Kazi kubwa mmeiofanya CHADEMA from your inception ya kuwatetea watanzania, watanganyika in particular lakini masikini mnawafia watu waliokufa, maiti hawajitambui.
Nyerere alimwaga sumu sana kwa hawa watanzania, sasa ni kama maiti/mizoga isiyokuwa na uhai wa kutambua kuwa wana haki ya kuihoji serikali/rais/waziri na wote kwa kila wanachokifanya na kukataa kama hakina tija kwao.
ANGALIA
1, Bima /afya/matibabu ni kifo
2. Kikokotoo ni kifo
3. Elimu ya watoto wetu ni kifo
4, Petrol (mafuta) ni kifo
5. Chakula/vyakula vyote bei ni kifo kikuuu
AJABU BADO TUMELALAL/TUMEKUFA MAITI BADO KUOZA.. TUANDAMANE
Nyerere alimwaga sumu sana kwa hawa watanzania, sasa ni kama maiti/mizoga isiyokuwa na uhai wa kutambua kuwa wana haki ya kuihoji serikali/rais/waziri na wote kwa kila wanachokifanya na kukataa kama hakina tija kwao.
ANGALIA
1, Bima /afya/matibabu ni kifo
2. Kikokotoo ni kifo
3. Elimu ya watoto wetu ni kifo
4, Petrol (mafuta) ni kifo
5. Chakula/vyakula vyote bei ni kifo kikuuu
AJABU BADO TUMELALAL/TUMEKUFA MAITI BADO KUOZA.. TUANDAMANE