Kama tunataka uchaguzi uwe wazi na mshindi halali aungwe mkono kwanini basi tulazimishe fulani kachoka aondoke na fulani aingie?Naoina umenichukua nje ya muktadha, naamanisha hatutajali matokeo halali ya atakayeshinda au kushindwa. Kiufupi tutaheshimu matokeo yoyote halali, zingatia neno halali.
Siyo kweli.UvCCM ndio wanauchungu na mbowe kuliko wana CDM
Sidhani kama succesion plan ni jukumu la mwenyekiti, nadhani ni utaratibu wa kichama kupata mrithi sahihi, na sio anayetakiwa na kiongozi.Na akimtayarisha mtu wa kumrithi mtasema kuwa anataka kuleta utawala wa kiimla. Kiongozi makini anawapa wanachama wenzake uwezo wa kujichagulia kiongozi ambae wao wanaona anafaa sio kujipendekeza kwake kwa kuchagua mtu ambae yeye anamtaka. Kama kuna mtu anamtaka ataweza kumfanyia kampeni lakini bila kulazimisha.
Amandla...
Ulikuwa wapi hadi leo useme hivyo.Endeleeni kukaza shingo tu, tutataja na wanaowatuma kung'ang'ania madaraka
Na kiongozi anapatikana through ballot box na si kwa mihemko.Sidhani kama succesion plan ni jukumu la mwenyekiti, nadhani ni utaratibu wa kichama kupata mrithi sahihi, na sio anayetakiwa na kiongozi.
Kuchoka ni mtazamo wangu, ila sina popote ninapokataa yeye kugombea. Usichanganye matamanio yangu na utaratibu. Sina tatizo la utaratibu kufuatwa, ndio maana nasisitiza uchaguzi halali bila kujali nani mgombea.Kama tunataka uchaguzi uwe wazi na mshindi halali aungwe mkono kwanini basi tulazimishe fulani kachoka aondoke na fulani aingie?
Hoja yako ni ipi hapa boss? Ni wapi nakataa mshindi kupatikana kwa njia halali ya kura?Na kiongozi anapatikana through ballot box na si kwa mihemko.
Unajua maana ya succession plan mkuu. Unaweza elezea mchango wa dk slaaNa kiongozi anapatikana through ballot box na si kwa mihemko.
Nilikuwa nakumbusha tu tufanye kampeni ya bila kuacha makovu, atakayechaguliwa tumuunge mkono tusiwe kama Msigwa.Hoja yako ni ipi hapa boss? Ni wapi nakataa mshindi kupatikana kwa njia halali ya kura?
Sielewi hebu dadavua kwa faida ya wengi mkuu.Unajua maana ya succession plan mkuu. Unaweza elezea mchango wa dk slaa
Hamna jema nyiemgombea alietangaza nia kapoa mno na amejawa baridi mno..
ameukosa umakamu uenyekiti kirahisi mno na anakosa fursa na nafasi ya kugombea urais kupitia chadema kirahisi sana.
dah!
siasa inahitaji hekima na busara mno kwenye kupanga na kuamua.
ukiamua vibaya siasa nayo inakufanya vibaya π
ni muhimu sana kushudia demokrasia, faida za utulivu, mipango mikakati na mahesabu kwenye siasa, na athari au mathara ya kukurupuka, makelele na mdomo bila maono.Hamna jema nyie
Unaandaa mazingira ya taasisi kuendelea kuwepo hata wewe usipokuwepo. Unatoa mafunzo na uzoefu hata kukaimisha kwa muda. Waandaliwa wanapitia kwenye moto kama kufaulu kwenye mafunzo mengine makubwa kama shaolin , samurai alexander the great au Budha. Sio kutengeneza chawa ambao ni ndio mzee.Sielewi hebu dadavua kwa faida ya wengi mkuu.
ni ukweli usiopingika hata hapa jf uvccm wanaendeleza propapaganda za kumchafua lissu,hii inaweka bayana kwamba lissu ni threat kwa mfumo wa ccmSiyo kweli.
Bwana weeh wacha wenye taasisi yao waone kwa namna wanavyoona wao. Walimpa form maana yake wameridhia atapiga kampeni halafu uchaguzi nao najua mtaleta maneno awe ameshinda yeye au Mbowe mtasema tuπni muhimu sana kushudia demokrasia, faida za utulivu, mipango mikakati na mahesabu kwenye siasa, na athari au mathara ya kukurupuka, makelele na mdomo bila maono.
kumbuka mtaka vyote kwa pupa, hukosa vyote π
Huu ujinga wa kikabila ndio unaowavurugia wapambe wa Lisu.Kwani kwa kuwa Mwenyekiti miaka 21, Mbowe amevunja katiba ya Chama?Mkianza hoja za ukabila akigombea tena Mwenyekiti Mbowe hamshindi na hilo mnalijua ndio sababu mnashinikiza asigombee.WACHAGA ACHENI HILAAA.SASA MNATAKA MBOWE AZIDI KUKALIA HIKO CHEO HADI LINI??MIAKA 21 HIVI SASA BADO YUPO TUH KWANI CHAMA CHA FAMILIA HIKO??
Lissu hakawii kukimbilia ubeleji akawaacha watu kwenye mataa! Anahamasisha wenzie waandamane na kuwaona kina Mbowe wamepoa inhaling yeye alipomaliza tu uchaguzi akakimbia nchi!!