CHADEMA msicheze Upatu kwenye Uenyekiti wa chama mtakuja kujuta

CHADEMA msicheze Upatu kwenye Uenyekiti wa chama mtakuja kujuta

Quinine

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2010
Posts
22,227
Reaction score
49,628
Uongozi ni kipaji si kila mtu anaweza kuwa kiongozi anaweza kuwa mtendaji mzuri lakini asiwe kiongozi mzuri.

Sisemi chama kisifanye uchaguzi au kiengue wagombea hapana, bali wajumbe wawe makini watakapokuwa wanafanya maamuzi siku ya uchaguzi.

Kiongozi huandaliwa hajiandai, lazima kiongozi awe na maono ya kile anachoenda kukiongoza, hakurupuki, ndani ya miezi miwili keshabadili mawazo kutoka kugombea cheo hiki kwenda kile.

Katangaza atagombea Urais, juzi katangaza atawania uMakamu Mwenyekiti, jana katangaza atagombea cheo cha Mwenyekiti, huyu ni kiongozi kweli?

Kiongozi lazima awe predictable, Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho atasema nini".

Soma Pia: Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa

Nawasihi sana wajumbe wa Mkutano Mkuu na wapiga kura, nyie ndio mtakaoamua hatima ya chama chenu, msicheze kamari kwenye uenyekiti wa chama, chezeeni vyeo vingine lakini si uenyekiti wa chama Taifa.
 
Uongozi ni kipaji si kila mtu anaweza kuwa kiongozi anaweza kuwa mtendaji mzuri lkn kuongoza hawezi. Sisemi kuwa chama kisifanye uchaguzi wala kiengue wagombea hapana, bali wajumbe wawe makini wakati wanapofanya maamuzi yao siku ya uchaguzi.

Kiongozi huandaliwa hajiandai, lazima kiongozi awe na maono ya kile anachoenda kukiongoza, hakurupuki, ndani ya miezi miwili keshabadili mawazo kutoka kugombea cheo hiki kwenda kile.

Kiongozi lazima awe predictable, Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho atasema nini".

Nawasihi sana wajumbe wa Mkutano Mkuu na wapiga kura, nyie ndio mtakaoamua hatima ya chama chenu, msicheze kamari kwenye uenyekiti wa chama, chezeeni vyeo vingine lakini si uenyekiti wa chama.
mgombea alietangaza nia kapoa mno na amejawa baridi mno..

ameukosa umakamu uenyekiti kirahisi mno na anakosa fursa na nafasi ya kugombea urais kupitia chadema kirahisi sana.

dah!
siasa inahitaji hekima na busara mno kwenye kupanga na kuamua.

ukiamua vibaya siasa nayo inakufanya vibaya 🐒
 
Uongozi ni kipaji si kila mtu anaweza kuwa kiongozi anaweza kuwa mtendaji mzuri lkn hana uwezo wa kuongoza watu. Sisemi kuwa chama kisifanye uchaguzi wala kiengue wagombea hapana, bali wajumbe wawe makini wakati wanapofanya maamuzi yao siku ya uchaguzi.

Kiongozi huandaliwa hajiandai, lazima kiongozi awe na maono ya kile anachoenda kukiongoza, hakurupuki, ndani ya miezi miwili keshabadili mawazo kutoka kugombea cheo hiki kwenda kile.

Kiongozi lazima awe predictable, Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho atasema nini".

Nawasihi sana wajumbe wa Mkutano Mkuu na wapiga kura, nyie ndio mtakaoamua hatima ya chama chenu, msicheze kamari kwenye uenyekiti wa chama, chezeeni vyeo vingine lakini si uenyekiti wa chama.
Lissu hakawii kukimbilia ubeleji akawaacha watu kwenye mataa! Anahamasisha wenzie waandamane na kuwaona kina Mbowe wamepoa inhaling yeye alipomaliza tu uchaguzi akakimbia nchi!!
 
Lissu hakawii kukimbilia ubeleji akawaacha watu kwenye mataa! Anahamasisha wenzie waandamane na kuwaona kina Mbowe wamepoa inhaling yeye alipomaliza tu uchaguzi akakimbia nchi!!
Hakukimbia, katika scenario kama ile hata ungekuwa wewe lazima ungejificha kwanza.
 
CCM Inakanuni, zake za kumwajibisha mwenyekiti wake endapo atakikosea chama, vile vile CDM ina kanuni za kumondosha mwenyekiti wake kabla ya muda endapo atakiuka taratibu za chama kwa kuvuka mipaka fulani.
-Aliaminiwa kugombea urais, sembuse uenyekiti? -
 
Uongozi ni kipaji si kila mtu anaweza kuwa kiongozi anaweza kuwa mtendaji mzuri lakini hana uwezo wa kuongoza watu. Sisemi kuwa chama kisifanye uchaguzi wala kiengue wagombea hapana, bali wajumbe wawe makini wakati wanapofanya maamuzi yao siku ya uchaguzi.

Kiongozi huandaliwa hajiandai, lazima kiongozi awe na maono ya kile anachoenda kukiongoza, hakurupuki, ndani ya miezi miwili keshabadili mawazo kutoka kugombea cheo hiki kwenda kile.

Kiongozi lazima awe predictable, Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho atasema nini".

Soma Pia: Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa

Nawasihi sana wajumbe wa Mkutano Mkuu na wapiga kura, nyie ndio mtakaoamua hatima ya chama chenu, msicheze kamari kwenye uenyekiti wa chama, chezeeni vyeo vingine lakini si uenyekiti wa chama.
Kiongozi mzuri hakai madarakani zaidi ya miaka 20 bila kutengeneza succesion plan. Amefanya makosa sana huyo unayedhani ni kiongozi mzuri hadi mabadiliko yamemkuta akiwa hajajiandaa. Alikuwa na muda wa kutosha sana kufanya mabadiliko lakini akataka kufia madarkani. Kama kila baada ya miaka mitano kuna uchaguzi, basi subirini uchaguzi ufanyike.
 
Kiongozi mzuri hakai madarakani zaidi ya miaka 20 bila kutengeneza succesion plan. Amefanya makosa sana huyo unayedhani ni kiongozi mzuri hadi mabadiliko yamemkuta akiwa hajajiandaa. Alikuwa na muda wa kutosha sana kufanya mabadiliko lakini akataka kufia madarkani. Kama kila baada ya miaka mitano kuna uchaguzi, basi subirini uchaguzi ufanyike.
Mbowe hajafanya makosa labda useme katiba ndiyo imefanya makosa kwa kutoweka kikomo kwenye uongozi.

Kura zitasema kama kajiandaa au hajajiandaa msije kukimbia uwanja baada ya matokeo.
 
Uongozi ni kipaji si kila mtu anaweza kuwa kiongozi anaweza kuwa mtendaji mzuri na asiwe kiongozi mzuri.

Sisemi chama kisifanye uchaguzi au kiengue wagombea hapana, bali wajumbe wawe makini watakapokuwa wanafanya maamuzi siku ya uchaguzi.

Kiongozi huandaliwa hajiandai, lazima kiongozi awe na maono ya kile anachoenda kukiongoza, hakurupuki, ndani ya miezi miwili keshabadili mawazo kutoka kugombea cheo hiki kwenda kile.

Kiongozi lazima awe predictable, Nyerere aliwahi kusema, "Hatuwezi kuwa na kiongozi ambaye hatujui kesho atasema nini".

Soma Pia: Ratiba Kamili Ya Uchaguzi Wa CHADEMA Taifa

Nawasihi sana wajumbe wa Mkutano Mkuu na wapiga kura, nyie ndio mtakaoamua hatima ya chama chenu, msicheze kamari kwenye uenyekiti wa chama, chezeeni vyeo vingine lakini si uenyekiti wa chama Taifa.
Mbowe ana maono gani zaidi ya kubebwa na Ndesa na yule Reginald

Walipokufa Chadema imekuwa kichwa Cha mwendawazimu hadi Leo

Sidhani kama utaelewa 🐼
 
Mbowe ana maono gani zaidi ya kubebwa na Ndesa na yule Reginald

Walipokufa Chadema imekuwa kichwa Cha mwendawazimu hadi Leo

Sidhani kama utaelewa 🐼
Chadema ingekuwa imekufa wakati huu ungekuwa unajadili UDP ya Cheyo au NCCR ya Lissu.
 
Mbowe hajafanya makosa labda useme katiba ndiyo imefanya makosa kwa kutoweka kikomo kwenye uongozi.

Kura zitasema kama kajiandaa au hajajiandaa msije kukimbia uwanja baada ya matokeo.
Kwa taarifa yako hakuna anayejali matokeo halali. Sisi ni wataka mabadiliko, hivyo hatuna tatizo lolote na mchakato au matokea ya uchaguzi halali.
 
Back
Top Bottom