Punguza jazba alafu kunywa maji kwanza.Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa oktoba kuhakiksha hakuna mbunge Chadema anakanyaga bungeni
Huyu inaelekea amesunda ndani laki tano za Bash Boy na kura hakumpaPunguza jazba alafu kunywa maji kwanza.
Hivi hii huwa ina maanisha nini...if only wishes were horsesIf only wishes were horses
Msigwa, heche, mdee, lema, nenda twitter za hao watu uone wanavyochekelea kukatwa hao watu kura za maoni! Labda useme hao sio chademakwani unaosema wanachekelea un uhakika gani kama ni chadema?. Ushawahi kuziona kadi zao za uanachama au ndo ileile bila kuitaja cdm watu hamuoni raha
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Naona Bado hasira za Bashite kukatwa Jana hazijapoa.