Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,081
CCM , CUF na CHADEMA vyote ni vyama vya siasa na vyote vinafanya madudu na kwa maendeleo ya nchi vyote vinatakiwa viliform lakini mbona wewe uko busy na chadema tu, nini hasa lengo lako?
CCM , CUF na CHADEMA vyote ni vyama vya siasa na vyote vinafanya madudu na kwa maendeleo ya nchi vyote vinatakiwa viliform lakini mbona wewe uko busy na chadema tu, nini hasa lengo lako?
Nikiwa nimekaa chini kutafakari ni kwa nini katika nafasi 23 za Chadema za wabunge wa kuteuliwa hawakuteua wawakilishi kule Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pemba, Tanga, Dodoma, Pwani, Tabora na kuongeza kule Iringa, Mbeya, Arusha, Rukwa na Mara, leo tunasikia kauli za chapati maji, kudai walinukuliwa isivyo kuhusu kutomtambua Kikwete kama Rais.
Hivyo swali langu kwenu wana Chadema, bado mnapingana nami kuwa hamuhitaji uongozi mpya ikiwa tayari kuna pande tatu zinavutana; Zitto, Freeman Mbowe na Dr. Slaa kwenye hili jambo moja la kuyakubali matokeo ya urais?
So take a minute again and think of what I was trying to relate to indirectly and assess the last 120 hours of life of Chadema!
ccm na mafisadi watawatumia saana watu wengi kama mcgungaji huyu kuleta ufa chadema
Mchungaji ombi langu kwako nadhani tumia uchungaji wako kuelimisha umma kupeleka elimu ya uraia usisubiri dr slaa au mbowe au willy, tumia kalamu yako kuelimisha umma huko uliko chadema inatoa dira watanzania tunawaunga mkono.
Shalom my dear brother,
Nimeshawatukana CCM sana na kuwagangamalia kina Kikwete na wenzake. nanyi mlinishangilia na hata kuvua mashati kama zulia kufurahia nilivyowashambulia CCM.
LAW 3: CONCEAL YOUR INTENTIONS
Keep people of balance and in the dark by never revealing the purpose behind your actions. If they have no clue what you are up to they can not prepare for a defence. Guide them far enough down the wrong path, envelop them enough smoke, and by the time they realise your intentionns, it will be too late.
Leo hii nawageukieni nyinyi kwa kufata nyayo za upuuzi za CCM mnaanza kudai lengo langu nini? Kama leo tunathubutu kudai Rostam ni Fisadi kwa kuwa alidokoa fedha za BOT, je Chadema wanajiita Chama mbadala wanapoanza kufuja kodi kwa kufanya madudu kama haya mnataka tukae kimya?
LAW 4
Always say less than necessary
You should thank me I am still wasting time offering you alternatives and can devote time to think outside the box on how Chadema can counter CCM!
LAW 8. make other people coame to you -use bait if necessary
May be I should heed to that methali ya kiswahili "sikio la kufa, halisikii dawa" and that will be the title of my new thread!
Pose as friend and work as spy
Tumechoka na wajenzi huru!
Tafadhali huyu sio mchungaji anatumia tu neno Rev na hajui maudhui yake . nawajua wachungaji, wamenilea na kunikuza, nawajua pia kauli zao na mienendo yao, kishoka sio mchungaji
Chadema will never win presidency over 20 years due to lack of civil education to Tanzanians. We cannot blame these oppostion parties, the blame should go straight to the ruling party and our Univerity students. We had higher anticipation that these so called students will challenge status quo, but we have seen how they discourage step taken by opposition to boost democracy. They criticize Chadema and equate it with "Osama". I want the president to tell people that opposition is healthy for our democracy and it is not source of chaos. Peace no hate.
.
Mchungaji ombi langu kwako nadhani tumia uchungaji wako kuelimisha umma kupeleka elimu ya uraia usisubiri dr slaa au mbowe au willy, tumia kalamu yako kuelimisha umma huko uliko chadema inatoa dira watanzania tunawaunga mkono.
Si Mbowe, Si Slaa, Chadema kimetegemea mtandao wao makanisa na hakitaenda zaidi ya maeneo ya ushawishi wa makanisa hayo, period!
Walio maofisini wanafanya kazi ya uwakala wa kanisa na chadema no wonder sasa hivi ofisi za serikali na mashirika zimegeuka vijiwe vya siasa! But its known na hakuna siri. Kuna vyuo vya makanisa sasa hivi ni kama matawi ya Chadema. Uchaguzi unakwisha anaetoa kauli ya kukubali matokeo ni Pengo!
Hakuna strategist awe Kitila au Baregu anayeweza kuwavua Chadema hiyo ngozi ya Ukrsito waliyojivika. Kamwe chadema hakitakuwa chama cha Kitaifa. Kinaweza kuwa kama chama-mwenza wake wa Ujerumani ambacho mnajua ni wakala wa kanisa.