YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni