CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

CHADEMA mnaletewa Mpina kuwamaliza

1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Fanya utafiki kwanza kuihusu CDM, kuna mtu (mtemi) alijiapiza kuimaliza ndani ya miaka miwili cha ajabu aondoka kaiacha inadunda.
 
Fanya utafiki kwanza kuihusu CDM, kuna mtu (mtemi) alijiapiza kuimaliza ndani ya miaka miwili cha ajabu aondoka kaiacha inadunda.
Ila mmesahau Mtemi/shujaa aliwabakizia mbunge mmoja wa kuchaguliwa jimboni. Hapo bado mnajiita makamanda ushuz
 
Acha maneno mengi, hakuna mwanaccm anaweza kufanya siasa nje ya mbeleko ya vyombo vya Dola, Wala sio suala la uanaharakati. Isitishe hilo neno harakati ni tafsiri ya kiccm, usipokuwa unawanyenyekea na kuwapa ukweli wao, hukuita mwanaharakati.
Kwa hiyo unakubali kua hata ubunge wenu ni wa kupewa (badala ya Kura?)
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani
Karibu sana Mpina CDM tupambane na wezi vizuri.
 
Huko aliko pia amesha wamaliza.
Mtu huyo ni muhimu chadema, na Kisesa atapirishwa yeye kupitia CDM
 
1. Drama hii imesukwa kitengo. Mheshimiwa atapewa adhabu Kali na Kamati.

2. Kisha, atatimkia CHADEMA na nyie bila kuchunguza mtampokea na kumpa nafasi. Kama ilivyokua Kwa Sumaye, Nyalandu na Lowassa. Hapo ndo anguko lenu.

3. Kumbukeni, 2025 ushindi Ni Lazima kupitia mabango, wasanii na mamluki.

4. Baada ya 2025 atarejea Nyumbani


Hizi ni siasa za kininga sana za kijanga sana za kuwaita wazalendo wa nchi hii kuwa ni mamluki na wasaliti.

Mpina ana uhuru wa kuhamia chama chocchote alimradi havunji sheria.
Hata nyerere alisema CCM sio mama yangu wala baba yangu sembuse Mpina !

Mpina akienda Chadema basi ni vema wakampokea mana kwa sasa anapambana na majizi ndani serikali na chama chake.

Sasa Chadema wasipompokea mpina watampokea nani?

Chadema imefikia hapo ilipo kwa sababu ya kupokea watu wanaotoka CCM na CCM inakufa kwa sababu ya wanachama wake kukimbia .

Mpina asipangiwe pa kwenda.
Siasa sio vita vya mabomu na bunguki ni hoja kati ya Wazalendo(Chadema ? na wahuni ndani ya CCM . Sasa kama mtu hataki kubaki na wahuni basi ajiunge na wazalendo kuikomboa nchi.

Ni ujinga mtupu kusema eti atatoa siri za Chama. Hayo yanakua wakati wa kupigana vita kijeshi lakini kwenye siasa hakuna siri ndo maana kila tukio wanatamani lirushwe live ili wananchi wajue. Siri mara nyingi ni yale mambo mabaya. Hata wazinzi wanajificha mana wanachofanya sio halali.
CCM wana siri nyingi mana wanakwapua mali za umma na kilindana huku wakiwahadaa wananchi kwa rushwa na uongo . Huko ndio kuna siri za kuficha . Sasa Chadema wanaficha kitu gani waogope kumkaribusha mtakendo Mpina . Hakuna msukuma mnafiki wala muoga .

Mpina amewapiga bao na kuisoma ile Ripoti adharani mana kwa ile ripoti mngeweza mkamtumia majangili kama Dr. Mvungi na kisha ripoti ikayeyuka . Sasa amewazidi kete na kuisoma adharani. Ushahidi uko hadharani. Hata mfanye nini watanzania wamesimama na mpina .

Lisu Wapeleke kasi mpaka watakaa chini chali.

2025 Watanganyika wameapa kulinda kura zao na kunyooka na wezi wa kura.

Kuwaacha wezi wa kura ili waingie madarakani na kuiba mali za watoto wa mamilioni ya Watanganyika ni kumkosea Mungu na Taifa aliyeumba kila kitu na kutamani kuona watu wema wanaongoza wengine katika kugawana rasilimali za nchi kwa haki.
 
Hizi ni siasa za kininga sana za kijanga sana za kuwaita wazalendo wa nchi hii kuwa ni mamluki na wasaliti.

Mpina ana uhuru wa kuhamia chama chocchote alimradi havunji sheria.
Hata nyerere alisema CCM sio mama yangu wala baba yangu sembuse Mpina !

Mpina akienda Chadema basi ni vema wakampokea mana kwa sasa anapambana na majizi ndani serikali na chama chake.

Sasa Chadema wasipompokea mpina watampokea nani?

Chadema imefikia hapo ilipo kwa sababu ya kupokea watu wanaotoka CCM na CCM inakufa kwa sababu ya wanachama wake kukimbia .

Mpina asipangiwe pa kwenda.
Siasa sio vita vya mabomu na bunguki ni hoja kati ya Wazalendo(Chadema ? na wahuni ndani ya CCM . Sasa kama mtu hataki kubaki na wahuni basi ajiunge na wazalendo kuikomboa nchi.

Ni ujinga mtupu kusema eti atatoa siri za Chama. Hayo yanakua wakati wa kupigana vita kijeshi lakini kwenye siasa hakuna siri ndo maana kila tukio wanatamani lirushwe live ili wananchi wajue. Siri mara nyingi ni yale mambo mabaya. Hata wazinzi wanajificha mana wanachofanya sio halali.
CCM wana siri nyingi mana wanakwapua mali za umma na kilindana huku wakiwahadaa wananchi kwa rushwa na uongo . Huko ndio kuna siri za kuficha . Sasa Chadema wanaficha kitu gani waogope kumkaribusha mtakendo Mpina . Hakuna msukuma mnafiki wala muoga .

Mpina amewapiga bao na kuisoma ile Ripoti adharani mana kwa ile ripoti mngeweza mkamtumia majangili kama Dr. Mvungi na kisha ripoti ikayeyuka . Sasa amewazidi kete na kuisoma adharani. Ushahidi uko hadharani. Hata mfanye nini watanzania wamesimama na mpina .

Lisu Wapeleke kasi mpaka watakaa chini chali.

2025 Watanganyika wameapa kulinda kura zao na kunyooka na wezi wa kura.

Kuwaacha wezi wa kura ili waingie madarakani na kuiba mali za watoto wa mamilioni ya Watanganyika ni kumkosea Mungu na Taifa aliyeumba kila kitu na kutamani kuona watu wema wanaongoza wengine katika kugawana rasilimali za nchi kwa haki.
CCM inakufa? Unaota wewe
 
Mbowe yule mzee asivyoeleweka akiwekewa pesa mezani anampokea vizuri. Mzee jau sana yule.
 
Mbowe alishasema kwenye siasa hakuna adui wa kudumu wala rafiki wa kudumu..kikubwa tunaangalia sababu za kuenguliwa huko..je ni kwa sababu ya maslahi ya uma au maslahi binafsi.?
Je Mpina ni Asset au Liability?
 
Kwa hiyo unakubali kua hata ubunge wenu ni wa kupewa (badala ya Kura?)
Ukiona mpinzani katangazwa mshindi ujue kashinda kwa kura za kweli. Hakuna mpinzani anashinda kwa mbeleko.
 
Back
Top Bottom