Asprin
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 68,223
- 96,083
If wishes were horses, beggars would ride.... umeelewa sasa?Hivi hii huwa ina maanisha nini...if only wishes were horses
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
If wishes were horses, beggars would ride.... umeelewa sasa?Hivi hii huwa ina maanisha nini...if only wishes were horses
Si aende TWITTER akajibishane naoMsigwa, heche, mdee, lema, nenda twitter za hao watu uone wanavyochekelea kukatwa hao watu kura za maoni! Labda useme hao sio chadema
Mkuu unatamani hata kwenye Uchaguzi Mkuu napo kura zihesabiwe kwa uwazi kama kwenye mchakato wa kura za maoni za CCM?"Vifaa vya kuwanyolea vilishaandaliwa"
Hapa unamaanisha mshaandaa mbinu zenu namna ya kuwaibia kura.
Wekeni uchaguzi uwe wa huru na haki afu mje mjitape hapa
Mkuu unatamani hata kwenye Uchaguzi Mkuu napo kura zihesabiwe kwa uwazi kama kwenye mchakato wa kura za maoni za CCM?
Wao hawakusaliti chama kwasababu ya njaa na kutukana watu lakini.Wako wanachekelea utafikiri wao wameshashinda uchaguzi!!! Hata mimi nawashangaa kuwa vipi hawa?
Umeshalewa chibuku basi akili inamuwaza Mbowe tu.Hivi ni kweli kuwa kuumia kwa mguu kwa mwenyekiti ndio ubongo nao umeumia,mbona hatumsikii mwenyekiti wa chama na mipango yake mbadala.
Pamoja na uoga wa upinzani kuripot habari lakini ACT tumewaona.cheyo ombi lake tumelielewa,mrema ni muda mrefu ,lipumba nae pia.
CHADEMA ndani ya hili joto la uchaguzi mkuu tuone na ninyi mkipasha pasha.
Nyarandu pekee na nahisi anatumia mapesa yake mfukoni.
Bahati mbaya hata kamera hazitaruhusiwa kwenye vyumba vya kuhesabia kura. Sheria ya kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kuhesabia itasimamiwa vilivyo na mabomu ya machozi na hata risasi za motoYes. Sihesabiwe kwa uwazi na haki. Ili tushuhudie mapenzi ya watanzania ndani ya box la kura
Bahati mbaya hata kamera hazitaruhusiwa kwenye vyumba vya kuhesabia kura. Sheria ya kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kuhesabia itasimamiwa vilivyo na mabomu ya machozi na hata risasi za moto
Vyama vina mawakala hamuwaamini mawakala wa vyama vyenu? 2015 mlisingizia kura mumeibiwa mkiambiwa onyesheni kituo kipi cha kura mumeibiwa hamuonyeshiBahati mbaya hata kamera hazitaruhusiwa kwenye vyumba vya kuhesabia kura. Sheria ya kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kuhesabia itasimamiwa vilivyo na mabomu ya machozi na hata risasi za moto
Hiyo sheria ya mita 200 kusimama ni ya uchaguzi ziko sheria zingine ambazo lazima uzitii mfano kuna sheria inayohusu mikusanyiko lazima upate kibali cha kukusanyika polisi hata kama uko zaidi ya hizo mita 200.Kwa hiyo ukitaka kukusanyika unatakiwa upate kibali cha polisi vinginevyo kitakachokukuta usipige yowe. Sheria ya kukaa mita 200 kutoka kwenye vituo vya kuhesabia itasimamiwa vilivyo na mabomu
[emoji1][emoji1]Hahahahahaaaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lijualipole katisha vibaya sana!!
Kwani unaosema wanachekelea un uhakika gani kama ni chadema?. Ushawahi kuziona kadi zao za uanachama au ndo ileile bila kuitaja cdm watu hamuoni raha
Unachotegemea hakitakuwepo safari hii mkuu kisha agiza kura zote zinahesabiwa hadharaniKuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni
Sasa unajisifu kwa dhuluma mnayotarajia kuifanya!!!!
Wewe unagombea jimbo gani wakushangiie?!