Wapiga kura ndo majaji!Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki Chadema watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge Chadema anakanyaga bungeni
Wako wanachekelea utafikiri wao wameshashinda uchaguzi!!! Hata mimi nawashangaa kuwa vipi hawa?Msigwa, heche, mdee, lema, nenda twitter za hao watu uone wanavyochekelea kukatwa hao watu kura za maoni! Labda useme hao sio chadema
Pande zote mbili zimefurahi. Maana kule walikoenda wanaitwa wakimbizi walioiba nafasi za uteuzi za wenyeji. Kifo cha aibu na fedheha kuu ugenini, Katibu mkuu mstaafu kajizolea kura 2!Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki Chadema watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge Chadema anakanyaga bungeni
Hakuna katandikwa kama kawaidaVipi gwajima katoboa?
Siyo mstaafu ni msalitiPande zote mbili zimefurahi. Maana kule walikoenda wanaitwa wakimbizi walioiba nafasi za uteuzi za wenyeji. Kifo cha aibu na fedheha kuu ugenini, Katibu mkuu mstaafu kajizolea kura 2!
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki Chadema watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge Chadema anakanyaga bungeni
Kwani kuna ubaya gani wao kucheka? Ni kawaida tu mtu anapoondoka kwa mbwembwe na majigambo anaposhindwa watu hucheka. Na siyo hao wanachama wa CHADEMA peke yao wanaocheka,wapo wengi tu.Msigwa, heche, mdee, lema, nenda twitter za hao watu uone wanavyochekelea kukatwa hao watu kura za maoni! Labda useme hao sio chadema
Anakuja jumatatu game litageuka hujapata kufikiria wala kuota ndotoni.Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki Chadema watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge Chadema anakanyaga bungeni
Labda ni kama ile kanuni ya fizikia kwamba 'action and reaction are equal and opposite'.Msigwa, heche, mdee, lema, nenda twitter za hao watu uone wanavyochekelea kukatwa hao watu kura za maoni! Labda useme hao sio chadema
Kigamboni theorem states as follows:Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki Chadema watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge Chadema anakanyaga bungeni
if wishing could make things happenHivi hii huwa ina maanisha nini...if only wishes were horses
Ungewaambia hukohuko TwitterMsigwa, heche, mdee, lema, nenda twitter za hao watu uone wanavyochekelea kukatwa hao watu kura za maoni! Labda useme hao sio chadema
Hata mimi nakushangaa kwanini unawashangaa najiuliza huyu vipi anashindwaje kujua kwanini wanashangiliaWako wanachekelea utafikiri wao wameshashinda uchaguzi!!! Hata mimi nawashangaa kuwa vipi hawa?
Kuna msemo usema mwenzio akinyolewa wewe tia maji
CHADEMA msichelee wabunge wenu waliohamia CCM kupigwa chini kura za maoni ndani ya CCM
Hao wenu Waliobaki huko wasijione kuwa salama watashinda na kuzomea wenzao wahamiaji walioshindwa kura za maoni !!! Hao waliobaki CHADEMA watakoshindana na CCM zamu yao ya kupigwa chini inakuja uchaguzi mkuu Oktoba
Msikalie tu kuchekelea meno yote nje wembe wa kuwanyoa ulishaandaliwa uchaguzi mkuu wa Oktoba kuhakiksha hakuna mbunge CHADEMA anakanyaga bungeni