Tetesi: CHADEMA muda wowote kusitisha Oparesheni UKUTA

Tetesi: CHADEMA muda wowote kusitisha Oparesheni UKUTA

Status
Not open for further replies.

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Taarifa ambazo ni za SIRI mno na ambazo zimepatikana kwa ugumu mkubwa sana tena wa kujitoa mhanga kutokana na unyeti wake zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unakusudia kutangaza kusitisha mpango wake wa kufanya maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika tarehe 1 September 2016.

Taarifa hiyo imedai kwamba sababu kubwa ya CHADEMA kuamua hivyo ni kuona kuwa kwa sasa Uongozi wa CCM unafanya Kazi yake vizuri tu na kwamba hayo mapungufu mengine ni madogo sana ambayo yanaweza tu kuzungumzika bila hata ya kufanya maandamano.

Wakati hayo yakiendelea inasemekana pia kuwa muda wowote kuanzia sasa CHADEMA wanajipanga kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari nchini Tanzania ili kuwaomba radhi Watanzania kwa usumbufu wowote waliowapa na kwamba sasa yameisha na CHADEMA inaenda kuwa ya AMANI, UTU na UPENDO.

Mwisho mnyetishaji wangu amesema kuwa sasa CHADEMA walichoamua kukifanya ni kwamba siku hiyo ya tarehe 1 September 2016 wataomba tu kuonana na Mheshimiwa Rais ili kuitumia kama kumpongeza kwa Uongozi wake mzuri na madhubuti na wakitoka hapo wataelekea pia Makanisani na Misikitini kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumwombea mafanikio mema Rais na kutubu dhambi zao zote kwa Maulana.

Kama hii taarifa ni ya UKWELI basi naomba nichukue fursa hii adhimu kuwasifu na kuwapongeza sana Wanachama wote wa CHADEMA na Uongozi wao wote wa juu na labda niseme tu kama CHADEMA wameamua kuwa na hii busara nina uhakika kuwa sasa Saisa za Tanzania zimekomaa na CHADEMA imeonyesha AFYA katika Demokrasia.

Hongereni sana CHADEMA, tusameheane na tujenge nchi yetu hii kwa pamoja na kwa wale ambao walikuwa pengine wakijipanga kwa Oparesheni UKUTA sasa ni rasmi kuwa CHADEMA imeusitisha na HAUTAKUWEPO tena. Ngoja nitege sikio nisikilize hiyo Press Conference yao ya muda mfupi ujao ambapo watatangaza rasmi kusitisha UKUTA.

CCM na CHADEMA sasa ni Ndugu moja kwa maslahi ya Mama Tanzania.

Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM na CHADEMA
Pepo baya la UKUTA potea,shindwa na lilegee.

===========

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.

Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.

“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.

Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.

Source: Dar24
 
Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!

Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01

MAGU NI WATOFAUTI SANA
 
Kwa walipofikia hawawezi kusitisha. Tumaini peke yake walilobaki nalo Viongozi wa Chyademan walilobaki nalo ni Poliysi wazingire nyumba zao ikifika hiyo sep 1.

Polysi wakizingira nyumba zao mkakati wa Viongozi wa Chyademan kutoshiriki maandamano utakuwa umefanikiwa.

Ombi langu kwa Polisi wasiwafate Majumbani wawasubiri Mitaani.
 
Hahaha nimeshindwa hata kusoma huu ugoro wako ,wamesitisha ,Lowasa yuko Mbeya ,juzi Mbowe alikua Arusha ,kina Beregu walikua wanachanja mbuga huko wakapata ajali ,Lisu yupo makao makuu anaandaa mashitaka ,Sumaye naye anapiga jaramba Pwani ,mweee hii ngoma mbona nzito
 
Taarifa ambazo ni za SIRI mno na ambazo zimepatikana kwa ugumu mkubwa sana tena wa kujitoa mhanga kutokana na unyeti wake zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unakusudia kutangaza kusitisha mpango wake wa kufanya maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika tarehe 1 September 2016.

Taarifa hiyo imedai kwamba sababu kubwa ya CHADEMA kuamua hivyo ni kuona kuwa kwa sasa Uongozi wa CCM unafanya Kazi yake vizuri tu na kwamba hayo mapungufu mengine ni madogo sana ambayo yanaweza tu kuzungumzika bila hata ya kufanya maandamano.

Wakati hayo yakiendelea inasemekana pia kuwa muda wowote kuanzia sasa CHADEMA wanajipanga kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari nchini Tanzania ili kuwaomba radhi Watanzania kwa usumbufu wowote waliowapa na kwamba sasa yameisha na CHADEMA inaenda kuwa ya AMANI, UTU na UPENDO.

Mwisho mnyetishaji wangu amesema kuwa sasa CHADEMA walichoamua kukifanya ni kwamba siku hiyo ya tarehe 1 September 2016 wataomba tu kuonana na Mheshimiwa Rais ili kuitumia kama kumpongeza kwa Uongozi wake mzuri na madhubuti na wakitoka hapo wataelekea pia Makanisani na Misikitini kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumwombea mafanikio mema Rais na kutubu dhambi zao zote kwa Maulana.

