Nikiwa nimekaa chini kutafakari ni kwa nini katika nafasi 23 za Chadema za wabunge wa kuteuliwa hawakuteua wawakilishi kule Lindi, Mtwara, Ruvuma, Pemba, Tanga, Dodoma, Pwani, Tabora na kuongeza kule Iringa, Mbeya, Arusha, Rukwa na Mara, leo tunasikia kauli za chapati maji, kudai walinukuliwa isivyo kuhusu kutomtambua Kikwete kama Rais.
Hivyo swali langu kwenu wana Chadema, bado mnapingana nami kuwa hamuhitaji uongozi mpya ikiwa tayari kuna pande tatu zinavutana; Zitto, Freeman Mbowe na Dr. Slaa kwenye hili jambo moja la kuyakubali matokeo ya urais?
So take a minute again and think of what I was trying to relate to indirectly and assess the last 120 hours of life of Chadema!