Pre GE2025 CHADEMA mpeni Tundu Lissu nafasi ya uenyekiti Taifa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Kwa nini Lisu asiwe Mwenyekiti nccr Mageuzi alikokuwa?

Kwanza chama kitavunjika maana atakuwa anawaona wote hamna akili ila yeye , Mwendazake style 🤣🤣
 
Hahaha
Nyie CHAWA wa Lumumba si huwa mnalia lia kuwa Mbowe amekaa sana kwenye nafasi hiyo, kumbe Lissu mnamuogopa zaidi?!!

Ajabu ni kuwa siku zote wanaolalamika kuchoshwa na Mbowe ni wana ccm tu. Pilipili anazokula mwingine wewe zinakuwasha vipi?
Nimejaribu kufafanua lissu akipewa uenyekiti chama kinakufa asubuhi Mbowe ana hekima na busara!
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Wafuasi wa Sultan watakuja kutukana hapa tutashangaa,hawana hoja,sahivi wanapanga kummaliza kamanda mwenzao Lissu,Lissu kuwa makini Meya Jacob amepewa kazi kukumaliza kwa sumu.
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Weeeeeh!!!!
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Hi nafasi ya Zitto na Wangwe
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Haitatokea kwa sababu Lissu siyo Mchaga.

CHADEMA= Chaga Development Manifest
 
Uko sahihi, demokrasia ya kweli ni kupisha wengine. Kwa muda aliokaa Mbowe kwenye nafasi hiyo anastahili kupumzika sasa.
Mbowe aondoke aache maokoto yaloyomfanya ajenge jumba la kifahari ?
Lisu naye mate yanamtoka.
 
Lissu akiwa mwenyekiti mtakufa njaa, angalau Mbowe *anawaona ona" kidogo
 
Wanajeshi hawamuamini mtu hata kama ana tatoo, sembuse
Ni kweli, ila ni Hawa wanajeshi walioko kwenye zama za kupasuliana matofali kichwani, na kubeba mizigi mazito mgongoni.
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Kwa hiyo kinachokukera ni Mbowe kuwa madarakani tu?
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
NAMI nikuunge mkono sasa ni muda wa Mbowe kupumuzika
 
Ukosawa ila swala la Uraisi lisu ndio tulufu ya mchezo
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
Msitupangie.
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.

Kwani ni nani huyo anaye husika kugawa hayo madaraka, maana unazungumza kama kuna mtu mwenye mamlaka hiyo
 
Mbowe ni Kiongozi mzuri Ila , Kiongozi mzuri ni yule anayekubali kuondoka madarakani watu wakiwa bado wanampenda.

Tunakushukuru Sana Mbowe Mwamba. Ila ebu tumpatie na Lissu tuone atafanya nini Asante Sana.
kwani hiyo nafasi ni ya kupewa au kugombea?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…