Kama hii taarifa ni ya UKWELI basi naomba nichukue fursa hii adhimu kuwasifu na kuwapongeza sana Wanachama wote wa CHADEMA na Uongozi wao wote wa juu na labda niseme tu kama CHADEMA wameamua kuwa na hii busara nina uhakika kuwa sasa Saisa za Tanzania zimekomaa na CHADEMA imeonyesha AFYA katika Demokrasia.

Hongereni sana CHADEMA, tusameheane na tujenge nchi yetu hii kwa pamoja na kwa wale ambao walikuwa pengine wakijipanga kwa Oparesheni UKUTA sasa ni rasmi kuwa CHADEMA imeusitisha na HAUTAKUWEPO tena. Ngoja nitege sikio nisikilize hiyo Press Conference yao ya muda mfupi ujao ambapo watatangaza rasmi kusitisha UKUTA.

CCM na CHADEMA sasa ni Ndugu moja kwa maslahi ya Mama Tanzania.

Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM na CHADEMA
Pepo baya la UKUTA potea,shindwa na lilegee.
Ikiwa hivyo na wananchi wanaodanganyagwa kila kukicha na upinzani wakachekelea tena nitazidi kustaajabu,maana wananchi wenzangu kila wanachoambiwa wao hua wanashangilia tu muda wote,hata hua siwaelewi
 
Taarifa ambazo ni za SIRI mno na ambazo zimepatikana kwa ugumu mkubwa sana tena wa kujitoa mhanga kutokana na unyeti wake zinasema kwamba muda wowote kuanzia sasa Uongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA unakusudia kutangaza kusitisha mpango wake wa kufanya maandamano ya UKUTA yaliyopangwa kufanyika tarehe 1 September 2016.

Taarifa hiyo imedai kwamba sababu kubwa ya CHADEMA kuamua hivyo ni kuona kuwa kwa sasa Uongozi wa CCM unafanya Kazi yake vizuri tu na kwamba hayo mapungufu mengine ni madogo sana ambayo yanaweza tu kuzungumzika bila hata ya kufanya maandamano.

Wakati hayo yakiendelea inasemekana pia kuwa muda wowote kuanzia sasa CHADEMA wanajipanga kuitisha Mkutano na Waandishi wa Habari nchini Tanzania ili kuwaomba radhi Watanzania kwa usumbufu wowote waliowapa na kwamba sasa yameisha na CHADEMA inaenda kuwa ya AMANI, UTU na UPENDO.

Mwisho mnyetishaji wangu amesema kuwa sasa CHADEMA walichoamua kukifanya ni kwamba siku hiyo ya tarehe 1 September 2016 wataomba tu kuonana na Mheshimiwa Rais ili kuitumia kama kumpongeza kwa Uongozi wake mzuri na madhubuti na wakitoka hapo wataelekea pia Makanisani na Misikitini kumshukuru Mwenyezi Mungu na kumwombea mafanikio mema Rais na kutubu dhambi zao zote kwa Maulana.

Kama hii taarifa ni ya UKWELI basi naomba nichukue fursa hii adhimu kuwasifu na kuwapongeza sana Wanachama wote wa CHADEMA na Uongozi wao wote wa juu na labda niseme tu kama CHADEMA wameamua kuwa na hii busara nina uhakika kuwa sasa Saisa za Tanzania zimekomaa na CHADEMA imeonyesha AFYA katika Demokrasia.

Hongereni sana CHADEMA, tusameheane na tujenge nchi yetu hii kwa pamoja na kwa wale ambao walikuwa pengine wakijipanga kwa Oparesheni UKUTA sasa ni rasmi kuwa CHADEMA imeusitisha na HAUTAKUWEPO tena. Ngoja nitege sikio nisikilize hiyo Press Conference yao ya muda mfupi ujao ambapo watatangaza rasmi kusitisha UKUTA.

CCM na CHADEMA sasa ni Ndugu moja kwa maslahi ya Mama Tanzania.

Mungu ibariki Afrika
Mungu ibariki Tanzania
Mungu ibariki CCM na CHADEMA
Pepo baya la UKUTA potea,shindwa na lilegee.
Sababu za kuwepo UKUTA unazijua?
 
Wao wafanye wasifanye
Maandamano kama hayo hushiriki wasio jitambua.
Mwenye akili zake hawezi kuandamana kwa hoja za kijinga kama hizo,
Ufisadi umewapoteza leo wamekosa hoja wanakuja na upuzi upuzi!!!

