econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Mbowe hajafanya makosa labda useme katiba ndiyo imefanya makosa kwa kutoweka kikomo kwenye uongozi.
Kura zitasema kama kajiandaa au hajajiandaa msije kukimbia uwanja baada ya matokeo.
Hana ubavu wa kumshinda Lissu. Labda Abdul anisaidie.