Pre GE2025 CHADEMA mnaogopa nini kumfukuza uanachama Lissu?

Pre GE2025 CHADEMA mnaogopa nini kumfukuza uanachama Lissu?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kuna kitu nilikisema hapa kumhusu Lissu na JPM,hicho kitu nikasema Lissu ni zaidi ya JPM!Uchaguzi 2020 - Tundu Lissu ndiye asimame na Magufuli 2020? Ameonyesha uwezo zaidi ya Magufuli!

Hivyo hizi issues za afya ya akili,tusimuonee Lissu,ni wengi tuu Kuwa kichaa sio mpaka kuokota makopo! Je, Tanzania tuna vichaa wengi kuliko tunavyojidhania?

Hivyo kama tumeisha ongozwa na watu wa type hii na tukatulia,why not Lissu?。

Tundu Lissu ndie the one and only mwenye uwezo wa kuukata huu mbuyu wetu,Japo Lowassa Alikuwa a Liability CCM, Akawa Asset Chadema. Lissu is a Very Bad Liability, but is The Only Asset Chadema Has Kuwangiza Ikulu!. Je... ? kama kuna watu wanataka mbuyu uende chini,mtu pekee mwenye uwezo wa kuukata huo mbuyu ni kichaa,then mtampa shoka kichaa,mbuyu ukishakwenda chini,mnamuwahi na kumnyanganya shoka!。

P

Mtu yeyote mnafiki, chawa mla rushwa hata siku moja hawezi kumpenda Lissu, ni kwakuwa Lissu anamuabisha kwa kuweka tabia yake hadharani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ninamchukia Sana Lissu ,ninauchukia sana mdomo wa Lissu.huyu Mtanzania mwenzetu ni mropokaji sijapata kuona. sielewi Alililewa vipi na wazazi wake katika udogo na makuzi yake.sielewi maadili yake yalikuwaje,sielewi kama alifundishwa staha ,adabu na nidhamu ya mdomo wake.

Huyu Bwana ni mtu aliyekosa chujio la ulimi na mdomo,ni mtu ambaye hajui na hafahamu wapi aongee nini na wapo asiongee nini.hafahamu kipi kitoke kwenye ulimi na mdomo wake na kipi kikae kifuani pake. Ni mtu mzima lakini asiyeendana na matendo yake.Anazeeka akiwa amekosa busara na hekima za mdomo wake.

Ni mtu ambaye akifungua mdomo wake na kuzungumza inabidi uwe na uvumilivu wa kumsikiliza.Maana bila hivyo waweza kujikuta unapandwa na hasira sana.

Lissu ni mtu ambaye alinyimwa kabisa Na Mungu hekima na busara.Ni mtu ambaye hafai kabisa kuongoza kundi lolote lile la watu wenye akili Timamu na wanaojitambua.

Ni mtu aliyejaa ukurupukaji,Mihemuko na Uropokaji. Simchukii kwa sababu nina chuki naye binafsi.bali ninamchukia kwa sababu tabia yake na mwenendo wake usiofaa kabisa kuigwa katika jamii.

Ni mtu ambaye utafikiri mdomo wake unamuwasha muda wote.au utafikiri ameweka moto mdomoni ambao unakuunguza muda wote na hivyo kumfanya ashindwe kufumba na kukaa kimya na hivyo kuanza kuzungumza muda wote hata asipostahili kuzungumza.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Mtu yeyote mnafiki, chawa mla rushwa hata siku moja hawezi kumpenda Lissu, ni kwakuwa Lissu anamuaibisha kwa kuweka tabia yake hadharani.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Ninamchukia Sana Lissu ,ninauchukia sana mdomo wa Lissu.huyu Mtanzania mwenzetu ni mropokaji sijapata kuona. sielewi Alililewa vipi na wazazi wake katika udogo na makuzi yake.sielewi maadili yake yalikuwaje,sielewi kama alifundishwa staha ,adabu na nidhamu ya mdomo wake.

Huyu Bwana ni mtu aliyekosa chujio la ulimi na mdomo,ni mtu ambaye hajui na hafahamu wapi aongee nini na wapo asiongee nini.hafahamu kipi kitoke kwenye ulimi na mdomo wake na kipi kikae kifuani pake. Ni mtu mzima lakini asiyeendana na matendo yake.Anazeeka akiwa amekosa busara na hekima za mdomo wake.

Ni mtu ambaye akifungua mdomo wake na kuzungumza inabidi uwe na uvumilivu wa kumsikiliza.Maana bila hivyo waweza kujikuta unapandwa na hasira sana.

Lissu ni mtu ambaye alinyimwa kabisa Na Mungu hekima na busara.Ni mtu ambaye hafai kabisa kuongoza kundi lolote lile la watu wenye akili Timamu na wanaojitambua.

Ni mtu aliyejaa ukurupukaji,Mihemuko na Uropokaji. Simchukii kwa sababu nina chuki naye binafsi.bali ninamchukia kwa sababu tabia yake na mwenendo wake usiofaa kabisa kuigwa katika jamii.

Ni mtu ambaye utafikiri mdomo wake unamuwasha muda wote.au utafikiri ameweka moto mdomoni ambao unakuunguza muda wote na hivyo kumfanya ashindwe kufumba na kukaa kimya na hivyo kuanza kuzungumza muda wote hata asipostahili kuzungumza.

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acha kufuru zako mtoa posti ulikuwepo kwa Mwenyezi Mungu wakati huyo lisu akinyimwa hivyo ulivyovitaja ?
 
Moderators tafadhalini unganisheni nyuzi zooote za chawa wa Mbowe za kumshambulia Lissu ili wajikusanye huko wajadili wenyewe maana hazina jipya zaidi ya personal attacks tu.
 
Back
Top Bottom