Bila bila
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 22,168
- 39,118
Walifanya kama watawala?Who said two wrongs make things right?
Muache kulalamika wakati ukiukaji wa awali ulifanywa na ninyi wenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walifanya kama watawala?Who said two wrongs make things right?
Muache kulalamika wakati ukiukaji wa awali ulifanywa na ninyi wenyewe
Hivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.
Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.
Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.
Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !
Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.
Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??
Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.
Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.
Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.
Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
Kutoka rostam, mkapa, chenge, ngeleja, karamaji nk hawa wote ni cdm? Wewe kweli ccm tena usiyeelewa hata maana ya rangi za bendera. Ukidhani lowasa ndio tatizo wakati magufuli alisimamia uuzwaji wa nyumba za serikali na kununua kivuko kibovu. Huku tukiendelea kulipa trilion 3 za meli ya wachina. Na mpaka leo anawazubaisha kuwa anapambana na ufisadi wakati ana maghorofa kibao na anapaswa kutangaza mali hajafanya hivyo nyie mnakenua kenuuuu! Mbona mshahara kautangaza?Haijalishi na haiondoi fact kuwa mafisadi husafishwa na chadema
CCM ,ina wanachama mil 5. chadema ina wanachama mil 3. watz Tupo mill 50. kwa hiyo jumla ya watu mill 8 kati ya mil 50 ndo wanatupelekesha. tuliobaki mil 42. tuwe fair kuna watz wengi hatuna vyama tunataka hakiHivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.
Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.
Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.
Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !
Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.
Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??
Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.
Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.
Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.
Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
Mada imekuingia vilivyo na ni kama vile presha ya macho imepanda huku ukiwa na anxiety na ukaamua kutema povu.Acha ushamba wako Lowasa hana Ufisadi wowote tuhuma za CCM wenzake wenye wivu nao zilikuwa feki na alishaanika Ukweli mmiliki wa Richmond ni kikwete acha kuendelea kukariri propaganda za CCM umebakia peke yako watanzania Wajanja wanajua Lowasa hana kosa ndiyo maana walimchagua kwa kura nyingi lakini CCM mkapiga chenji kota ( uchakachuaji) wizi wa kura kwa kuwatumia tume ya uchaguzi na kikundi cha January makamba kilichoweka ofisi Masaki, kama si njia haramu za kumwibia kura Lowasa leo hii angekuwa ikulu na zile bilion 8 zilipigwa kwa kununua kivuko feki cha mwaka 1978 waziri wa ujenzi angekuwa na kesi hata zile bilion 251 zilipotea wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa zingekuwa zimejulikana zilipokwenda, CCM hakuna msafi wa kuthubutu kumnyooshe mtu kidole, woote huko CCM wanapiga Dili mpaka sasa wanavyoendelea kupiga 10% ununuzi wa ndege, ujenzi wa Reli, chato Airport, pesa zinachukuliwa kienyeji huko Hazina tena pasipo kupitishwa na Bunge, Awamu hii ya tano wana bidii ya kukusanya kodi lakini ndiyo serikali inayoongoza kwa matumizi ya hovyo hovyo kwa pesa za Umma kuliko awamu zote, Pesa anazolipwa Lipumba kuua CUF kuhujumu chadema, kuwakomoa kuwabambikia kesi na sasa kuwapiga Risasi ni pesa nyingi sana ingeweza kuleta maendeleo makubwa tena Nchi ikawa tajiri kuliko South Africa.
Richmond ni ya kikweteMahakama ya mafisadi si ipo? Mbona hamuwapelekii
Mahakama ya mafisadi si ipo? Mbona hamuwapelekii
Mkuu Lowasa alishinda uchaguzi lakini CCM wakafanya chenji kota kura za magufuli wakamwekea Lowasa na za Lowasa wakamwekea magufuli.ccm ,ina wanachama mil 5. chadema ina wanachama mil 3. watz Tupo mill 50. kwa hiyo jumla ya watu mill 8 kati ya mil 50 ndo wanatupelekesha. tuliobaki mil 42. tuwe fair kuna watz wengi hatuna vyama tunataka haki
Haki hiyo isidaiwe serikalini pekee bali hata kwenye vyama.ccm ,ina wanachama mil 5. chadema ina wanachama mil 3. watz Tupo mill 50. kwa hiyo jumla ya watu mill 8 kati ya mil 50 ndo wanatupelekesha. tuliobaki mil 42. tuwe fair kuna watz wengi hatuna vyama tunataka haki
Hivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.
Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.
Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.
Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !
Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.
Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??
Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.
Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.
Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.
Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
Magufuli alikuwa na tuhuma za kuuza nyumba za serikali akajiuzia nyumba zaidi ya moja na zingine kugawa kwa hawala na mdogo wake ambao hawakuwa watumishi wa umma, alipiga bilion 251 wizara ya ujenzi kwa kuwalipa makandarasi hewa alinunua kivuko feki kwa bilion 8 , alipiga Dili nyingi tuhuma kibao mbona mmempeleka ikulu kwa njia haramu? Kama kweli huko nyuma magufuli alikuwa na uchungu juu ya Madini mbona hakujiuzulu uwaziri? Tambua kuwa kila Rais alipiga Dili kwenye Madini sasa magufuli kabuni mbinu zake za kula pesa za madini kaja na mbinu za kuwahadaa watanzania kuwa ana uchungu na madini lakini Ukweli hana uchungu wowote bali ni Dili kwa kwenda mbele.Kwa nafasi nyeti kama ya urais, tuhuma tu zinatosha kumnyima mtu nafasi hata ya kuwepo kwenye mikutano ya kuomba kura. Aidha ieleweke kwamba CHADEMA ilijitahidi kuwaaminsha Watanzania kwamba Lowasa alikuwa fisadi No. 1. CHADEMA hiyo hiyo ikamchukua na kumfanya awe ndio mgombea wao wa urais. Kwa hali kama hiyo, lini Watanzania wataamini muyasemayo?
Hebu angalia mfano mwingine huu wa masuala ya madini. Mnadai kwamba mlikuwa mnapigia kelele suala la mikataba mibovu ya madini. Leo hii Raisi anapambana kuweka nchi katika hadhi inayostahiki katika kulinda raslimali za nchi nyinyi hao hao mnakashifu matokeo ya jitihada zake - Allanakhum billah!
Tatizo vijana mlio kwenye vyama akili zenu zimejaa MAVI kiasi cha kuamini kabisa kila anayepinga MADUDU ya utawala ni CHADEMA. Kwanini msihisi ni NCCR au CHAUMMA? Au mnafikiri tusio na vyama automatically tunashabikia CCM?Hivi Nyie CHADEMA mna matatizo gani? Maana naona matamko yenu na misimamo yenu kama chama au mmoja mmoja yanaashiria kukengeuka kwa kiwango cha juu sana.
Sisi kama wazalendo na wasema kweli na tunaosimama na ukweli siku zote tuliwaonya sana kwamba msimchukue mtuhumiwa wa ufisadi yeyote kutoka CCM.
Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.
Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !
Tulionya, tulichukia na tulipinga kwa nguvu zote. CHADEMA ilihalalisha ufisadi nchini na hili ni kosa kubwa na watalijutia milele.
Leo hii mtuhumiwa wa Rushwa anapoteuliwa na Rais kinachowashangaza au kuwauma ni kipi?Kwani alichokifanya Rais si kilekile alichokifanya Mbowe 2015??
Nawaasa kufunga midomo na kuacha watu wafanye kazi, hata Magufuli kaweka kagia kadogo cha anga kwa Mnyeti kwa hiyo ngoma droo.
Yaani mkitaka kumtuhumu Magufuli muondoeni yule mtuhumiwa wa Ufisadi mliyemsafisha kwa dodoki la chuma kwanza.
Samahani kwa kutumia lugha ya kukera ila nataka iwaume kama ilivyotuuma sisi 2015.
Lowassa na Sumaye hamna nafasi CHADEMA
Bashite Maliyamungu anakula 10% pesa inayokwenda kwa Lipumba kuua CUF kuhujumu chadema anakula 10% kwenye Nissan nyeupe 10% ununuzi wa ndege kwa cash 10% ujenzi wa chato Airport kwani kampuni ni zao huyo peke yako ana alama 90 wenzake wapo wengi na wengi wana alama 60 wakiwemo Wapinzani feki akina cheyo, Dovutwa, Mrema na wenzaoJibu swali hili ukitumia mifano sahihi
a. huko kijani wamebakia mafisadi wangapi ili CDM wasije kosea tena kuchukua mafisadi? wataje (alama 60)
b. je fisadi anaweza kubadilika na kuwa mtu mzuri? (alama 15)
c. je fisadi anaweza kubadilika na kuwa mtu mbaya Zaidi (alama 10)
d. je ni wakati gani mtakatifu na mtu mzuri aliye ndani ya kijani anageuka kuwa fisadi (alama 15)
Huo ndiyo Ukweli watanzania wengi hawana vyama na ni Wapinzani wa CCM hakuna mfano na hawapendezwi na maisha ya sasa serikali kujidai kukusanya kodi kwa bidii lakini wanatumia pesa kwa mambo ya hovyo hovyo kuliko awamu zote zilizopita.Tatizo vijana mlio kwenye vyama akili zenu zimejaa MAVI kiasi cha kuamini kabisa kila anayepinga MADUDU ya utawala ni CHADEMA. Kwanini msihisi ni NCCR au CHAUMMA? Au mnafikiri tusio na vyama automatically tunashabikia CCM?
Kwani mwenyekiti wenu ana cheti?Nchi hii inaongozwa na washamba kwa mjibu wa Zito kabwe kila Msukuma sasa anajidai ana undugu na Bashite Maliyamungu na Mtukufu malaika toka chato zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM ndiyo Sumu ya Taifa kwani mshauri mkuu wa Mtukufu Maliyamungu Bashite hana vyeti hivyo kupelekea Mtukufu kupata Ushauri wa hovyo hovyo unaoigharimu Nchi sasa.