CHADEMA msipokee rambirambi wala salamu za pole kutoka kwa wale wanaowaua kwasababu za kisasa

CHADEMA msipokee rambirambi wala salamu za pole kutoka kwa wale wanaowaua kwasababu za kisasa

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Kwa mujibu wa post ys Tundu Lissu kwenye mtandao wa X, aliekuwa mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa huko Manyoni mkoani Singida, bwana George Juma Mohamed aliepigwa risasi na kufarika, anatarajiwa kuzikwa leo.

Witio: Tusiruhusu watesi wetu wafike msibani kwa lolote na wala tusipkee rambirambi zao pamoja na salama za pole kutoka kwa hawa watu.. Wanatukejeli.

CHADEMA, mnapaswa kutambua hawa watu wanatuona kama wanyama na ndio maana hawajali uhai wetu wala maisha yetu.

Msiruhusu wafike msibani na manguo yao wala msiwape mike waseme lolote. Wanakuja kutuhadhaa tu huku robo zao zinafurahia walichokifanya.

Hali iwe ni hii hii kwa misiba ya wahanga wote wa uchaguzi huu wa kihuni .

INapendekeza Kamati Kuu ya CHADEMA inayokaa leo ije na tamko rasmi kuhusu ushiriki wa hawa watu kwenye misiba ya wanachama na viongozi wa CHADEMA yenye sura ya kisiasa.

Enough is enough.

Nawasilisha.
 
Hata kusalimiana na kupiga picha inaenda kuwa ngumu.

Wahafidhina ndani ya CDM wanaona si kitu cha kufumbiwa macho tena.

Wapo wanaoamini 'siasa ni uadui' na ukiwasikiliza ni kama wana hoja

Mtu "anaeuwa" watoto wako unamchekea na kupiga nae picha kwel?

Na tulisema toka mwanzo CCM inahalalisha radical politics bila kujua... Na kwa sasa makundi sogoz ya Wasup, CH, Telegram na X ni mwendo wa kukosoa siasa za mrengo wa kati wa uongoz wa Mbowe..

Mbowe anaonekana Irrelevant kutokana na mwenendo wa siasa za sasa...

Ikitokea watu aina ya Lissu, Mdude, Heche, wanapewa Chama tutarajie siasa za CUF ya Maalim kabla ya GNU..

Hatari kubwa mbele yetu.
 
Kwa mujibu wa post ys Tundu Lissu kwenye mtandao wa X, aliekuwa mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa huko Manyoni mkoani Singida, bwana George Juma Mohamed aliepigwa risasi na kufarika, anatarajiwa kuzikwa leo.

Witio: Tusiruhusu watesi wetu wafike msibani kwa lolote na wala tusipkee rambirambi zao pamoja na salama za pole kutoka kwa hawa watu.. Wanatukejeli.

CHADEMA, mnapaswa kutambua hawa watu wanatuona kama wanyama na ndio maana hawajali uhai wetu wala maisha yetu.

Msiruhusu wafike msibani na manguo yao wala msiwape mike waseme lolote. Wanakuja kutuhadhaa tu huku robo zao zinafurahia walichokifanya.

Hali iwe ni hii hii kwa misiba ya wahanga wote wa uchaguzi huu wa kihuni .

INapendekeza Kamati Kuu ya CHADEMA inayokaa leo ije na tamko rasmi kuhusu ushiriki wa hawa watu kwenye misiba ya wanachama na viongozi wa CHADEMA yenye sura ya kisiasa.

Enough is enough.

Nawasilisha.
Hii itabadili matokeo? Nalaumu dana sisi Wabongo Maiti, Sisi ni Maiti kwa mujibu wa Jomo Kenyata
 
Naunga mkono hoja.

Wananchi tujitenge na hawa maharamia ya CCM kwa kila hali katika jamii zetu. Haiwezekani mtu afurahie kuteswa na kuuawa kwako, halafu awe na huzuni wakati wa kuzikwa kwako.

Na hao viongozi waliotangazwa kwa gharama ya damu za binadamu wenzao, watengwe na jamii, wananchi wasishirikiane nao kwa jambo lolote.
 
Naunga mkono hoja.

Wananchi tujitenge na hawa maharamia ya CCM kwa kila hali katika jamii zetu. Haiwezekani mtu afurahie kuteswa na kuuawa kwako, halafu awe na huzuni wakati wa kuzikwa kwako.

Na hao viongozi waliotangazwa kwa gharama ya damu za binadamu wenzao, watengwe na jamii, wananchi wasishirikiane nao kwa jambo lolote.
Ni wakati muafaka kwa chama kutoa mwongozo/tamko juu ya hili.
 
Kwa mujibu wa post ys Tundu Lissu kwenye mtandao wa X, aliekuwa mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa huko Manyoni mkoani Singida, bwana George Juma Mohamed aliepigwa risasi na kufarika, anatarajiwa kuzikwa leo.

Witio: Tusiruhusu watesi wetu wafike msibani kwa lolote na wala tusipkee rambirambi zao pamoja na salama za pole kutoka kwa hawa watu.. Wanatukejeli.

CHADEMA, mnapaswa kutambua hawa watu wanatuona kama wanyama na ndio maana hawajali uhai wetu wala maisha yetu.

Msiruhusu wafike msibani na manguo yao wala msiwape mike waseme lolote. Wanakuja kutuhadhaa tu huku robo zao zinafurahia walichokifanya.

Hali iwe ni hii hii kwa misiba ya wahanga wote wa uchaguzi huu wa kihuni .

INapendekeza Kamati Kuu ya CHADEMA inayokaa leo ije na tamko rasmi kuhusu ushiriki wa hawa watu kwenye misiba ya wanachama na viongozi wa CHADEMA yenye sura ya kisiasa.

Enough is enough.

Nawasilisha.
uwendawazimu ni kitu kibaya sana aise,

yaani mtu kaishaaga dunia kisha mtu mzima analeta kimbelembele kwa marehemu,kweli? itakusaiadia nini sasa...

R.I.P kamanda 🐒
 
Kwa mujibu wa post ys Tundu Lissu kwenye mtandao wa X, aliekuwa mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa huko Manyoni mkoani Singida, bwana George Juma Mohamed aliepigwa risasi na kufarika, anatarajiwa kuzikwa leo.

Witio: Tusiruhusu watesi wetu wafike msibani kwa lolote na wala tusipkee rambirambi zao pamoja na salama za pole kutoka kwa hawa watu.. Wanatukejeli.

CHADEMA, mnapaswa kutambua hawa watu wanatuona kama wanyama na ndio maana hawajali uhai wetu wala maisha yetu.

Msiruhusu wafike msibani na manguo yao wala msiwape mike waseme lolote. Wanakuja kutuhadhaa tu huku robo zao zinafurahia walichokifanya.

Hali iwe ni hii hii kwa misiba ya wahanga wote wa uchaguzi huu wa kihuni .

INapendekeza Kamati Kuu ya CHADEMA inayokaa leo ije na tamko rasmi kuhusu ushiriki wa hawa watu kwenye misiba ya wanachama na viongozi wa CHADEMA yenye sura ya kisiasa.

Enough is enough.

Nawasilisha.
Naunga mkomo hoja iwe kama CUF ya Zanzibar kipindi cha Seif walikuwa hawazikani.
 
uwendawazimu ni kitu kibaya sana aise,

yaani mtu kaishaaga dunia kisha mtu mzima analeta kimbelembele kwa marehemu,kweli? itakusaiadia nini sasa...

R.I.P kamanda 🐒
Ni message kwa waliobaki na waliotenda kosa hilo.
 
Na wewe ni shetani kama hao mashetani unaowatumikia.
Gentleman,
shetani ni yule anaebabaika na mtu mfu badala ya kuomboleza na kuomba Neema na Baraka za, marehemu apokelewe kwa amani anapostahili..

fujo na vurugu misibani ni uwendawazimu kabisa 🐒
 
Back
Top Bottom