Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
Mbowe akipumzika kina mmawia, Eryhcty na wengine wa aina hiyo watakula wapi?Uko sahihi, demokrasia ya kweli ni kupisha wengine. Kwa muda aliokaa Mbowe kwenye nafasi hiyo anastahili kupumzika sasa.
Wewe unafikiri wenyewe wanamsujudia Mbowe kwa bure?
Wanavuta something ili kuhakikisha wanapambana na anaeleta mawazo ya mwenyekiti kupumzika.