CHADEMA msichekelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni. Waliobaki zamu yao ya kupigwa chini inakuja Uchaguzi Mkuu Oktoba

CHADEMA msichekelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni. Waliobaki zamu yao ya kupigwa chini inakuja Uchaguzi Mkuu Oktoba

Keshasahau waliomkata sio hata wapiga kura, ni hao CCM waliolazimika kuwapokea kama wanachama wapya. Jamaa kachanganyikiwa, analaumu jamvi kwa kufurahia mikato. Amesahau hata mantiki ya furaha ya watu kuwa ni “jamaa waliunga juhudi za mwenyekiti, lakini wanachama wamekataa huo uungaji mkono ambao wanaifurahia sasa waliuona kama usaliti na biashara”.

Naanza kuamini wakataji wana “wamekula za kutosha” akilini mwao wakati wa ukataji. Kuna miamala ilifanyika kwa watu hawa kuunga juhudi!
Wengine walikopwa ndo ntolee hio.
Hawa wahamiaji walidanganywa eti upinzani utakufa hivo wakawahi mapema kumbe wao ndo wanaenda kufa.
Mtu Kama Nassari, lijuakali ,katambi walishajitengenezea cv na image nzuri kabisa kwenye Jamii wakakubali kuonyeshwa karanga.Wameharibu cv zao walizozijenga miaka.CV yako ndio mtaji wako ndio maisha yako.
Hivi walishindwa vipi kujifunza yaliyomkuta lipumba ccm sio watu chek walivomtenda mbatia akasusa hata kwenda dodoma
 
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji

CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM

Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba

Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni
Usitufokee
 
Hili ni funzo next time awataunga tena juhudi waliopo wataogopa yatawakuta yaliyowakuta wenzao.
 
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji

CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM

Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba

Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni
Wala sio Chadema tu wanaocheka ni Watanzania Wote Wanaochukia Umalaya wa Siasa na Usaliti Wamelipwa Walichostahiri.
 
Unachotegemea hakitakuwepo safari hii mkuu kisha agiza kura zote zinahesabiwa hadharani
Hii sidhani kama anaweza thubutu, na akiagiza hivi hakika atakuwa kwa mara ya kwanza ameonesha dhamira ya 'kulikomboa' taifa kupitia sanduku la kura maana hata yeye hatatoboa urais.
 
Acha wasaliti waipate vilivyo. Pia ccm wengi hawajui kwanini wanaishabikia ccm.
 
Kwani kuna ubaya gani wao kucheka? Ni kawaida tu mtu anapoondoka kwa mbwembwe na majigambo anaposhindwa watu hucheka. Na siyo hao wanachama wa CHADEMA peke yao wanaocheka,wapo wengi tu.


Hata mimi nimecheka. Wengine hatuna vyama.walipochaguliwa walichaguliwa hata na sisi ambao hatuna vyama. Hivyo walipojitoa walitusaliti sisi wapiga kura. Dhambi ya usaliti inawatafuna. naendelea kucheka.
 
Kwani kuna ubaya gani wao kucheka? Ni kawaida tu mtu anapoondoka kwa mbwembwe na majigambo anaposhindwa watu hucheka. Na siyo hao wanachama wa CHADEMA peke yao wanaocheka,wapo wengi tu.


Hata mimi nimecheka. Wengine hatuna vyama.walipochaguliwa walichaguliwa hata na sisi ambao hatuna vyama. Hivyo walipojitoa walitusaliti sisi wapiga kura. Dhambi ya usaliti inawatafuna. naendelea kucheka.
 
Kigamboni theorem states as follows:

Makonda is directly proportional to JPM,
i.e Makonda = k*JPM
with k = 1

thus, Makonda = JPM.

we know that JPM = CCM
(this is because JPM makes all the decisions for CCM no matter what other party members say or want!)

therefore,
Makonda = JPM = CCM

it has already been proven @ Kigamboni that...
Makonda = 34.76% successful.

we therefore can conclusively deduce the following arithmetical equilibrium:

Makonda = JPM = CCM = 34.76%.

this is a mathematically-based verdict for October 2020:

34.76% is the projected election score for CCM in the October general elections for all 3 candidacies.....i.e presidential, parliament & ward contestants.
It is corect true if other things will not remain constant i.e tume ya uchaguzi na policcm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji

CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM

Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba

Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni
ulitaka walie

Sent from my M4 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom