Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 24,665
- 25,388
hiyo sio meseji hiyo ni chuki, uchochezi na ubaguzi kwenye jambo la huzuni.Ni message kwa waliobaki na waliotenda kosa hilo.
huenda maagizo hayo yamechochewa na kilevi 🐒
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hiyo sio meseji hiyo ni chuki, uchochezi na ubaguzi kwenye jambo la huzuni.Ni message kwa waliobaki na waliotenda kosa hilo.
Duh mnataka kumpa chama kamanda mdude? 😂😂Hata kusalimiana na kupiga picha inaenda kuwa ngumu.
Wahafidhina ndani ya CDM wanaona si kitu cha kufumbiwa macho tena.
Wapo wanaoamini 'siasa ni uadui' na ukiwasikiliza ni kama wana hoja
Mtu "anaeuwa" watoto wako unamchekea na kupiga nae picha kwel?
Na tulisema toka mwanzo CCM inahalalisha radical politics bila kujua... Na kwa sasa makundi sogoz ya Wasup, CH, Telegram na X ni mwendo wa kukosoa siasa za mrengo wa kati wa uongoz wa Mbowe..
Mbowe anaonekana Irrelevant kutokana na mwenendo wa siasa za sasa...
Ikitokea watu aina ya Lissu, Mdude, Heche, wanapewa Chama tutarajie siasa za CUF ya Maalim kabla ya GNU..
Hatari kubwa mbele yetu.
Wewe baba yako akiwa CCM huwezi mzika Mbowe akitoa hayo maagizo?Naunga mkomo hoja iwe kama CUF ya Zanzibar kipindi cha Seif walikuwa hawazikani.
Mwanaccm atakayekuja mazikoni naye afukiwe pamoja na marehemu.Kwa mujibu wa post ys Tundu Lissu kwenye mtandao wa X, aliekuwa mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa huko Manyoni mkoani Singida, bwana George Juma Mohamed aliepigwa risasi na kufarika, anatarajiwa kuzikwa leo.
Witio: Tusiruhusu watesi wetu wafike msibani kwa lolote na wala tusipkee rambirambi zao pamoja na salama za pole kutoka kwa hawa watu.. Wanatukejeli.
CHADEMA, mnapaswa kutambua hawa watu wanatuona kama wanyama na ndio maana hawajali uhai wetu wala maisha yetu.
Msiruhusu wafike msibani na manguo yao wala msiwape mike waseme lolote. Wanakuja kutuhadhaa tu huku robo zao zinafurahia walichokifanya.
Hali iwe ni hii hii kwa misiba ya wahanga wote wa uchaguzi huu wa kihuni .
INapendekeza Kamati Kuu ya CHADEMA inayokaa leo ije na tamko rasmi kuhusu ushiriki wa hawa watu kwenye misiba ya wanachama na viongozi wa CHADEMA yenye sura ya kisiasa.
Enough is enough.
Nawasilisha.
Sio ma-CCM tu, mimi hata Polisi nimewachukia sana na kamwe sitokuwa na urafiki na Polisi yeyote yule. Nimewachukia sana.Tangu mchakato wa uchaguzi huu uanze hadi kupiga kura na kutangazwa matokeo nimemua kuwa kila mwanaccm ni adui yangu hata angekuwa ndugu wa damu sitashirikiana naye kwa lolote, kwangu mimi mwanaccm ni sawa na nyoka ni haki yangu kumponda kichwa kabla hajagusa kisigino changu.
Acha kuzikana tuu, hata kama ni ndugu yako akikupiga mzinga (maana kwa mizinga hawajambo) bora kumnyima na kumpa ukweli chanzo cha matatizo yake ni nini!Naunga mkomo hoja iwe kama CUF ya Zanzibar kipindi cha Seif walikuwa hawazikani.
Uko sahihi kabisa polisi hawa ni kundi moja na hawa hayawani wa kijani, popote inapopatikana nafasi ya kuwafanyizia lazima wafanyiziwe.Sio ma-CCM tu, mimi hata Polisi nimewachukia sana na kamwe sitokuwa na urafiki na Polisi yeyote yule. Nimewachukia sana.
Hivi huoni kwa miaka CCM mmekuwa mkipandikiza chuki kwa kudhulumu, kupindisha Mambo , kubaka Haku za raia, kuwaibia na kuwaonesha kuwa wao si kitu Hadi unapofika wakati wakunadi ujinga wenu nyakati za chaguzi.Relax madam, I'm very sorry to say,
kuchochea fujo, chuki na uhasama msibani ni nonsense 🐒
Mbowe aachie watu wenye kauli za kibabe na maamuzi ya ngumi mkononi coz huku ndipo tinaelekea na nguvu inahitajika na sio kutongozabaMno..alinikwaza sana
Chadema ninayoijua sio hii hawa ni walamba asaliKwa mujibu wa post ys Tundu Lissu kwenye mtandao wa X, aliekuwa mgombea wa CHADEMA kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa huko Manyoni mkoani Singida, bwana George Juma Mohamed aliepigwa risasi na kufarika, anatarajiwa kuzikwa leo.
Witio: Tusiruhusu watesi wetu wafike msibani kwa lolote na wala tusipkee rambirambi zao pamoja na salama za pole kutoka kwa hawa watu.. Wanatukejeli.
CHADEMA, mnapaswa kutambua hawa watu wanatuona kama wanyama na ndio maana hawajali uhai wetu wala maisha yetu.
Msiruhusu wafike msibani na manguo yao wala msiwape mike waseme lolote. Wanakuja kutuhadhaa tu huku robo zao zinafurahia walichokifanya.
Hali iwe ni hii hii kwa misiba ya wahanga wote wa uchaguzi huu wa kihuni .
INapendekeza Kamati Kuu ya CHADEMA inayokaa leo ije na tamko rasmi kuhusu ushiriki wa hawa watu kwenye misiba ya wanachama na viongozi wa CHADEMA yenye sura ya kisiasa.
Enough is enough.
Nawasilisha.