CHADEMA msilazimishe Mahakama kuingiliwa na Rais kisa mna husda na akina Mdee. Mahakama ni chombo huru

CHADEMA msilazimishe Mahakama kuingiliwa na Rais kisa mna husda na akina Mdee. Mahakama ni chombo huru

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Naona mnabwabwaja maneno hovyo kama vile mmekula chakula na kuvimbiwa. Mnabeua hovyo hovyo tu.

Mnataka iweje? Rais aamuru Halima na wenzake wasiwe wabunge bila mahakama kufanya maamuzi?

Kisa tu mnajua kuna huruma ilifanyika na akachomoka kesi la ugaidi?

Maridhiano yenu na kulamba asali yanahusika vipi na ubunge wa akina Halima?

Mahakama ni chombo huru. Someni ibara ya I07A(1) ya katiba ya JMT.
 
Tatizo unaropoka sana.

Mahakama ilishaamua, na kama Tulia alishasema anaiachia mahakama itoe maamuzi, bado anasubiri kitu gani kuwaondoa hata baada ya maamuzi ya mahakama aliyotaka kutoka?

Samia kama aliweza kumshughulikia Ndugai akiwa Spika wa bunge bila kosa, anashindwa nini kwa nafasi yake kuhakikisha sheria inafuatwa kwa hao COVID-19 wenye makosa? Lazima alaumiwe.

Halafu jifunze kutumia lugha ya staha huku JF, hili sio jukwaa la walevi hata kama umezoea kulewa kangara zako.
 
Halima mdee na wezako chapeni kazi umewashika kwenye uvungu wa mapaja shikilia hapo hapo hapo kolodani
 
Back
Top Bottom