CHADEMA msipoyakabili/kuyakemea haya magazeti yatawayumbisha wafuasi wenu na kuleta mgawanyiko, yakemeeni

Ko tuanze vita dhidi ya uhuru wa habari? Heheheherhe kweli chadema genge la wahuni same to ccm tu

Dawa ni umoja part
 
Halo gazeti huku kwetu limekosa soko mpaka bodaboda wanalichambia
 
Definitely, kazi kubwa ya kudai katiba mpya wanayofanya kwenye mikutano yote, wapuuzi hawa wameona hili ndilo la maana? washenzi wakubwa

Your wishes
Let it be granted
 
Sahihi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…