ni kama yesu na Zakayo.........hatubagui, tunakaa na wenye dhambi, tunawabadilisha......
Inatoa uwokovu wa siasa.............
Na Magufuli kafanya hivyo hivyo
 
Unafiki wenu pelekeni huko huko...nyie ndo mlituhumu so mlipaswa kupeleka tuhuma zenu mahakamani kwasababu mlisema ushahidi mnao na mkaonyesha mbele ya waTanzania makarabrasha mliyoyaita ushahidi wa ufisadi wa Lowassa vipi mmefungia maandazi ?!
Wewe wa wapi bwana! Mahakamani kwa mujibu wa sheria ya nchi hii ni waliopo madarakani ndiyo wanaotakiwa kupeleka kesi mahakamani, kwani makosa ya jinai si jambo linalofanywa holela kwa kila mtu kupeleka kesi mahakamani!
 
Ccm mnapozungumza eti UFISADI Chadema huwa napata taabu kuamini uwezo Wa akili za wanaccm
 
CCM hakuna msafi hata mmoja, wote wameoza. Kwa hiyo yeyote anayetoka CCM lazima ana madudu yake lakini Upinzani atapata nafasi ya kutubu/kujirudi na kutoa mchango chanya kwa Taifa na Watanzania.
 
Wewe ni mwananchi uliyepinga fisadi kisafishwa na chadema??Au unajivika huo uananchi katika mada hii tu?

Huo ufisadi unaong'ang'ania kuwa umesafishwa ba CHADEMA wewe na serikali yako mmeshindwa nini kuufungulia mashitaka? Unataka kutuambia kuwa CHADEMA wakiutakasisha basi nyiye hamna tena nguvu ya kuuchukulia hatua? Dola.mmnayo au nayo imewekwa rehani na ile ndege?
 
Hivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.

Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.

Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.

Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !

Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.

Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??

Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.

Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.

Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.

Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
Kwa tafasili yangu ni kuwa mtu akitajwa na cdm kuwa ni muovu huyo ni mtu msafi sana.

Kumbuka walivyokuwa wakimsema Lowasa na sasa wanavyomthamini. Kumbuka walivyokuwa wakimsema Nyalandu leo wamempokea kwa shangwe. Kumbuka walimwita Sumaye mr zero leo ni lulu kwao. Kumbuka walivyokuwa wakimshambulia Nape leo wanaombea aungane nao.
 
Huo ufisadi unaong'ang'ania kuwa umesafishwa ba CHADEMA wewe na serikali yako mmeshindwa nini kuufungulia mashitaka? Unataka kutuambia kuwa CHADEMA wakiutakasisha basi nyiye hamna tena nguvu ya kuuchukulia hatua? Dola.mmnayo au nayo imewekwa rehani na ile ndege?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo kwa miaka yote mliyomwita Lowasa kuwa ndiye mkuu wa mafisadi ilikuwa mnatania!!
 
hii ni thread ya kipuuzi kama vyombo ya dora havina ubavu wa kuwakamata wale wote wezi waliosafishwa na chadema as if wanamahakama basi Taifa la Tanzania hamna kitu.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwa hiyo kwa miaka yote mliyomwita Lowasa kuwa ndiye mkuu wa mafisadi ilikuwa mnatania!!


Kwanza siko CHADEMA hilo ulielewe.
Sasa nyie si ndio mna dola mkamateni basi. Alienda CHADEMA akaeleza kila kitu ndio akakubaliwa kujiunga. Aliyekuwa na lake anakula mihogo saa hizi.
 
Hivi unavyoongea Ufisadi unaongelea chama gani zaidi ya ccm? Sidhani kama unawaza kwa kutumia japo akili ndogo uliyojaaliwa.
 
mmeshaingia kwenye mfumo kama Yanga inavyowaingiza Team flani kwenye mfumo
 
Back
Top Bottom