Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Lakini ndio uhuru wa habariYakemeeni magazeti haya uchwara msiyape nafasi bila kukanusha upuuzi kama huu.
Content za mikutano yenu yote, Sauti mnazopiza kuhusu Katiba Mpya, wameona hili ndilo la kuwataarifu wananchi? Wakemeeni Erythrocyte
So what? Ukitoa Mbowe nani ni mchagga au mkaskazini Kwenye uongozi wa kitaifa, Bawacha na Bavicha?Kumbuka mrema ni mchagga
Kuna tofauti ya propaganda na uhuru wa habari.Ko tuanze vita dhidi ya uhuru wa habari? Heheheherhe kweli chadema genge la wahuni same to ccm tu
Dawa ni umoja part
Bahati nzuri bajeti ya kununua vichapisho vya bongo nilisha ifuta kwanguYakemeeni magazeti haya uchwara msiyape nafasi bila kukanusha upuuzi kama huu.
Content za mikutano yenu yote, Sauti mnazopiza kuhusu Katiba Mpya, wameona hili ndilo la kuwataarifu wananchi? Wakemeeni Erythrocyte
Weka ushahidi. Watu wakipishana na Chadema ni maelezo maalum? Yatatoka wapi kwa sasa?Hawa wametoa hii habari kwa maelekezo maalum
Let it be grantedDefinitely, kazi kubwa ya kudai katiba mpya wanayofanya kwenye mikutano yote, wapuuzi hawa wameona hili ndilo la maana? washenzi wakubwa
Your wishes
Yakemeeni magazeti haya uchwara msiyape nafasi bila kukanusha upuuzi kama huu.
Content za mikutano yenu yote, Sauti mnazopiza kuhusu Katiba Mpya, wameona hili ndilo la kuwataarifu wananchi? Wakemeeni Erythrocyte
Wanataka kuuza Magazeti yao.Yakemeeni magazeti haya uchwara msiyape nafasi bila kukanusha upuuzi kama huu.
Content za mikutano yenu yote, Sauti mnazopiza kuhusu Katiba Mpya, wameona hili ndilo la kuwataarifu wananchi? Wakemeeni Erythrocyte
Naunga mkono hojaKutofautiana au kupingana kwa hoja ni jambo la afya. Ndiyo maana hatutetereki:
Tunasimama na Lissu, alipo tupo
SahihiMkuu sipingi angalizo lao, lakini kulingana na uhuru wa vyombo vya habari huwezi kuwazuia kuandika wanachotaka. Ni juu ya CDM kusimamia wanachoamini. Hata hivyo wananchi wengi sio wasomaji wa magazeti. Na wanaosoma wanaweza kuelewa malengo ya kinachosemwa.
Kwangu mimi kama ni kweli Lisu na Mbowe wanapishana tena hadharani, hiyo ndio afya kwa CDM kwani kwanza ndio demokrasia, na ni rahisi sisi Wafuasi kujua yupi ni kiongozi sahihi kwa chama. Haya mambo ya viongozi kukubaliana kila kitu, ndio ilipelekea Lowassa kupokelewa ndani ya CDM bila kupima madhara ya jambo lile.
Is no more noe au tangu 2020?CHADEMA is no more my furendi
Kitambo kidogoIs no more noe au tangu 2020?
Mi sinaga muda mchafuKwani kuna watu bado wanasoma magazeti?
Sihitaji kuthibitishaWeka ushahidi. Watu wakipishana na Chadema ni maelezo maalum? Yatatoka wapi kwa sasa?
Then its just hearsay. Mtu yeyote akishiba kande anaweza ziandika. JF haipo kama FB iheshimiwe please.
Very likelyHawa wametoa hii habari kwa maelekezo maalum