Mlitushangaza sana wananchi pale mlipoamua kumchukua mtuhumiwa wa ufisadi na kumfanya awe mgombea wa nafasi nyeti.
Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !
CDM ni kama yesu na Zakayo.........hatubagui, tunakaa na wenye dhambi, tunawabadilisha......
Inatoa uwokovu wa siasa.............
Mimi na wenzangu tulishangazwa na hatimaye tuliamua kukataa kuwaunga mkono kwa kuwa mlitusaliti kwa kiwango cha juu kabisa kwani yule fisadi mliyemsema kwa miaka mingi mlimgeuza kuwa ndio mshika dau namba moja !
CDM ni kama yesu na Zakayo.........hatubagui, tunakaa na wenye dhambi, tunawabadilisha......
Inatoa uwokovu wa siasa.............