Mimi sita weka msiba wala kuumia kwa lolote litakalo tokea Tar 01

MAGU NI WATOFAUTI SANA
Inaonekana UKUTA umewaingia lumumba kuliko hata sisi chadema.. Hahahaa wenzetu hamlali.. Na mkilala mnauota UKUTA.. sisi akha.. tunaisubiri kwa hamu September mosi tufanye yetu.. Polisi hawana uwezo wa kutuzuia na ndo maana wanatishia watu kwa mazoezi.. Mama ni mechi bc.. Chadema 3 na polisiccm 0 na dakika ni ya 89 na mwamuzi anaangalia saa yke kuashiria mechi kuisha... Hahaaa namuona uncle magu haamini kilicho tokea.. teh teh teh teh.. Kashika kiuno kuashiria mzee mzima UKUTA ume mchosha...
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Ha ha ha.
Source ?
Magazeti ya udaku ?
Hizo ni tetesi tu..
Tunasubir tamko rasmi toka kwa uongozi wa CHADEMA..

[emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111][emoji111]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]tunaendelea kuchanja mbuga. Mtasubiri sana.
 
Kama wameamua kusitisha maandamano basi hiyo tarehe 1/9/2016 wana CHADEMA wafanye hata usafi wa mitaro na KUTA mbalimbali zinazozunguka majengo mbalimbali. Uchafu bado ni kero kubwa sana mitaani.
 
Hawawezi kusitisha kwa kuwa ni mpango wa wahisani wao nje ya nchi, wao ni watekelezaji tu!
 
Hata kama wangelazimisha maandamano isingewezekana vikosi vilikuwa vimejiandaa kuwasambua
 
Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka. Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa ( Source😀ar 24)

Mbowe-1.jpg


Arusha.jpg

My take;
Huu ni mwanzo wa Mbowe kubadili gia angani nina uhakika kabisa moyoni mwake hakuna kitu kama ukutani!. Je kama wakisitisha 'udikteta' wa raisi utakwisha?...ni jibu gani anategemea kutoka serikalini?...anaamini ataruhusiwa kuendelea na mikutano na maandamano?...au safari ya Ogasti,28 ni kweli?

=======

Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe amesema kuwa chama chake kiko tayari kusitisha mikutano na maandamano ya Septemba 1 yaliyotajwa kuwa sehemu ya Operesheni UKUTA, endapo yataanzishwa mazungumzo kutafuta muafaka.

Mbowe ambaye hivi sasa yuko kanda ya Kaskazini akipanga mikakati na viongozi wa chama hicho kuhusu namna ya kuratibu na kutekeleza operesheni UKUTA, amesema kuwa wako tayari kusitisha mpango huo na kushiriki mazungumzo yoyote yatakayoanzishwa.

“Tutashiriki mazungumzo yoyote ya kusaka muafaka na kama matamko ya Rais Magufuli yakibalishwa. Tutawaeleza wanachama kusitisha mikutano ya Septemba 1 na kuendelea na mikutano ya kawaida,” alisema Mbowe.

Kiongozi huyo wa Chadema alitangaza kufanyika kwa Operesheni Ukuta nchi nzima na kwamba Kamati Kuu ya Chama hicho imeridhia kufanya maandamano na mikutano nchi nzima kwa lengo la kupinga kile walichodai ni kuminywa kwa demokrasia ndani na nje ya Bunge.

Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amewataka kusitisha maandamano hayo akieleza kuwa kama walizoea kutikisa kiberiti, wakati huu hiki ni kiberiti cha gesi.

Source: Dar24
 
History shows kwamba the current person in power hana tabia ya kukaa na kusort things out, anatumia brute force zaidi so i doubt that will happen
Ila a week is a long time, anything can happen, so we just have to wait and see
 
History shows kwamba the current person in power hana tabia ya kukaa na kusort things out, anatumia brute force zaidi so i doubt that will happen
Ila a week is a long time anything can happen, so we just have to wait and see
Let us wait and see this movie!
 
Sass hicho kikatuni ndiyo Source ya hii habari?

Ndiomaana imekaa kikatunikatuni tu,

BACK TANGANYIKA
 
Taratibu naanza kukumbuka ile stop walio pigwa baa ya vichaa walipo sisitiza kwenda Dodoma kuwasaidia polisi kuzuia mkutano wa Ccm usifanyike
vijana morali ilikuwa juu sana tangazo likapita kuwa wameandikisha zaidi ya vijana elfu tano nchi ikaanza kuhamaki tukaamini labda wapo serious dah Mara ghiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Taratibu naanza kukumbuka ile stop walio pigwa baa ya vichaa walipo sisitiza kwenda Dodoma kuwasaidia polisi kuzuia mkutano wa Ccm usifanyike
vijana morali ilikuwa juu sana tangazo likapita kuwa wameandikisha zaidi ya vijana elfu tano nchi ikaanza kuhamaki tukaamini labda wapo serious dah Mara ghiiiiiiiiiiiiiiiiii so tegemea Mkuu hilo kutokea mana kama serikali itaona kuwa ni tishio wanaweza omba mazungumzo sasa mbowe yeye ndo anaomba mazungumzo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom